Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kwa wataalam wa IT upande wa software engineering watakubaliana na Mimi kuwa udukuzi ni kitu cha kawaida kabisa katika tasinia ya technologia. Udukuzi hufanywa Mara nyingi sana. Lakini Kuna iana...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Eleza inkuwaje, he inawaka? Je inawaka na kuzima? Je inawaka alafu screen haioneshi? Je unata link ya programs zote bureee Je umechoka kununua antivirus? Tuzungumze uipate Dunia ya technology...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Huwa nakerwa sana na matangazo kibao nikifungua Internet kwenye simu yangu, MB zangu zinakwenda bure kwenye haya matangazo ambayo kwangu mimi hayanisaidii chochote. Wananzengo wajuzi nipeni njia...
0 Reactions
8 Replies
801 Views
Rundown Rwanda serve for Schooling Dr Valentine Uwamariya said the colleges and other higher learning foundations in the district ought to remain in front of the mechanical bend and adjust to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
During the previous 10 years, China has seen the jump forward of science and innovation (S&T), the fast improvement of sci-tech advancement capacity, and the unmistakable job that S&T plays...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Aspiration is there yet assets may not be, African scholastics caution in front of highest point.<br><br> African scholastics have cautioned that Russia's desolated economy might battle to...
0 Reactions
0 Replies
728 Views
Figure out how to interpret meeting minutes with GPT-4 and Murmur, including OpenAI's six ways to come by the best outcomes from GPT-4. Features. *OpenAI has delivered an instructional exercise...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
[emoji189] WhatsApp wanakuja feature mpya ya kuwasaidia watu kuwa na uwezo wa kutuma video fupi fupi kwa mfumo wa Message,ni kama vile voice message. [emoji189] Ceo wa Meta Mark Zuckerberg...
0 Reactions
0 Replies
831 Views
Natafuta Developer ntakaye weza kufanya nae project ndogo ya Deep learning. Malipo yapo. Ni project ndogo kwa ajili ya shule.
1 Reactions
5 Replies
848 Views
Naomba kuuliza ni duka gani naweza kupata brand new camera. Hilo duka liwe ni uhakika na pia litoe warranty isiyopungua mwaka mmoja. In short duka liwe la uhakika. Asanteni.
2 Reactions
6 Replies
693 Views
Kwa wanaotaka muongoza au njia nyepesi ya kuwa rubani. Hapa nawalenga wale wa long haul. Kurusha pipa kubwa la masafa na wala si hutu tu panzi na tupepeo twa kibongo. KARIBU
3 Reactions
43 Replies
2K Views
Whasap yangu sioni sehem ya lock chat na pia ile sehem ya voice note kwangu haikubali kuonesha video kam whasap wanavodai wameongeza vitu hivi. Whasap nimeiupdate lakini sion kitu, msaada please.
0 Reactions
2 Replies
363 Views
iOS 17 beta ina tatizo UPANDE wa sms sms hazitoki
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Twitter ni mtandao wa kijamii unaotumiwa na zaidi ya watu million mia moja kwa mwezi. Ni moja kati ya mitandao maarufu duniani nyuma ya Facebook. Twitter inakupa uwezo wa kuwasiliana na marafiki...
0 Reactions
9 Replies
13K Views
Wataalamu nahitaji msaada wa utambuzi wa uwezo wa hiki kifaa kabla sijayakanyaga maana nataka kulipia
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Apple wameleta feature mpya kwa ajili ya afya ya macho kwa watumiaji wa Simu za iphones na ipad. Itaweza kukusaidia kulinda macho kutokua makavu wakati unatumia simu. Feature inaitwa " screen...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Version---R554 (Satstar S6HD) 1, Added FTP update (Note: you can update new sw by 3G/4G/Wifi/Rj45 cable in the future) 2, Added Free IPTV live more than 2000pcs online
1 Reactions
8 Replies
9K Views
Hbr wakuu poleni pia na sakata la dp world Hoja Ninataka nimunulie wifi / shemeji wenu simu ya oppo au vivo ili niboreshe penzi ,SAS nauliza Ni ipi nzuri na durable .,na je Hawa kikuu Ni watu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu habari za muda huu natumaini mpo powa leo naomba watu wenye uelewa wa kutengeneza beat kwa FL studio wanisaidie. Mimi nina idea ya kutengeneza beat ila kuna vitu sivijui kupiga live kama...
0 Reactions
58 Replies
16K Views
  • Poll Poll
Habari Jf, Baada ya kuangaika sana katika harakati za kutafuta sehemu nzuri au kampuni nzuri itakayoweza kutoa Internet nzuri ya nyumbani na ofisini kwa gharama nafuu. TTCL : Nilitumia ka muda...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…