Habari ya jioni wapendwa
Kuna kaofisi nataka kufungua sehemu ila umeme hamna nataka kutumia sola ili iweze kusukuma friza la boss lita 230 lengo nataka kufahamu ninunue bettry ngapi?
Betrry...
1. Kabla bado unajifunza, pendelea kupiga codes kwa mkono, usitumie WYSIWYG apps kama DreamWeaver mapema. Zitakusababishia kutoelewa HTML, CSS codes kwa ukamilifu au kwa haraka, hivyo tumia...
Uamuzi huo umetolewa na Mahakama baada ya kampuni hiyo kubainika kutumia huduma ya Utiririshaji wa Moja kwa Moja (Live Streaming) iliyoanzishwa na Mwanajeshi Mstaafu aliyekuwa na lengo la...
Hello Tech,
Someone to help please. I'm using WordPress but recently this massage appared.
"This site can’t provide a secure connection
afyapin.com uses an unsupported protocol...
Kama Ni kweli wataalam wa anga naomba mnijibu maswali yafuatayo:
1. Kifaa kinachowapeleka kitasafiri kwa muda gani kutoka uso wa Dunia mpaka Sayari ya Mars ?
2. Je Hali ya hewa ikoje huko kuhusu...
Habari wakuu.
Nina tatizo la Laptop kutokuwa na uwezo wa kuunganisha Mobile Hotspot pale inapokuwa imeunganishwa na Ethernet Cable. Pale ninapounganisha inakuwa na uwezo wa kupata internet lakini...
OnePlus ilikuwa ni brand nzuri sana katika design, lakini kwa zaidi ya miaka mingi inabadili mwonekano wake kila muda na fans wake hawapendi kuona kila model ina design yake.
Mwaka jana katika...
HIZI NI GAMES LAZMA UCHEZE KWENYE PC YAKO (ENHANCED POST)
1 GTA V
LINK GTA V Free Download
OS: Windows 8.1 64 Bit, Windows 8 64 Bit, Windows 7 64 Bit Service Pack 1.
Processor: Intel Core i5...
Majuzi hapa kuna kitu nilikuwa nacheki review moja ya powerbank nikakuta ya kiswahili nikasema ngoja niangalie
Link yake hio hapo ..yani jamaa maswala ya tech hakuna kabisa kifupi anajarbu...
Kesho September 7 ni iphone keynote event ambapo inatarajiwa iphone 14, 14 max na max pro zitazinduliwa rasmi.
Inaaminika kutakuwa na major upgrade kwenye upande wa camera na video itaweza...
Mwenye kufahamu free VPN ya internet ambayo inaconnect vyema kupitia mtandao wa vodacom anisaidie kunijuza.
Itapendeza kama speed yake itakuwa ni kubwa bila kusahau band width yake
Msaada...