Msaada: Je, Kompyuta HP core 2 duo inafaa kwa games?

Msaada: Je, Kompyuta HP core 2 duo inafaa kwa games?

dthe -mohammed

New Member
Joined
Aug 11, 2022
Posts
4
Reaction score
0
Msaada nahitaji kununua desk top aina ya HP core 2 duo kwaajili yakucheza games kama fifa 22 na mengine vp jaman itasapot
 
Hata FIFA 2009 haiwezi.. tafuta pesa hiyo ni ya Stationary
 
Ishu sio processor kuwa kubwa, nunua yenye ukubwa angalau core i3 4th gen ana ram upgrade angala 6 au 8 ongeza na Nvidia graphics card angalau ya 4gb utacheza game yoyote unayotaka
 
Pa1 sana nimekuelewa mkuu inamaana hapo ishu ni graphics na ram ziwe za kutosha ndio mashine inakua na uwezo wa kusapot games
 
Back
Top Bottom