Msaada ku unlock modem ya sasatel

Mayu

JF-Expert Member
May 11, 2010
6,633
10,712
Wadau nisaidieni nataka kuwakimbia sasatel, kwani nikitoka tu nje ya Dar kwisha habari.
ingawa si mtaalamu na mzoefu wa modem za mitandao mingine lakini hii ya sasatel haitumii sim card ya sasatel ili kuwa connected,ingawa inasehemu ya kuingiza sim card.

taarifa zake ni
SMU-101A
CDMA REV.A
USB MODEM

Napi kwa ndani kuna namba TS002044

Naomba kusaidiwa kuiunlock nataka kuhamia zantel au zain
Pia naomba kufahamishwa kama itafanikiwa kufanya kazi kwa mtandao wowote, je sitanilazimika kuinstall software itakayo sapoti zantel au zain nitakapo taka kujiunganao?, nitazipataje hizo software?.
msaada wenu ni muhimu
 
manufacturer? imei?
Mkuu yaani hayo ndio maandishi pekee ninayo yaona katika hii modem ya sasatel, labda kama kuna namna nyingine ya kujua imei na manufacturer,
Msaada tafadhali
 
Wadau nisaidieni nataka kuwakimbia sasatel, kwani nikitoka tu nje ya Dar kwisha habari.
ingawa si mtaalamu na mzoefu wa modem za mitandao mingine lakini hii ya sasatel haitumii sim card ya sasatel ili kuwa connected,ingawa inasehemu ya kuingiza sim card.

taarifa zake ni
SMU-101A
CDMA REV.A
USB MODEM

Napi kwa ndani kuna namba TS002044

Naomba kusaidiwa kuiunlock nataka kuhamia zantel au zain
Pia naomba kufahamishwa kama itafanikiwa kufanya kazi kwa mtandao wowote, je sitanilazimika kuinstall software itakayo sapoti zantel au zain nitakapo taka kujiunganao?, nitazipataje hizo software?.
msaada wenu ni muhimu

Namimi ninayo ya sasatel nataka kuifungua kwa mtandao wowote
wataalamu wahii kitu hebu tupeni maujuzi plse
 
Looking at the information you have given us, it is a CDMA modem. From my playing around with the HUAWEI modems, you may have to look at ISP that support CDMA technology. I know TTCL, Zantel and some Zain modems use that same technology. I have a friend that works with them, I will send you a private message with is number and you can ask him.All the best.
 
Looking at the information you have given us, it is a CDMA modem. From my playing around with the HUAWEI modems, you may have to look at ISP that support CDMA technology. I know TTCL, Zantel and some Zain modems use that same technology. I have a friend that works with them, I will send you a private message with is number and you can ask him.All the best.
Thanx for your reply,i m waiting
 
Sasatel are using CDMA technology, The other company using CDMA technology are TTCL and Zantel only other are using GSM 3G technology.I advice you to look CDMA chip and try to insert in to your moderm if will not work there must be locking technology applied .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom