Waungwana,
Nimeletewa unlocked BlackBerry Tour 9630, ambayo ilikuwa inatumika kwenye mtandao wa US Sprint.
Ninaweza kupiga na kupokea, lakini lazima kila namba inayopigwa lazima ianze na +255...
Watu wengi wamekuwa wakitumia neno CPU wakimaanisha Kompyuta,ila leo tutaona tofauti iliyopo kati ya CPU na Kompyuta,na kwanini watu wanapenda kutumia neno CPU wakimaanisha Kompyuta.Pia...
Wapendwanatumia huduma ya ttcl bb lakini leo computer yangu option ya TTCL haigunguki ili niweke pathword nitumie huduma hiyohata nikinda kwenye network connetion sioni opstion ya ttlc bb nifanyeje?
Report ya Systems Visual Networking Index (VNI) Study iliyotoka juzi inaonyesha matumizi ya network zetu (network usage) is changing. Vipengele nilivyoona muhimu...
- The average broadband...
Wadau mm nimteja wa hii bank kwa muda sasa, wanahuduma moja ya banking online, kwakweli nilivyoiona ktk matangazo yao nilipenda sana, hadha ya kupanga foleni itakwisha.. tena haijalishi uko dunia...
Wapenzi ndugu.
Nina kijana amemaliza elimu ya kidato cha nne mwaka huu. Nimeona apate COMPUTER COURSE level ya beginner hapo Dar ikiwezekana mwezi huu wa November 2010.
Nomba kufahamiswha...
Applies to: Microsoft Windows NT, Windows 2000, Windows XP
Symptoms
When you start your computer, you receive the error message "NTLDR is missing. Press any key to restart."
Cause
The...
habari zenu jamani
computer ambayo ninatumia kwa sasa inanisumbua kwa jambo moja kwamba kuna bar ambayo kama ukiminimize certain folder unaweza kuiristole kwa kuclik kwenye hiyo bar ila sasa...
Nimeingia jijini dar jana. Je ni wapi naweza kupata laptop mpya kwa bei kati ya laki tano hadi laki saba. Na yenye gerentii japo mwaka mmoja. Natanguliza shukrani wana JF kwa msaada wenu.
"USE THIS FOR EDUCATION ONLY,AM NOT RESPONSIBLE FOR ANY THING CONCERN THIS MATERIALS"
1.FUNGUWA BROWSER YAKO,MIMI NATUMIYA EXPLORE.
2.NENDA ANY LOGIN PAGE,NAOMBA LEO NITATUMIYA GMAIL...
Rapidshare is a great file sharing site , but sometimes it´s difficult to find wanted file in rapidshare. In this post i´ll show simple keyword trick, that can help a lot.
Go to google and...
Mimi ni mteja wa NMB na pia natumia sana NMB mobile katika kuhamisha pesa kwenda sehemumbalimbali.
Huduma ya NMB mobile imetusaidia sana hasa tulio na watoto wanaosoma boarding.
Nimeshangazwa na...
Sorry for posting this so late. Tri Labs will be conduction a two weeks web development workshop from 25th Oct - 5th Nov. During the workshop will we cover (XHTML/CSS, JavaScript using jQuery...
Wadau nisaidieni nataka kuwakimbia sasatel, kwani nikitoka tu nje ya Dar kwisha habari.
ingawa si mtaalamu na mzoefu wa modem za mitandao mingine lakini hii ya sasatel haitumii sim card ya sasatel...