Nimeingia jijini dar jana. Je ni wapi naweza kupata laptop mpya kwa bei kati ya laki tano hadi laki saba. Na yenye gerentii japo mwaka mmoja. Natanguliza shukrani wana JF kwa msaada wenu.
Nimeingia jijini dar jana. Je ni wapi naweza kupata laptop mpya kwa bei kati ya laki tano hadi laki saba. Na yenye gerentii japo mwaka mmoja. Natanguliza shukrani wana JF kwa msaada wenu.
Nimewasiliana na mwenye hiyo namba anasema kwa sasa mzigo umeisha. Nitakuwa na siku tatu hapa dar hivyo wana Jf naomba msaada ili nipate mashine nzuli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.