ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Nakumbuka miaka michache nyuma ilikuja timu ya Comoro hapa ikabezwa sana na tukaelezwa ile nchi haina hata Ligi..
Sasa nimesikia inchi hii imecheza na misri jana na kutoka Sare
Haya ni maajabu,Nini siri ya hawa wangazija?
Sasa nimesikia inchi hii imecheza na misri jana na kutoka Sare
Haya ni maajabu,Nini siri ya hawa wangazija?