Freelancer
JF-Expert Member
- Sep 22, 2008
- 2,965
- 2,141
Mfano ninatumia ttcl broadband kwenye internet cafe ambayo cku hizi kuna ile quota ya gb 20 ambayo ni lakinne. Nataka kuweka privoxy proxy server nimeona ipo poa. sasa nataka kujua kama ipo stable kwa mazingira ya cafe lets say ten computers. pia nataka list ya file xtension za kublock na pia site ambazo zinakula sana bandwidth. nimwagieni data wakubwa.