toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,626
Leo tupeane ujuzi kuhusu AC aka viyoyozi je ni kweli huwa zinatumia unit hadi 35 hadi 40 kwa zikiwasha masaa 24?
Wenye AC mje mtupe ushuhuda huwa mnatumia vipi na huwa inatumia units ngapi kwa siku maana maneno ni mengi sana.
Najua wapo wengi tu wanatamani kuwa na AC ndani lakini tatizo ndo hilo kwamba wanaogopa gharama au hawajapata kufaham vizuri kuhusu AC.
Naombeni tujuzane.
AC yako unawasha kwa muda gani na huwa inakula units ngapi kila siku.
Gharama zake, ubora, nk.
Karibuni sana.
Wenye AC mje mtupe ushuhuda huwa mnatumia vipi na huwa inatumia units ngapi kwa siku maana maneno ni mengi sana.
Najua wapo wengi tu wanatamani kuwa na AC ndani lakini tatizo ndo hilo kwamba wanaogopa gharama au hawajapata kufaham vizuri kuhusu AC.
Naombeni tujuzane.
AC yako unawasha kwa muda gani na huwa inakula units ngapi kila siku.
Gharama zake, ubora, nk.
Karibuni sana.