Wadau mm nimteja wa hii bank kwa muda sasa, wanahuduma moja ya banking online, kwakweli nilivyoiona ktk matangazo yao nilipenda sana, hadha ya kupanga foleni itakwisha.. tena haijalishi uko dunia ipi muh imu uwe na conection ya internet.. tatizo nikifungua website yao nikienda ktk option ya hiyo huduma kinachofunguka ni saver timeout. naomba msaada kwa wanaojua namna ya kutumia hii huduma au labda hawana hii huduma?.