zwangandaba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 750
- 1,426
Habari zenyu wakurungwandu.
Nisiwachiahe na hizi swaum. Nijielekeze kwenye mada moja kwa moja.
1. Nahitaji fundi wa projector aina ya Epson. Shida yake ni kutowaka
2. TCL flat screen 42'. Ilipata hutilafu fundi kanambia shida ni kioo ila hajui pa kuvipata.
Kama yupo anaeweza kurepair vyote au kimojawapo basi anijuze.
Asallm aleykum
Nisiwachiahe na hizi swaum. Nijielekeze kwenye mada moja kwa moja.
1. Nahitaji fundi wa projector aina ya Epson. Shida yake ni kutowaka
2. TCL flat screen 42'. Ilipata hutilafu fundi kanambia shida ni kioo ila hajui pa kuvipata.
Kama yupo anaeweza kurepair vyote au kimojawapo basi anijuze.
Asallm aleykum