Crdb banking online

Dedii

Member
Aug 16, 2010
76
7
Wadau mm nimteja wa hii bank kwa muda sasa, wanahuduma moja ya banking online, kwakweli nilivyoiona ktk matangazo yao nilipenda sana, hadha ya kupanga foleni itakwisha.. tena haijalishi uko dunia ipi muh imu uwe na conection ya internet.. tatizo nikifungua website yao nikienda ktk option ya hiyo huduma kinachofunguka ni saver timeout. naomba msaada kwa wanaojua namna ya kutumia hii huduma au labda hawana hii huduma?.
 
...tatizo nikifungua website yao nikienda ktk option ya hiyo huduma kinachofunguka ni saver timeout. naomba msaada kwa wanaojua namna ya kutumia hii huduma au labda hawana hii huduma?.

Huwa inafunguka vizuri tu, labda kwa sasa wana tatizo la mtandao.

Huduma hii ya internet banking wanayo. Mimi ni mteja wao na naitumia sana tu. Kujiunga ni lazima uende mwenyewe kwenye tawi lolote la CRDB. Huwezi kujiunga online
 
Huwa inafunguka vizuri tu, labda kwa sasa wana tatizo la mtandao.

Huduma hii ya internet banking wanayo. Mimi ni mteja wao na naitumia sana tu. Kujiunga ni lazima uende mwenyewe kwenye tawi lolote la CRDB. Huwezi kujiunga online

Hata mimi nilihitaji hii huduma nikaambiwa kuwa lazima uende kwenye tawi lao na kujaza form. Ila wanatoa huduma mbili tofauti ambazo ni online banking na nyingine nadhani wanaita internet banking (sina hakika). Mojawapo inakuruhusu kuingia kwenye account yako kutokea kwenye website yao na kufanya transactions ila nyingine inakuruhudu kutumia kadi yako kununua vitu online. Ni muhimu kwenda CRDB ili wakufafanulie. Mimi sikuwa na muda wa kutosha kwa hiyo nilishindwa kujiandikisha.
 
Hata mimi nilihitaji hii huduma nikaambiwa kuwa lazima uende kwenye tawi lao na kujaza form. Ila wanatoa huduma mbili tofauti ambazo ni online banking na nyingine nadhani wanaita internet banking (sina hakika). Mojawapo inakuruhusu kuingia kwenye account yako kutokea kwenye website yao na kufanya transactions ila nyingine inakuruhudu kutumia kadi yako kununua vitu online. Ni muhimu kwenda CRDB ili wakufafanulie. Mimi sikuwa na muda wa kutosha kwa hiyo nilishindwa kujiandikisha.

Huduma ya ''internet banking'' inakuwezesha kuaccess account yako kupitia internet. Yaani ukishaingia kwenye website ya CRDB, kuna jinsi ya kulog in.

Kwa huduma hii, unaweza kuangalia balance yako, transactions tofauti ulizofanya (debit/credit), kumtumia mtu pesa mwenye account na CRDB bank na pia kumtumia pesa mtu mwenye account na bank nyingine - japo kwa huduma hii huwezi kufanya mwenyewe chap chap, inabidi uwatumie message CRDB (wenyewe wanaiita secured message) na wao ndo watafanya transfer siku wakijisikia, unless uwapigie simu.

Hiyo nyingine unayoiita ''online'' haipo as such ila ni matumizi ya VISA card ya kawaida kabisa kwa bank za wenzetu unyamwezini. Yaani kama una VISA card ya CRDB, unaweza kuwatembelea CRDB (tawi lolote? not sure) na ukawaomba wakuruhusu kuweza kufanya shopping ONLINE. Kuna limit flani ya pesa wanayokuingizia kwenye mpango huo na ukiimaliza, unawatembelea tena ili wakuwekee tena.

So far, internet banking ya CRDB imetusaidia sisi tulio mbali na home. Ipo fast kiukweli na ukituma pesa online, wanafanya transfer faster.
 
Mimi naitumia muda mrefu sana kufungua site haina shida kabisa ila transfer nimefanya mara nne imenikubalia mara moja tuu.
 
Hata mimi nilihitaji hii huduma nikaambiwa kuwa lazima uende kwenye tawi lao na kujaza form. Ila wanatoa huduma mbili tofauti ambazo ni online banking na nyingine nadhani wanaita internet banking (sina hakika). Mojawapo inakuruhusu kuingia kwenye account yako kutokea kwenye website yao na kufanya transactions ila nyingine inakuruhudu kutumia kadi yako kununua vitu online. Ni muhimu kwenda CRDB ili wakufafanulie. Mimi sikuwa na muda wa kutosha kwa hiyo nilishindwa kujiandikisha.
Kutumia Visa card yako kufanya manunuzi online sio lazima huende kwenye site , una-swipe tuu kadi yako dukani au unaweka namba online.
 
Back
Top Bottom