Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Habari wakuu. Vodacom Tanzania wana hii huduma yao inaitwa Sokoni. Inakuwezesha wewe kuuza au kumpata muuza bidhaa uitakayo kama vile simu, gari au ajira. Hii huduma ukitaka kupost tangazo ni...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
wadau, Nimesaidika mengi mno kupitia kwenu na sasa naombeni msaada wenu kuhusu hili. smartphone yangu aina ya tecno S9 imegoma kabisa kusoma sim card na nimeshindwa kabisa kugundua tatizo na...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wakuu nimejaribu ku google, nimesoma maelekezo ya namna ya kupata internet kwenye Laptop kwa kutumia connection iliyopo kwenye smart phone, yaaani "tethering" but sikufanikiwa. Naomba maujuzi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ama kweli ndama wa maskini hazai, akizaa huzaa dume. Nilikuwa na shauku Sana anko wangu aliponijulisha kuwa ataniletea simu kali. Hamadi, siku wa siku nikaletewa HTC one m7. Kuweka laini naambiwa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani mwenye ujuzi katika hayo mambo apo mawili naomba tupeane elimu jinsi gani hivi vitu vina weza kutengenezwa! Maana kuna project nataka kufanya na ivyo vitu vimo Nawasilisha kwenu waatalamu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Amani kwenu wanajamii forum naomba mwenye kujua jinsi ya kubadilisha password ya gmail anielekeze tafadhali nimeitumia muda mrefu ila sijui kuibadilisha maana napenda kubalisha kwa usalama wa...
0 Reactions
1 Replies
11K Views
wakuu..habari msaada galaxy note 2 imepoteza IMEI GHAFLA .inaandka no services hvyo siwez ku access mtandao.msaada wakuu.
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Heshima kwenu wanajamvi! Nilitaka ku-unlock app ya fotmob ili kuwa premier. Nimeclick hatua za mwanzo mpaka ilipofikia ikaniomba namba zangu za credit card nikaweka. Baada ya zoezi hilo ikaweka...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nipo serias wakuu,kwa kweli binti ananisumbua kupita kiasi,usiku nimepata tabu sana,naombeni msaada wa jinsi ya kumfungia kwenye simu anaweza chachafya ndoa yangu huyu.Simu yangu ni Nokia...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Mimi ni mpenzi wa vitu hivi lakini sina uwezo wa kununua madude haya. Naomba mwenye link ya english movies anirushie hapa. Natanguliza asante.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wana JamiiForums wenzangu ninashida sana na hii program. nimejaribu kuidowload sikufanikiwa, naomba msaada kutoka kwenu jinsi yakuipata. May God bless yhu all
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninashida na hii program nimejaribu kuidownload lakini sikufanikiwa, naomba msaada jinsi yakuweza kuipata kiurahisi.
0 Reactions
0 Replies
533 Views
wakuu naombeni msaada kwa hapo nina monitor ya hp 24,6 ina DVI input only nawezaje kuitumia kama TV bila PC.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wataalamu wa mambo ya digital. Masalaam kwenu sana na katika mambo haya ya digital kila siku msaada unahitajika,maana hakuna aliyezaliwa akawa anajua,lazima alipewa ufahamu. Sasa ndugu zangu...
0 Reactions
0 Replies
892 Views
Habari zenu wadau,tatizo la SYSTEM ERROR E100 kutokea kwenye photocopy machine IR 1600 inasababishwa na nini na jinsi gani naweza kulisolve ,naomba kufahamishwa zaidi kwa wenye ujuzi kuhusu hili...
0 Reactions
4 Replies
988 Views
Check out these fun International Space Station (ISS) facts: Enjoy a range of interesting facts about the International Space Station, how many astronauts have been to the station, how big the...
0 Reactions
0 Replies
739 Views
wakuu black bery yangu imezingua ukiiwash inleta vijimaneno operting system error nimewapelekea msfund usb. cable haisomi nifanyeje
0 Reactions
0 Replies
630 Views
Nna ndugu yang ana iPhone5 ya dark market akiiwasha inamdai email na password, amehangaika nayo sana bila mafanikio mwenye kujua anisaidie wakuu! naamin humu kuna wataalam wa kila aina...
0 Reactions
8 Replies
931 Views
Wakuu salaam! Simu yangu tajwa hapo juu imekata sauti upande WA videos na music. Upande WA simu za kawaida hakuna shida. Naongeza na kupunguza sauti vema. Mwenye ujuzi anisaidie.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Karibu mwezi sasa wamekuwa wananinyima internet bundle kila ninapojiunga na yatosha. Kila nikiripoti nakutana na wale useless customer care ambao sijui hata wanafanya kazi gani maana hawana msaada...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…