OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,716
Tunafungua faili jipya tunasema Aishi Manula anatosha kuwa goli kipa namba moja Afrika. Onyango wa Mamelod anasubiri. Sote tumeona save za hatari alizofanya Congo na ile game ya Al Ahl. Leo mechi ya Libya ametufunga midomo kabisa.
Bishoo AirManula hongera sana