Motorbikes could soon be sporting collision detection and other safety features more usually found on cars.
Research is testing ways to put these systems on motor bikes and how best to alert...
Wakuu habari za hapa.
Mimi niko hapa Moshi najaribu kuunganisha maisha na gundi ya maji. Hivi karibuni kijana wangu kanishauri nifungue internet cafe. Nimezunguka na nimepata sehemu. Leo alikuwa...
wakuu na wataalam wa ICT na hata wanaojua sheria sheria hasa zinahusu mambo ya ICT
Nependa kujua je sheria ya Tanzania inayataka makampuni ya simu yahifadhi mawasilino yetu kwa kwa muda...
Baada ya kuelezea kidogo jinsi ya kutrace email na mambo mengine watu wanataka kujua jinsi ya kuficha ip address zao , wengine wameuliza kama forum wanazotembelea ni salama au la , wengine...
Namaanisha Quality and Quantity amabayo inahimili mikiki yote ?
Kwa sasa naona kuna aina kibao
nikianza na :-
Dell
Toshiba
HP
Acer
Beng
na nyingine nyingi!
Computer yangu ina Windows 7 Pro, 32 bit. Ninapotaka kudownload file na kusave, au ku-attach file kenye intaneti, Browser inapoanza tu kufungua explorer (upate list ya folders na files kwenye PC)...
Wakuu'
please help me..
KUIFUNGUA HII MODEM ILI NIWEZE KUTUMIA MTANDAO WA VODACOM,AU MWINGINE WOWOTE.
THANK YOU IN ADVANCE
DATA ZAKE NI HIZI:
MODEL; E 160
SN;DK5TAA18C1103357
FCC ID;QISE 160...
Narudi tena jamvini.
Nimegundua kuwa neno la kukaribisha kwenye yahoo.Jina langu ni Kasimu Maganga na kuna wakti niki log in nakaribishwa na Hi,Kasimu na kuna wakati nakaribishwa na Hi,Maganga...
The most secure console of ths generation(not anymore)has been fully hacked by the group of hackers and the man himself Geo Hotz..Sony can do nothing about it but crying in the corner..they...
Tafadhalini wajemeni wenye uelewa wa haya mambo ya technology, naomba sana msaada wenu. Nina laptop yangu nimeweka window mpya ya darklite version 2009.. the problem come niweka flash disk kwenye...
wakuu ninahitaji kupata user name unlocker, ambayo iko strong. kunamoja niliipata How to Hack: Ethical Hacking and Cyber Security | Go Hacking
tatizo ina process ndefu mmno. halafu inabagua...
Baada ya kutembelea sehemu mbalimbali za nchi yetu, ni wazi tulipo sasa tumeshaka karibu miti yote kwa ajiri ya kutengenezea mkaa ambao unatumika kama nishati kwenye nyumba nyingi kuanzia vijiji...
Nimenunua jumamosi tar 22/12/2011 USB TV/AV Combo tuner with FM radio, CD ya drivers ni ya 32 bit windows na mimi natumia 64 bit windows 7. Naomba kama kuna mtu anatjua wapi naweza kudownload...
JAMANI NAOMBENI MNISAIDIE JINSI YA KU CRACK SERIAL NAMBA ZA HII SOFTWARE SpeedUpMyPC NIMEJARIBU NIMESHNWA....THRU THIS FIELD NAJUA KUNA MA CRACKER WENGI SANA.