Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Ni ukweli makampuni mengi ya simu yaana ushindani mkubwa sana na kila siku wanapenda kuwaletea update mpya Ili kufanya simu zao ziwe bora zaidi kiulinzi na vitu vingine. Lakini hapo hapo...
5 Reactions
8 Replies
3K Views
[emoji3531]
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wandugu habari Natumia iphone8 shida nayopata ni Mwamba nikiwasha data huwa unapata sana joto… tatizo inaweza kuwa nini wajuzi wa mambo Naomba msaada wenu
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Hello wajuzi wa mambo, Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam, kutokana na hali ya hewa nafikiria kufunga mfumo wa AC nyumbani (sebuleni) kwa kuanzia. Hata hivyo nimekuwa nikisikia mengi, mf; AC...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wapendwa naomba mnisaidie filta nzuri ya camera ya iphone! Naona wenzangu wakipiga picha zinakua nzuri ila mie na iphone yangu natoka kama nilivyo! Naomben msaada nidownload filter moja matata...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Salaam wanajukwaa wenzangu, Nimekuwa nikitumia startimes app kuangalia matangazo ya mpira live lakini napata changamoto ya kuona picha ndogo kwa sababu sipati full screen, nifanyeje wadau? Mwenye...
0 Reactions
0 Replies
541 Views
Redio ya kwanza inayotumia Mfumo wa Mawimbi ilianza kurusha Matangazo Mwaka 1895 baada ya Mvumbuzi Guglielmo Marconi kutoka Italia kufanikisha zoezi la Redio hiyo kusikika katika eneo la Kilomita...
0 Reactions
0 Replies
924 Views
Kuna mdau nilikua naongea nae anasema anablog tano hadi nimeshtuka! Anasema kwa mwezi angalau kuliko alivo kua na blog moja, wadau wazoefu hili likoje?
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari za muda huu wanajamvi! Ningependa niende moja kwa moja kwa mada husika pasi na kuwapotezea muda wa kusoma makala ndefu wakuu najua mmechoka na usiku huu Nahitaji sticker za kubandika...
0 Reactions
1 Replies
624 Views
Habari wandugu, simu yangu sikumbuki niliiweka wapi jana(nilikuwa bize na mgonjwa) sasa bado inaita hadi sasa, nawezaje kuipata? maeneo nayafahau ila sijui exact place
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Alipigiwa na wale matapeli wa mitandaoni wakampiga hela kwa kujidai namba yake inafungiwa kwa sababu inatumiwa na watu wawili na pia kuna hela imekuja kwake akafata maelezo akatapeliwa. Pia, Kuna...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakuu nawasalimu, Miaka kadhaa iliyopita niliajiriwa, nikafungua akaunti ambayo inaniwezesha kuangalia mshahara wangu na makato mengine kwenye mshahara wangu. Imepita miaka kadhaa Sasa tangu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TOFAUTI KATI YA IP CAMERA NA ANALOGY CAMERA ANALOGY CCTV CAMERA CCTV kirefu chake ni Closed-Circuit Television,Ni mfumo wa kukusanya taarifa za picha za video katika eneo Fulani kwa kutumia...
16 Reactions
27 Replies
12K Views
Mada yangu ya leo itaenda kwa wale wapiga picha za sherehe au shughuli, wauzaji wa camera pamoja na watumiaji wa Camera (sio camera za kwenye simu) Nimepanga kununua Camera kwaajili ya matumizi...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Mimi ni wakala wa mitandao ya simu, eneo nililopo lina wateja wengi hivyo kuna uwezekano wa kuhudumia wateja zaidi ya 150 kwa siku, shida ni kwamba huwa nakuwa na uraratibu wa kurekodi meseji zote...
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Habari zenuu Samahani naomba kwa wenye uzoefu na ujuzi, ninataka kufunga security camera nyumbani. Naomba kujua gharama na aina nzuri kwenye recording na ambayo pia ni rahisi kutumia (kuisoma)...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Oxford Insights inayoonesha Utayari wa Serikali za Nchi 181 duniani kuruhusu Teknolojia ya Matumizi ya Akili Bandia (AI), umeiweka Tanzania katika nafasi ya 14...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu habari za saa hizi... Naombeni msaada wenu, Nilikua nabadili taarifa za simu yangu coz mtumiaji anaenda kuwa mwingine nilichokosea ni kucancel kabla sijamaliza kujaza detail ikawa...
0 Reactions
8 Replies
952 Views
Welcome to DoSomething.org, a global movement of millions of young people making positive change, online and off! The 11 facts you want are below, and the sources for the facts are at the very...
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Habari wanaJF, Sometimes nakuta missed calls [emoji338] kwenye simu yangu ila ni namba angu nayoitumia inapiga kwa SIMCARD hii hii au ingine yaan laini ingine iliyoko kwenye simu yangu. Tatizo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…