Nataka kuingia ESS portal ila Kila nikilog in Kuna Ujumbe ukakuja kuwa check your internet connection hali ya kuwa nipo online na GB za kutosha..
Unahidi itakuwa ni noni tatizo mdau..,?
o3 vs o4-mini: Comparing OpenAI's High Reasoning Models for Coding
Both o3 and o4-mini are part of OpenAI's specialized "o-series" reasoning models released in 2025, designed to excel at complex...
Watumiaji wa Samsung kupitia toleo jipya la one User interface version UI 7 ni muhimu Kufanya marekebisho mapya ila kuipa usalama kifaa chako kwa upande wa betri.
Simu za Samsung na android...
Habari zenu wakuu na wapenzi wa Tecnolojia.
Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo hilo hapo pichani, ninatumia program kadhaa za kufungua mitandao kwenye simu,Bypass FRP na kadhalika
Changamoto kuu ni...
Wakuu wa Tech inakuaje....!?
Wakuu na amini tunatofautiana uwezo kimapato wapo wanaomudu gharama za kulipia AC nikiwa nacheki Youtube review za AC nakuta kwa 24Hrs ngoma imebeba Units kama 20 hivi...
JE, UNAJUA KAMA SMART TV YAKO INA KAMERA YA SIRI?
Katika kipindi hiki cha teknolojia ya kisasa, karibu kila kifaa cha nyumbani kimeunganishwa na intaneti โ kuanzia simu, friji, hadi televisheni...
Habari, naomba wataalam mniweke mwangani juu ya kufanya trading kwa kutumia Robots, je kuna faida gani? kuna hasara gani?
Kununua Robot mfano kutoka Royal Q kunaweza kuwa na utapeli wowote?
Je...
Ikiwa, Unatamani kujifunza Tehama kwa umahili Karibu katika Group hili, Jiku Tech Tips
Maarifa Mtandaoni ni Mengi na yanatosha, Miongozo ndio Hakuna, Utapata Muongozo sahihi wa kujifunza Tehama...
Habarini, naomba kujuzwa katika hizi flat screen za wananchi wa kipato cha kawaida, ni ipi bora kuliko zingine?
-Star-X tv
-Aborder tv
-Sundar tv
Hapa siongelei zile za kibosile kama Sony, LG na...
Wakati dunia imeshikwa na sonny, LG, Samsung na Sonny kwa kipindi kirefuโฆ huku wakitamba na vifaa vyao konki na bora dunianiโฆ. JBL pia alikuepo sokoni.
Ila hakuwa na vifaa vingi vya kushika soko...
Nataka kununua bluetooth speaker, nimeipenda sana JBL BOOM BOX 3, ila sina bajeti yake, ni mdundo gani unaoendana na huo kwa bajet ya 400,000? Ambao ni portable kama boom3?
Youths are the technology game changers. They're creative and skilled with digital tools, making big changes in industries and society. With technology and global connections, they're breaking old...
Hakuna tena haja ya kutengeneza vyakula vya mifugo usovyojua matokeo yake kwenye ulishaji,mchawi computer,cha msingi unapaswa kujua ingredients zinazotakiwa kwenye utengenezaji wa vyakula vya...
Kuna jambo ambalo bado najiuliza kuhusu vyuo vyetu hapa Tanzania linapokuja suala la mashindano ya ICT. Maana naona vingi vipo kimya sana โ ukiachana na UDOM (University of Dodoma).
Jana nilikuwa...