Rwanda Forum

Murakaza neza ku rubuga rwa JamiiForums. Nezerwa n'amakuru n'ibiganiro bitandukanye mu rurimi rw'ikinyarwanda
https://kivutoday.com/outrage-as-wazalendo-rebels-undress-woman-allow-new-husband-to-rape-her-publicly-in-south-kivu/. Inawezekanaje binadamu mwenye akili timamu kuwapa adhabu watu ya kuingiliana...
1 Reactions
2 Replies
91 Views
Zoezi linaloonekana kuvuruga serikali ya DRC, uongozi wa M23 unawataka wananchi wote wenye noti za zamani zilizochakaa na kuhalibika, kuwa wanaweza fika matawi ya Benki ya CODECO wakiwa na hizo...
1 Reactions
2 Replies
100 Views
Kwa kauli ya msemaji wa kisiasa wa M23, Lawrence Kanyuka, Baada ya mashambulizi ya drones huko Kivu kusini katika makazi ya watu wa kundi la wanyamlenge, ambapo wengi wameuwawa na mali zao...
1 Reactions
2 Replies
255 Views
Baada ya hali ya utata katika makubaliano ya amani kati ya DRC na AFC/M23, inasemekana mbinu za kijeshi zinatumiwa kwa ufasaha, na mpaka sasa, M23 ipo eneo lijulikanalo kama Lubumba. Za chini ya...
1 Reactions
2 Replies
146 Views
True love for the next generation means freeing them from the chains of inherited falsehoods. Every child is born with a mind ready to explore, question, and understand, but that pure curiosity...
1 Reactions
2 Replies
182 Views
Siku ya tatu leo baba watoto hapokei simu wala hasomi meseji zangu sijui yuko na nani huko aliko.
2 Reactions
2 Replies
164 Views
Mwendesha mashitaka katika mahakama ya kijeshi nchini DRC, ameiomba mahakama kumpa adhabu ya kifo rais mstaafu wa nchi hiyo, Mhe Joseph Kabila. Anakabiliwa na tuhuma za kutaka kupinduwa serikali...
1 Reactions
2 Replies
603 Views
Kuna usemi kwamba binadamu/Wana adamu tumeumbwa kuwa watumwa wa viumbe wengine nijambo ambalo sio rahisi kuliamini Lakini kiukweli Hali ipo hivyo Yani Kama vile ambavyo mwanadamu...
1 Reactions
3 Replies
245 Views
1. AFC/M23 haitaachia maeneo iliyo nayo mpaka sasa. 2. Baada ya Qatar kuona nguvu ya AFC/M23, inajitahidi kuhimiza serikali isaini makubaliano, kwa sababu waasi hawa wana nguvu ya kutosha kufika...
1 Reactions
2 Replies
235 Views
1 Reactions
3 Replies
174 Views
Mkataba huu ulioandaliwa na serikali ya Qatar,inasemekana rais wa DRC,hakuafikiana nao,kama ilivyotangazwa na waziri mkuu wa Ubeljiji. Badhi ya vigezo, ni kuitaka serikali ya DRC kuachia...
1 Reactions
2 Replies
199 Views
Walimu walikuwa wakitoa mazoezi ya nyumbani(Homework), kwa lengo la kumuwezesha mwanafunzi kujikumbusha aliyosoma na kuangalia uelewa wake, ili aweze saidiwa pale anapoonekana hafanyi vizuri. Leo...
1 Reactions
2 Replies
150 Views
Hapa duniani usije ukahisi kwamba kuna mtu anakuonea huruma...hayupo mtu wa hivyo... Huyu watu anaowatapeli wengi ni wa kipato cha chini tena wagonjwa ambao wanapaswa kuonewa huruma....
1 Reactions
2 Replies
182 Views
Kwenye Mahusiano, kuna vitu vitatu iitakavyomfanya mwanaume uliyenaye akuache mapema: 1. UONGO, 2. DHARAU sa 3. USALITI. Ukitaka mwanaume wako aanze kufikiria kuondoka kwako mdanganye kila...
1 Reactions
2 Replies
237 Views
Msemaji mkuu wa kisiasa, bwana Oscar balinda, nae alikanusha tuhuma hizo, akidai hakuna aliefika na kukusanya taarifa zilizotangazwa, na kwamba iwapo yataonekana makaburi yao au kaburi la pamoja...
1 Reactions
2 Replies
101 Views
Kuna umri ukifika, marafiki wanapungua, pesa haipatikani, na simu haziiti. Hiki kipindi kinaweza kukufanya ujihisi umepotea na kutoka kwenye reli ya mafanikio ya maisha. Lakini amini, hiki huwa ni...
1 Reactions
2 Replies
177 Views
Ladies ukifika miaka 20 harakisha kutafta mtu akuoe. Hapa ndo damu inakuchemka zaidi, ndo maana unahitaji mtu wa kutulia nae, ili isikuchemkie vibaya kikakuramba. Ukifika miaka 25 na hujaolewa...
0 Reactions
1 Replies
159 Views
Back
Top Bottom