Browser ya Google chrome ni apps maarufu ulimwenguni karibu watu wengi tunatumia hii apps kwenye vifaa Mbalimbali kwani ni nyepesi, ufanisi Bora, muonekano wake wa kuvutia nk.
Lakini Kuna apps...
Hizi sio ndoto Tena au Zile movie za kisayansi (Sci-fi) ni maisha Halisi Sasa ambapo Makampuni makubwa Mbalimbali yameleta Teknolojia tishio ambazo zitakazokuja kutikisa Dunia.
Kampuni Mbalimbali...
AI Chatbots Wanaweza Kukufuatilia – Isipokuwa Hii Moja
Lumo Chatbot ya Kipekee Inayolinda Faragha Yako kwa Kiwango cha Kitaaluma
Je, umewahi kujiuliza mazungumzo yako na chatbot yanaishia wapi...
Leo nakuletea apps 5 ambazo ni muhimu sana kuwa nazo kwenye simu yako kwa mwaka 2025 kama unahitaji Simu yako kuwa na muonekano wa kipekee sana 👋.
Apps hizi kwa watumiaji wa simu za Android na...
Kuna Uzi nilifungua kuhusu scam aliyotufanyia Mo Dewji, Kwa kujifanya account yake ilikuwa hacked, na wengi tulifahamu baada ya Kanye west kutufumbua macho.
McAfee aliwahi kusema alikuwa na uwezo...
Habari zenu wakuu, kwa wataalam wa simu nina Simu Ya Samsung A5 inajizima inapopata ubaridi sana sana nyakati za usiku na ikashajizima inasumbua kuwaka yani nikiiwasha inaishia kwenye logo ya...
Kama unahitaji kumiliki simu ya Tecno Kwa mwaka 2025 basi Leo nakuletea list ya simu Bora Toka kampuni ya Tecno ukitumia utaweza kuenjoy.
Hapa nimekuletea simu ni nzuri kuanzia upande wa...
Salaam wana tech.
Kama heading inavyosomeka hapo juu, huu uzi utajikita kwenye 3D printing, designing & etc.
Lengo la kuanzisha huu uzi ni kutokana na umuhimu wa ukuaji wa teknolojia ya 3D...
Zamani, kupata pesa ilihitaji uanze na mtaji mkubwa, duka la mtaa au hata leseni ya biashara. Sasa sivyo tena. Dunia imebadilika. Leo, unaweza kutengeneza pesa mtandaoni ukiwa nyumbani — hata kwa...
Najua watu wengi hawajui kama Tanzania Kuna Kiwanda cha kutengeneza simu janja (smartphone) ✋ umeshtuka sio ✍️.
Nchini Tanzania mkoa wa pwani wilaya ya mkuranga kama siku utafanikiwa kutembea...
Habari zenu!
Kama wewe ni programmer au una ndoto za kuwa mmoja wa programmer, huu ndio uzi wako! Hapa tunasaidiana, tunashauriana, na tunahamasishana. Kama unakutana na changamoto yoyote kwenye...
Hello
Ni wakati sasa tunajifunza jinsi ya kutafuta loopholes kwenye ISP yeyote unayehitaji, katika makala hii tuenda kujifunza jinsi Gani tunaweza tumia udhaifu wa ISP na kupata free internet...
Jioni kuanzia saa 11 mpaka saa2 na nusu ukiwasha circuit breaker inazima kila baada ya dakika kadhaa, ila muda mwingine wote umeme hauzimi.
Wataalamu wa haya mambo naomba msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.