Mike Tyson na Evander Holyfield

babukijana

JF-Expert Member
Jul 21, 2009
13,069
15,926
Evander alipigwa zile Iron fist nyingi sana ingawa na yeye alikua anatoa kombora zake.

Ukiangalia video Evander kavimba uso Mzima. Ndio siku hiyo akadai amengatwa sikio. Tyson akaporwa taji. Kipindi hicho nafkiri Tyson alikua na msongo wa mawazo kuachwa na Robbin aliyeondoka na kila kitu alichokipigania jamaa.

Wanawake muwe na huruma kidogo. Mike Tyson leo ni mtu wa kujenga shamba la bangi kama mchicha wa pale Hai.

Projects nyingi anazo kivyake kwasasa, ila najua siku akisema ukweli hao huko wataungua
 
Lenox Lewis alichana macho mawili ya Tyson na alimdondosha mara 3 siku hiyo.

Tyson aliomba poo.

James Douglas Buster "Chawa wa Evander "alimdondosha Tyson.

Jamaa alikua Chawa tu, Evander alisema kalipa dolar mil 7 hilo pambano ili aje apigane na Tyson.
 
Hizo ligi mbili naweka hapa, Tyson kapigwa sana na Lenox akakubali.
Douglas buster alimuotea tu akamtwanga Tyson round chache tu.
 
Tyson alikuwa amezoea kupiga watu round ya 1-2, hakuwa na pumzi ya kwenda round kama ya 8. hivi. Hollyfield alikuwa ni mtu si wa kupigwa kwenye round hizo na ndiyo maana alimuaibisha Tyson. Lennox Lewis pekee ndiye aliyempiga Evander na si Tyson. Tyson alikuwa hajui ngumi za kucheza round kuanzia 4 kwenda mbele. Alikuwa nacheza ngumi kwa kubahatisha
 
Kati ya mapambano ambayo siwezi kumaliza kuangalia kuanzia mwanzo hadi mwisho ni haya ya Tyson na Evander.
Huwa naumia sana kuona Tyson amekalishwa chini.
 
Kati ya mapambano ambayo siwezi kumaliza kuangalia kuanzia mwanzo hadi mwisho ni haya ya Tyson na Evander.
Huwa naumia sana kuona Tyson amekalishwa chini.
Jaribu kucheck la Evernder na Bowe. Jamaa walipigana mara mbili. Ukiangalia hayo mapambano ndio utajua kuwa roho ya binadamu ni ngumu sana kuacha mwili. Walikuwa na nia ya kuuwana.

Ni moja ya pambano bora kabisa kupifanwa kwenye hii sayari. Nadhani baada ya lile na uzito wa kati kati ya Arturo Gatti na Mike.
 
OVERRATED 'IRON Hakuwa MKALI Kiivyo Lakini Wanahabari Walimvimbisha Kichwa....! Mapambano bora Ya mwisho kutokea ni Yale Kati Evander na Lennox Lewis.
 
Tyson alikuwa hard puncher mzur na hapigiki when he was at his prime in 89s,,
ila ujana, pombe na anasa zilichangia sana kumuondoka uyu mwamba kwenye ubora wake,,
Evender alikuwa mbishi sana uyu mwamba anameza ngumi tu na aliweza kumaliza round 15 na hard puncher Kama The Big George foreman na akashinda,,Tyson nae akamkalisha.
Lenox was the best of them alikuwa na power , displine and a skilled boxer .
Wote hao juu walikalishwa na huyu mwamba,.
Lenox vs Big Dady nazani lingekuwa pambano nzur Sana.
 
Back
Top Bottom