00' Mwamuzi anapuliza kipenga kuashiria mwanzo wa mchezo
30' Luis Miquissone anapiga goli la kwanza kwa upande wa Simba
32' Goli la Simba halidumu baada ya Zemanja Soze wa AS Vita kusawazisha...
Bila kupepesa macho wala kung’ata maneno Mlindalango wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars na Klabu ya Simba Aishi Manula ndiye golikipa namba moja kwa hivi sasa nchini.
Na hili...
Leo niota ndoto mbaya Sana chama la wanasimbazi limefungwa bao 1-2 ilininyima usingizi wangu kbs hadi asbh na kuomba iishie kuwa ndoto.
Nilijifariji pale nilipokumbuka kuwa si mara zote au nyingi...
Evander alipigwa zile Iron fist nyingi sana ingawa na yeye alikua anatoa kombora zake.
Ukiangalia video Evander kavimba uso Mzima. Ndio siku hiyo akadai amengatwa sikio. Tyson akaporwa taji...
Klabu ya El Merreikh ya Sudan inadaiwa kuwa inataka kumsajili golikipa wa Simba Aishi Manula ,25, kwa dola 100,000 (Tsh milioni 231) na mshahara wa dola 8000 (Tsh milioni 18.5) kwa mwezi."
Simba SC na AS Vita ya DRC Kesho 03.04.2021 saa 10 jioni
Ifikapo kesho saa 10 jioni pale uwanja mkubwa wa soka Tanzania maarufu kwa Mkapa kutakuwa na mtanange wa kukata na shoka kati ya...
Kwa taarifa za awali na zilizonifikia ni kua mpaka sasa club ya Simba imeruhusiwa kuingiza mashabiki 10000 kwenye mchezo wa trh 3/4/2021 dhidi ya As Vita Club .
Taarifa njema kwa simba ilocheza...
Itoshe kusema kwamba ndani ya misimu hii mitano huyu ndio golikipa bora kwa Tanzania. Kumlinganisha na golie wengine ni kumkosea heshima tu. Tusisubiri mpaka Rais Samia amtolee tamko. Hii kesi...
Bao pekee la nahodha Emilio Nsue Lopez dakika za 90 kwa timu yake ya Equatorial Guinea limesukumiza nje Tanzania katika kutafuta tiketi ya kufuzu Africa Cup of Nations (AFCON) hapo jana usiku...
Nakumbuka miaka michache nyuma ilikuja timu ya Comoro hapa ikabezwa sana na tukaelezwa ile nchi haina hata Ligi..
Sasa nimesikia inchi hii imecheza na misri jana na kutoka Sare
Haya ni...
Lionel Messi katika private jet yake akielekea katika jiji la Manchester kusaini mkataba wa kuichezea Man City kuanzia msimu ujaoCity wamethibitisha kuwa watamtambulisha Muargentina kama mchezaji...
Kama ni kweli ina vazi jekundu, basi hakushauriwa vizuri. Tanzania haina doa jekundu pahala, lakini pia ziko timu kubwa sana hazina doa la aina hiyo. Kuna watu wanaweza kusita kuiweka kwenye...
Yule beki kisiki wa Simba Joshua Onyango amekutwa na Covid na wenzake watatu" Al-Duhail striker Michael Olunga, Simba SC defender Joash Onyango, Zesco United goalkeeper Ian Otieno, and Sofapaka...
Wakati mashabiki wa Atletico Madrid wanapiga simu majumbani kwao kwa furaha kwamba wameishuhudia timu yao pendwa ikitwaa Ubingwa wa kwanza Ulaya,
Wakati huo mashabiki wa Real Madrid wanamwaga...
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limemteua Inspekta Hashimu Abdallah kuwa Ofisa Usalama wa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF CL) kati ya Simba SC na AS Vita Club FC (DR Congo)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.