Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Ukipigiwa simu kwa nambari binafsi (private no.) au ikiandika call kwa red usipokee ni mionzi unaparalise na kufa.Imetokea kenya watu wamekufa. Julisha ndugu & jamaa wote. Msaada tafadhali...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
kwanini uchague Windows 7 Microsoft wameweza kuuza nakala zipatazo milioni 150 million za Windows 7 ndani ya miezsi kadhaa tangia iingie dukani–Hii imewawezesha au kuifanya windows 7 kuweka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
naomba msaada wadau wa tech jinsi ya kujua salio wakati nnapotumia internet ya zain...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nilisoma thread ya INVSIBLE juu ya zantel kupunguza bei za net kuwa sasa wana packge ya tsh 10,000 kwa 2GB. Mwanzoni walikuwa na packge ya 200MB kwa shs 10,000 ambayo ndo nilikuwa najinafasi nayo...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
nimeseoma kwenye blog ya michuzi kuwa huo ni uvuni mitu gonga hapa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wadau nisaidieni kupata game la magari linaitwa need for speed
0 Reactions
10 Replies
789 Views
WanaJF naomba Msaada Laptop yangu iko slow saana inatumia window VISTA nikiwa natumia internet inakuwa slow saana. Nimejaribu kuscan using Avira lakini ikiscan na kufika katikati inazimika, hapo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wana JF naomba kama kuna mtu mwenye kujua small Enterprisecompany dealing with IT na haswa kwenye kazi za kutoa Technical support hapo ZNZ ambayo naweza kushirikiana nayo/ nae kwenye kazi ani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Asalaam Aleikhum waungwana! Hivi karibuni watu wote waliopo kwenye adress book ya email yangu wamekuwa wakitumiwa messages as if nimezituma mimi message hizo ni za aina mbali mbali lakini...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hamjambo wana JF. Computer yangu iliingiliwa na virus na C drive , D drive na Flash disk vyote vikabadilika majina mfano C Drive ipo na herufi AOX0.... halafu C inafuata na D drive hivyohivyo ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Google said it will allow users to make free or deeply discounted calls right from Gmail to regular phones, ramping up the competition with Skype and similar services. Gmail users will see the...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana Jf, msaada jamani.........Nimenunua komputa, used. Ni HP Pavilon. Ina lugha ya Kifini, ninataka kubadili lugha kwenda kiingereza. Nimeshindwa kubadili lugha. Nina CD ya VISTA, nimeshindwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani ni siku ya tatu leo na ka DELL kangu kako very slow na kanakwama mara kwa mara na kila wakti yanatokea maneno hayo hapo juu, nisaidieni. Nilikuwa natumia anti virus ya norton kwa miaka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
HESHIMA MBELE I LOST ADMINISTRATOR PASSWORD FOR LOGIN IN WINDOW VISTA COMPUTER AINA YA COMPAQ LAKINI USE INGINE INAFUNGUKA KWANI SIKUWEKA PASSWORD. THE PAST I WAS OPENED TWO ACCOUNT ADMINISTRATOR...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Source: Paul Allen Sues Apple, Google, Others Over Patents - WSJ.com By DIONNE SEARCEY Billionaire Paul Allen has made major forays into cable television and sports teams since...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dialing #31# before the number in GSM Phone/network would make the caller display as PRIVATE . ie. block the caller IDENTITY for that call. (eg Dial #31#002557XXXXXXXX) Welcome to share any...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Apple likely to announce iPods, iTV, new iTunes on Sept. 1 By Helen A.S. Popkin Apple surprised industry insiders Wednesday afternoon with an invitation to its exclusive event at the Yerba...
0 Reactions
0 Replies
998 Views
Kama ningekuwa mwana ICT Kuchangia Nenda hapa! Kipindi naingia kwenye ulimwengu wa ICT nilikuwa na maswali mengi mno kichwani,nilipata shida sana kujiweka kwenye mstari kamili wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
hello naombeni msaada jamani....nina shida sana na software ya CUEBASE nataka kujifunza productions za mahubiri na nyimbo.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wajameni ninaomba mtu yeyote mwenye software/ au utaalam wa ku-protect CD/VCD/DVD zisiweze ku-kopiwa na wajanja wa mjini. Nina project ndogo ninayoifikiria kufanya hivo nahitaji kujua jinsi gani...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…