https://kivutoday.com/outrage-as-wazalendo-rebels-undress-woman-allow-new-husband-to-rape-her-publicly-in-south-kivu/.
Inawezekanaje binadamu mwenye akili timamu kuwapa adhabu watu ya kuingiliana...
Zoezi linaloonekana kuvuruga serikali ya DRC, uongozi wa M23 unawataka wananchi wote wenye noti za zamani zilizochakaa na kuhalibika, kuwa wanaweza fika matawi ya Benki ya CODECO wakiwa na hizo...
Kwa kauli ya msemaji wa kisiasa wa M23, Lawrence Kanyuka,
Baada ya mashambulizi ya drones huko Kivu kusini katika makazi ya watu wa kundi la wanyamlenge, ambapo wengi wameuwawa na mali zao...
Baada ya hali ya utata katika makubaliano ya amani kati ya DRC na AFC/M23, inasemekana mbinu za kijeshi zinatumiwa kwa ufasaha, na mpaka sasa, M23 ipo eneo lijulikanalo kama Lubumba.
Za chini ya...
True love for the next generation means freeing them from the chains of inherited falsehoods. Every child is born with a mind ready to explore, question, and understand, but that pure curiosity...
Mwendesha mashitaka katika mahakama ya kijeshi nchini DRC, ameiomba mahakama kumpa adhabu ya kifo rais mstaafu wa nchi hiyo, Mhe Joseph Kabila.
Anakabiliwa na tuhuma za kutaka kupinduwa serikali...
Kuna usemi kwamba binadamu/Wana adamu tumeumbwa kuwa watumwa wa viumbe wengine
nijambo ambalo sio rahisi kuliamini
Lakini kiukweli Hali ipo hivyo
Yani Kama vile ambavyo mwanadamu...
1. AFC/M23 haitaachia maeneo iliyo nayo mpaka sasa.
2. Baada ya Qatar kuona nguvu ya AFC/M23, inajitahidi kuhimiza serikali isaini makubaliano, kwa sababu waasi hawa wana nguvu ya kutosha kufika...
Mkataba huu ulioandaliwa na serikali ya Qatar,inasemekana rais wa DRC,hakuafikiana nao,kama ilivyotangazwa na waziri mkuu wa Ubeljiji.
Badhi ya vigezo, ni kuitaka serikali ya DRC kuachia...
Walimu walikuwa wakitoa mazoezi ya nyumbani(Homework), kwa lengo la kumuwezesha mwanafunzi kujikumbusha aliyosoma na kuangalia uelewa wake, ili aweze saidiwa pale anapoonekana hafanyi vizuri.
Leo...
Hapa duniani usije ukahisi kwamba kuna mtu anakuonea huruma...hayupo mtu wa hivyo...
Huyu watu anaowatapeli wengi ni wa kipato cha chini tena wagonjwa ambao wanapaswa kuonewa huruma....
Msemaji mkuu wa kisiasa, bwana Oscar balinda, nae alikanusha tuhuma hizo, akidai hakuna aliefika na kukusanya taarifa zilizotangazwa, na kwamba iwapo yataonekana makaburi yao au kaburi la pamoja...
Kuna umri ukifika, marafiki wanapungua, pesa haipatikani, na simu haziiti. Hiki kipindi kinaweza kukufanya ujihisi umepotea na kutoka kwenye reli ya mafanikio ya maisha. Lakini amini, hiki huwa ni...
Ladies ukifika miaka 20 harakisha kutafta mtu akuoe.
Hapa ndo damu inakuchemka zaidi, ndo maana unahitaji mtu wa kutulia nae, ili isikuchemkie vibaya kikakuramba.
Ukifika miaka 25 na hujaolewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.