Rwanda Forum

Murakaza neza ku rubuga rwa JamiiForums. Nezerwa n'amakuru n'ibiganiro bitandukanye mu rurimi rw'ikinyarwanda
Brothers ipo hivi: Mwanamke ukimuelewa na akaanza kukuletea mambo meusi, wala usihangaike. Downlaod app ya mkopo, kopa tu. Af, namba yake iweke kama mdhamini wako. Deni usilipe. Ataanza...
0 Reactions
1 Replies
117 Views
Uwanja wa ndege wa Nzibira, huko Kivu kusini, uliopo katika eneo lililokuwa likilindwa na Wazalendo kushilikiana na jeshi la Burundi, jana tarehe 10 August, ulibaki mikononi mwa M23 baada ya...
0 Reactions
1 Replies
225 Views
Mwanaume ukiwa na akili sana kwenye mahusiano huwa anajaj sna ,hua na question sana,hua anakua active sana kiakil, kiutimam kitu ambacho kina mpa wakati mgumu mwenza wako hasa wale ambao...
0 Reactions
2 Replies
126 Views
Ni hilo tu. Chaguo sahihi, ni mafanikio. Ukikosea, majuto boda wako.
1 Reactions
16 Replies
412 Views
Ngono si mapenzi, kwenda kwenye miadi si mapenzi, kuzungumza na mtu kila wakati si mapenzi, wala kukesha usiku kucha kwa ajili ya mtu si mapenzi.Mapenzi ni pale mtu anapokuona kwa udhaifu wako...
0 Reactions
1 Replies
138 Views
1. Mwanamke mwenye mdomo, anaongea kuliko kawaida (umbea umbea) 2. Anayeamini uchawi (mshirikina) 3. Mwanamke anayependa hela kama ATM Mwanamke aliyeweka pesa mbele ni ngumu kudumu nae kwenye...
0 Reactions
1 Replies
151 Views
Mapenzi ndo darasa pekee binadamu huingia na roho nzuri, lakini anatoka katili. Kwa nini? Mwalimu ndo hafai? Tena wengine unafundishwa na uchawi kabisa.
0 Reactions
1 Replies
91 Views
Tukiwa Single, hamtutaki. Tukishapata mtu, mnatutext hata usiku ili tushikwe tuwe tena ma single. Mna nini? Nda yale ya yule mnyama anaetambua umhimu wa mkia unapokuwa umekatika!!!
0 Reactions
1 Replies
114 Views
Nani anabisha? Mme hukumu ya miaka 20. Mke anawaza aolewe,abaki amlelee mfungwa?! Mfungwa nae anawaza watoto wake wataenda wapi! Mwenake ataoa/kuolewa? Ataenda na watoto, je siku akitoka...
0 Reactions
1 Replies
109 Views
Mwanamke ndio kiumbe pekee ambaye kitu anachokitaka leo hakitaki kesho Kitu anachokipenda leo hakipendi kesho na mbaya zaidi anaweza kurudi kwenye vitu vile vile ambavyo alisema havipendi...
0 Reactions
1 Replies
361 Views
Bunge la serikali ya Rwanda, lipo katika hatua za mwisho kutia saini sheria inayomruhusu mtoto wa miaka 15 kupata huduma ya uzazi wa mpango bila wazazi wake kushilikishwa. Je, ikiwa bunge...
1 Reactions
3 Replies
213 Views
Mara nyingi utaonekana kama msumbufu au mkorofi pale unapoweka mipaka na kutoruhusu watu kukufanyia wanavyotaka
1 Reactions
6 Replies
153 Views
Mambo yote watu wanayohusisha ndoa na Mungu yanatoka wapi? Alieandika amri 10, kama hakusahau kuhusu ndoa, ni kwamba ni jambo lisilo na umhimu. Mungu aliacha zivurugike makusudikali.
1 Reactions
3 Replies
171 Views
Kila mtu siku zote hujiuliza lipi afanye, ili aweze kufikia walipo wale anaowachukulia kama mifano ya kuigwa(role models). Kila mtu hujiuliza siri ya mafanikio yao kupata walicho nacho, au...
1 Reactions
2 Replies
94 Views
Back
Top Bottom