Habari wakuu.
Vodacom Tanzania wana hii huduma yao inaitwa Sokoni. Inakuwezesha wewe kuuza au kumpata muuza bidhaa uitakayo kama vile simu, gari au ajira. Hii huduma ukitaka kupost tangazo ni...
wadau,
Nimesaidika mengi mno kupitia kwenu na sasa naombeni msaada wenu kuhusu hili.
smartphone yangu aina ya tecno S9 imegoma kabisa kusoma sim card na nimeshindwa kabisa kugundua tatizo na...
Wakuu nimejaribu ku google, nimesoma maelekezo ya namna ya kupata internet kwenye Laptop kwa kutumia connection iliyopo kwenye smart phone, yaaani "tethering" but sikufanikiwa.
Naomba maujuzi...
Ama kweli ndama wa maskini hazai, akizaa huzaa dume. Nilikuwa na shauku Sana anko wangu aliponijulisha kuwa ataniletea simu kali. Hamadi, siku wa siku nikaletewa HTC one m7. Kuweka laini naambiwa...
Jamani mwenye ujuzi katika hayo mambo apo mawili naomba tupeane elimu jinsi gani hivi vitu vina weza kutengenezwa! Maana kuna project nataka kufanya na ivyo vitu vimo
Nawasilisha kwenu waatalamu...
Amani kwenu wanajamii forum naomba mwenye kujua jinsi ya kubadilisha password ya gmail anielekeze tafadhali nimeitumia muda mrefu ila sijui kuibadilisha maana napenda kubalisha kwa usalama wa...
Heshima kwenu wanajamvi!
Nilitaka ku-unlock app ya fotmob ili kuwa premier.
Nimeclick hatua za mwanzo mpaka ilipofikia ikaniomba namba zangu za credit card nikaweka.
Baada ya zoezi hilo ikaweka...
wana JamiiForums wenzangu ninashida sana na hii program. nimejaribu kuidowload sikufanikiwa, naomba msaada kutoka kwenu jinsi yakuipata. May God bless yhu all
Wataalamu wa mambo ya digital.
Masalaam kwenu sana na katika mambo haya ya digital kila siku msaada unahitajika,maana hakuna aliyezaliwa akawa anajua,lazima alipewa ufahamu.
Sasa ndugu zangu...
Habari zenu wadau,tatizo la SYSTEM ERROR E100 kutokea kwenye photocopy machine IR 1600 inasababishwa na nini na jinsi gani naweza kulisolve ,naomba kufahamishwa zaidi kwa wenye ujuzi kuhusu hili...
Check out these fun International Space Station (ISS) facts:
Enjoy a range of interesting facts about the International Space Station, how many astronauts have been to the station, how big the...
Nna ndugu yang ana iPhone5 ya dark market akiiwasha inamdai email na password, amehangaika nayo sana bila mafanikio mwenye kujua anisaidie wakuu! naamin humu kuna wataalam wa kila aina...
Wakuu salaam! Simu yangu tajwa hapo juu imekata sauti upande WA videos na music. Upande WA simu za kawaida hakuna shida. Naongeza na kupunguza sauti vema. Mwenye ujuzi anisaidie.
Karibu mwezi sasa wamekuwa wananinyima internet bundle kila ninapojiunga na yatosha. Kila nikiripoti nakutana na wale useless customer care ambao sijui hata wanafanya kazi gani maana hawana msaada...