Rwanda Forum

Murakaza neza ku rubuga rwa JamiiForums. Nezerwa n'amakuru n'ibiganiro bitandukanye mu rurimi rw'ikinyarwanda
Marekani, Ufaransa, Uingeleza na Italy, ni nchi ambazo zimekwishatangaza kusitisha safari za ndege kuelekea uwanja wa Merchiol Ndadaye Internationa Airport huko Burundi. Taarifa zilizopo zinadai...
0 Reactions
0 Replies
250 Views
Serikali ya Rwanda kwa kushirikiana na Kampuni ya Ujenzi ya China ya Road and Bridge Corporation (CRBC) wamezindua Ndege taksi ya umeme inayojiendesha yenyewe ikiwa ni ya kwanza Barani Afrika...
0 Reactions
0 Replies
116 Views
Hata sijui uchukue tu mwanao, mahari sidai kabisa.
0 Reactions
0 Replies
72 Views
Gharama za maisha zinazidi kupanda, Wengi hawana vyanzo vya mapato vya kuaminika, wenye mishahara, ipo pale pale. Kazi ndani ya kazi
0 Reactions
0 Replies
75 Views
Hadi inafika hatua ya mwanaume anafanya maamuzi ya kuondoka kwako anakuwa amejaribu njia nyingi ili ubadilike, hakuachi kwa kosa la siku moja... Mwanaume anakuacha kwa mlolongo wa makosa mengi...
1 Reactions
2 Replies
98 Views
Mwanaume ukiona mwanamke wako kukutembelea ni hadi umbembeleze na kumuomba sana tena ni hadi utekeleze masharti yake kadha wa kadha ikiwemo kumtumia nauli hapo ndugu yangu shtuka mapema uamke...
1 Reactions
5 Replies
206 Views
Hali imekuwa tete nchini Burundi, kutokana na ukosefu wa umeme kwa muda mrefu. Mbali na kusitishwa huduma nyingi zinazohitaji umeme, vichanga katika hospitali mbali mbali nchini vilivyokuwa chini...
1 Reactions
5 Replies
286 Views
Kiwanda cha Ryvid kutoka California, kimeingia sokoni nchini Rwanda, kwa ajili ya muazo ya pikipiki zitumiazo nishati ya umeme. Bei zake ni kama ifuatavyo: 1. Ryvid Anthem $7,995, 2. Ryvid...
1 Reactions
2 Replies
452 Views
Katika mahusiano, kitu kinachoweza kumfanya mwanaume awe na furaha na kumtamani zaidi mke wake si sura nzuri pekee, si urembo wa mavazi, na hata si ujuzi wa jikoni pekee; bali ni moyo wa shukrani...
1 Reactions
2 Replies
275 Views
2 Reactions
2 Replies
120 Views
Rwandair imenunua kwa mkupuo ndege mbili za Boeing 737-800. Kila moja in auwezo wa kubeba abilia 174. Shilika hili la usafili wa anga, limeonyesha kukua kwa kasi, na baada ya kujiunga na Qatar...
1 Reactions
2 Replies
134 Views
Huko DRC, Kivu kuaini, inasemekana jeahi la serikali na wasaidizi wake,leo na jana wamemimina risasi kwa kutumia silaha nzito,katika makazi ya wanyamulenge. Msemaji wa AFC/M23 Lawrence Kanyuka...
1 Reactions
2 Replies
141 Views
Wanaume: ukitaka kuoa; oa mwalimu. Anakaa darasani na aajinga zaidi ya mia moja na wote anawavumilia.. Hawezi kushindwa kukaa na wewe mjinga mmoja tu.
1 Reactions
2 Replies
171 Views
Watafiti wa shirika la Gamaleya huko Urusi, wamesema miaka miwili mbele, chanjo ya ukimwi itaanza kutolewa baada ya kuidhinishwa na shirika la afya duniani. Sputnik V,chanjo ya Covid-19...
1 Reactions
2 Replies
151 Views
Huyu alihukumiwa kuhusika na mauaji halaiki nchini Rwanda dhidi ya watutsi, mwaka 1994. Alipomaliza kifungu chake, hakutaka kurudi Rwanda kufuatia hofu ya usalama wake. Pamoja na wenzie...
0 Reactions
2 Replies
126 Views
Moto uliozuka leo Bukavu na kuunguza nyumba na bidhaa za kibiashara, Rwanda imetuma kikosi chake cha zimamoto kutoa msaada, jambo lililowafurahisha wakazi wa mji huo na kudai ni matunda ya ujirani...
1 Reactions
2 Replies
122 Views
Kwa mara ya kwanza, katika zoezi la kuimalisha usalama na kujenga ngazi za usalama wake, M23 imetoa kwa mara ya kwanza, Police wake. Mkuu wa kundi hilo, Gen Sultani Makenga, ameomba wahitimu wawe...
0 Reactions
2 Replies
126 Views
Back
Top Bottom