Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Browser ya Google chrome ni apps maarufu ulimwenguni karibu watu wengi tunatumia hii apps kwenye vifaa Mbalimbali kwani ni nyepesi, ufanisi Bora, muonekano wake wa kuvutia nk. Lakini Kuna apps...
3 Reactions
0 Replies
433 Views
Hizi sio ndoto Tena au Zile movie za kisayansi (Sci-fi) ni maisha Halisi Sasa ambapo Makampuni makubwa Mbalimbali yameleta Teknolojia tishio ambazo zitakazokuja kutikisa Dunia. Kampuni Mbalimbali...
7 Reactions
21 Replies
1K Views
AI Chatbots Wanaweza Kukufuatilia – Isipokuwa Hii Moja Lumo Chatbot ya Kipekee Inayolinda Faragha Yako kwa Kiwango cha Kitaaluma Je, umewahi kujiuliza mazungumzo yako na chatbot yanaishia wapi...
0 Reactions
0 Replies
241 Views
Naona nyingi ni U7K na kwa uchache U6N.
0 Reactions
0 Replies
184 Views
Leo nakuletea apps 5 ambazo ni muhimu sana kuwa nazo kwenye simu yako kwa mwaka 2025 kama unahitaji Simu yako kuwa na muonekano wa kipekee sana 👋. Apps hizi kwa watumiaji wa simu za Android na...
1 Reactions
8 Replies
710 Views
Kuna Uzi nilifungua kuhusu scam aliyotufanyia Mo Dewji, Kwa kujifanya account yake ilikuwa hacked, na wengi tulifahamu baada ya Kanye west kutufumbua macho. McAfee aliwahi kusema alikuwa na uwezo...
33 Reactions
1K Replies
45K Views
Habari zenu wakuu, kwa wataalam wa simu nina Simu Ya Samsung A5 inajizima inapopata ubaridi sana sana nyakati za usiku na ikashajizima inasumbua kuwaka yani nikiiwasha inaishia kwenye logo ya...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Kama unahitaji kumiliki simu ya Tecno Kwa mwaka 2025 basi Leo nakuletea list ya simu Bora Toka kampuni ya Tecno ukitumia utaweza kuenjoy. Hapa nimekuletea simu ni nzuri kuanzia upande wa...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Salaam wana tech. Kama heading inavyosomeka hapo juu, huu uzi utajikita kwenye 3D printing, designing & etc. Lengo la kuanzisha huu uzi ni kutokana na umuhimu wa ukuaji wa teknolojia ya 3D...
12 Reactions
33 Replies
4K Views
Email yangu haileti notifications moja kwa moja ila niliingia kwenye app yenyewe nazikuta shida inaweza kuwa nn labda
0 Reactions
1 Replies
168 Views
Internet Download Manager 2025 Free License Key . Download Now: Click Download Now Button & Go-to Downloading Process - Pcwaredownload
0 Reactions
1 Replies
344 Views
Zamani, kupata pesa ilihitaji uanze na mtaji mkubwa, duka la mtaa au hata leseni ya biashara. Sasa sivyo tena. Dunia imebadilika. Leo, unaweza kutengeneza pesa mtandaoni ukiwa nyumbani — hata kwa...
1 Reactions
1 Replies
843 Views
Najua watu wengi hawajui kama Tanzania Kuna Kiwanda cha kutengeneza simu janja (smartphone) ✋ umeshtuka sio ✍️. Nchini Tanzania mkoa wa pwani wilaya ya mkuranga kama siku utafanikiwa kutembea...
0 Reactions
6 Replies
776 Views
Redmi 13C. Redmi 14C Aquos sense 7 plus (used) Natanguliza shukrani🙏🙏🙏
1 Reactions
7 Replies
605 Views
Habari zenu! Kama wewe ni programmer au una ndoto za kuwa mmoja wa programmer, huu ndio uzi wako! Hapa tunasaidiana, tunashauriana, na tunahamasishana. Kama unakutana na changamoto yoyote kwenye...
9 Reactions
184 Replies
5K Views
Wakuu naomba kupewa huduma kwa mtumiaji wa Dstv nijiunge na My dstv app, nitachangia
0 Reactions
9 Replies
569 Views
Hello Ni wakati sasa tunajifunza jinsi ya kutafuta loopholes kwenye ISP yeyote unayehitaji, katika makala hii tuenda kujifunza jinsi Gani tunaweza tumia udhaifu wa ISP na kupata free internet...
17 Reactions
77 Replies
9K Views
Arduino uno zipo mbili zimebaki bei sawa na bure, njoo inbox kwa wateja serious. 28,000. Free delivery au unaweza kufata mwenyewe.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Jioni kuanzia saa 11 mpaka saa2 na nusu ukiwasha circuit breaker inazima kila baada ya dakika kadhaa, ila muda mwingine wote umeme hauzimi. Wataalamu wa haya mambo naomba msaada.
3 Reactions
30 Replies
5K Views
Waungwana naomba mnisaidie jinsi ya ku-logout JamiiForums, mimi ni mgeni kwenye hili jukwaa msaada tafadhali!
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Back
Top Bottom