Madikizela
JF-Expert Member
- Jul 4, 2009
- 675
- 439
Asalaam Aleikhum waungwana!
Hivi karibuni watu wote waliopo kwenye adress book ya email yangu wamekuwa wakitumiwa messages as if nimezituma mimi message hizo ni za aina mbali mbali lakini zinahusu utapeli wa kibiashara kwa mfano message moja inasema wao ni mtandao wa kibiashara ambao unauza vitu kwa bei rahisi na mimi ni moja wa wateja wao! message hizi zinakosesha sana amani kwa kuwa ni za kitapeli na sielewi wameweza vipi kutumia password yangu.
Waungwana naomba msaada ili niondokane na tatizo hili
Hivi karibuni watu wote waliopo kwenye adress book ya email yangu wamekuwa wakitumiwa messages as if nimezituma mimi message hizo ni za aina mbali mbali lakini zinahusu utapeli wa kibiashara kwa mfano message moja inasema wao ni mtandao wa kibiashara ambao unauza vitu kwa bei rahisi na mimi ni moja wa wateja wao! message hizi zinakosesha sana amani kwa kuwa ni za kitapeli na sielewi wameweza vipi kutumia password yangu.
Waungwana naomba msaada ili niondokane na tatizo hili