Mwana wa Mungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2008
- 1,003
- 83
wajameniee, ninayo laptop yangu, nafanyia kazi kila siku, lakini chaajabu karibia wiki moja, key zake haziklick, hivyo nashindwa kuandika. hivi nifanye nini ili key za keyboard ya laptop ifanye kazi tena? je, kuna bandia naweza weka? sina uwezo kuifungua. msaada kwa ushauri nifanyeje, au kama kuna mtu yalishamtokeaga kama yangu. asante kwa ushauri mtakaotoa.