Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nina Aiwa smart tv ambayo haidisplay chochote ukiiwasha. Nahitaji fundi aje aiangalie.
1 Reactions
5 Replies
357 Views
Anayefahamu kuhusu Voda Kasi internet kifurushi cha 50,000 unlimited. Na kifurushi cha Halotel cha 50,000 unlimited. Naomba anielze na kipi bora..
5 Reactions
15 Replies
2K Views
HOW TO FIND PROFITABLE BLOG NICHES INTRODUCTION starting a blog is exciting, but choosing the right niche is what determines your success. a profitable niche helps you attract traffic and make...
0 Reactions
0 Replies
743 Views
Vijana waliohitimu dip na degree za computer almaarufu "ma IT" wapo wengi sana mtaani bila ramani ya kueleweka. Nashangaa sana kwasababu kuna mitandao mingi sana ya kupiga dola online, sehemu...
5 Reactions
27 Replies
1K Views
#mwanakidigitali najua pengine kuna muda unakuwa unapesa yako lakini unapatwa na kigugumizi sana hasa unapo fikiria simu gani unataka kununua na itakayo kufaa . Leo nitakutajia listi ya simu aina...
6 Reactions
22 Replies
4K Views
Katika dunia ya sasa, Artificial Intelligence (AI) imeleta mapinduzi makubwa kwenye sekta ya teknolojia, hasa kwenye coding na software engineering. Kwa kutumia AI, tunaweza sasa kuandika...
12 Reactions
91 Replies
3K Views
Kiufupi tu gpt5 haiko vizuri kama gpt4o, gpt4o ilikuwa imenyooka sana kwa zile "human-like responses" ila hii gpt5 ni kama overworked secretary ๐Ÿ˜„ Wasiposhtuka watapoteza umiliki walionao sokoni.
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Mfumo wa GPS (Global Positioning System) ni huduma ya bure kwa watumiaji wa kawaida duniani, lakini uendeshaji na matengenezo yake si bure kabisa. Mfumo huu unamilikiwa na serikali ya Marekani...
6 Reactions
15 Replies
706 Views
Habari wadau Naweza wapi ku sajili domain name ya .co.tz na inagharimu bei gani? Asanteni
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Wakuu mambo vip? wataalam wa mambo ya blogging na website naomba msaada kwa hizi issue hapa.
0 Reactions
3 Replies
801 Views
Mkenya aitwaye Mike Luswety mmiliki wa id ya Mediapix hapa JF ameniingiza chakike. Msijaribu huyu kijana ni Hatari sana. 1. Hakutaka nifahamu ukweli wa kilichomo control panel. Yeye amesajili...
8 Reactions
55 Replies
2K Views
August 13, 2025 by Sylvia Chanak Bringing together the worldโ€™s brightest minds and the latest accelerated computing technology leads to powerful breakthroughs that help tackle some of the...
0 Reactions
0 Replies
429 Views
Habari, Me ni mwanafunzi wa DIT ktk fani ya Electrical Engineering, kwa sasa Nipo week ya kwnz ya Field hapa Azam(Tazara/Dsm)... ila changamoto ninayo iona apa hakuna zile kazi nikaongeza...
1 Reactions
1 Replies
535 Views
ANGALIA PICHA CHINI , KABLA YA KUSOMA Jamiiforum mbona ni copy na paste ya forum blackhatworld .com Haya si ndo ya mambo ya kununua source code au ku-download Nulled script? Kama ndiyo wapo wapi...
14 Reactions
130 Replies
7K Views
piga namba *#61# angalia kama imeandikwa neno FORWARDED uje kuna mtu anasikiliza mazungumzo/sms zako. Na kama ikionyesha neno NOT FORWARDED basi uko salama. Kuondoa au kumzuia mtu asiendelee...
12 Reactions
104 Replies
263K Views
Unataka kuanza kuagiza bidhaa kutoka China lakini hujui wapi pa kuanzia? Alibaba.com ni moja ya mitandao mikubwa duniani ya wauzaji wa jumla ambapo unaweza kuagiza bidhaa kwa bei nafuu...
2 Reactions
2 Replies
788 Views
wakuu nilitaka mnifahamishe tofauti ya mtandao wa ndani ni upi? na mtandao wa umma ni upi?
0 Reactions
3 Replies
274 Views
Instagram Inaweza Kushare Mahali Ulipo na Followers Wako Wote Katika zama hizi za mitandao ya kijamii, taarifa binafsi zimekuwa bidhaa yenye thamani kubwa. Hata bila ruhusa ya wazi, programu...
1 Reactions
3 Replies
516 Views
Katika dunia ya sasa ya kidigitali, miundo (designs) bora ni silaha ya kwanza ya ushindi katika biashara, ujasiriamali, elimu, au hata content creation ya mitandaoni. Lakini si kila mtu ana muda...
1 Reactions
4 Replies
549 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ