Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Habaripoint.com tumetengeneza mfumo unaoitwa Secondary School Academic Information Managemement System(SSAIMS) Unadownload free: Mfumo huu kazi yake kuu ni kuandaa ripoti za matokeo ya wanafunzi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa mliofanya interview za Mwalimu Nyerere University of Agriculture, tujuzane format ya mitihani yao wadau.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
THE POSITIONS All the positions are based in Iringa, Tanzania FDT will pay a competitive salary based on skills and experience An initial 2-year contract will be offered, renewable depending on...
0 Reactions
0 Replies
907 Views
Habari wanaJF, Mimi ni mtumishi wa umma ninatafuta mtu wakubadilishana naye kituo cha kazi, kada ya utunzaji kumbukumbu 'Record management assistant II' wakutoka mikoa kati ya Dodoma, Morogoro au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninapenda sana kuandika, na ni professionally schooled on it. Mimi ni graduate wa BA English Linguistics. Ningependa kupata kazi kama contributor wa magazine, online source/website au newspaper...
5 Reactions
8 Replies
1K Views
Hi! Anahitajika kijana mmoja haraka, aliemaliza form six, anaeishi hapa dar, kwa kazi ya sales agent wa IT software na hardware za kampuni yetu kwa makampuni mengine. Atapewa nauli kila wiki na...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari zenu wadau? Naomba kuuliza mshahara wa laboratory technician mwenye ngazi ya cheti ,mshahara wake unaweza kuwa shilingi ngapi kwa mwezi?
0 Reactions
11 Replies
17K Views
Imekua sasa ni desturi kwa kila kijana kufikiria kuajiriwa katika serikali au makampuni binafsi. Nadhani ifike mahali wakae chini wachange mawazo na kujiajiri binafsi yaani self employment, kwa...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
USAILI WA MCHUJO UTAFANYIKA SIKU YA ALHAMISI 12/05/2016 NA IJUMAA TAREHE 13/05/2016. NAFASI ZITAKAZOFANYA USAILI WA MCHUJO NI KAMA IFUATAVYO Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za kazi, Wanahitajika wataalamu wa maabara kwa ajili ya maabara mpya binafsi inayotarajiwa kufunguliwa hivi karibuni mkoani Mbeya. Nafasi 1. Health Laboratory Technologist (Nafasi 1 -...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF Nahitaji kijana wa kiume wa kukaanga chips na kuchoma nyama. Vigezo: 1. Awe anajua kupika chips vizuri 2. Awe anaweza kuchoma aina mbalimbali za nyama 3. Mchangamfu na mwenye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa ajili ya kusimamia duka kubwa la dawa; pia anatakiwa fundi dawa (pharm tech) na disdensing staff wengine. Wenye sifa tafadhali wanipm na wawe tayari kufanya kazi Dar au Bagamoyo
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Sasa huku ni kupotezeana muda,unawezaje kuita watu 700 na ushee kwa nafasi moja ya kazi....This is too much utumishi...Siwezi kuudhuria hata kwa marungu
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Applicants currently employed in the Public Service should channel their application letters through their respective employers. Non-disclosure of such status will lead to automatic...
0 Reactions
0 Replies
833 Views
Habari zenu wana JF? Nina mdogo wangu ana cheti cha ualimu wa chekechea anatafuta kazi yupo mkoa wa dar kwa yeyote anayeweza kumsaidia kupata kazi tutashukuru.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi? Natumai, mu wazima na mmeianza wekend vyema, niende moja kwa moja kwenye mada, baada ya kutoa raramiko langu, na kuungw mkono, na watu wengi liliro husu mfumo mbovu na...
3 Reactions
34 Replies
5K Views
Anahitajika kijana wa kazi za shambani. Awe ni kijana mchapakazi na awe wa kiume umri usiozidi miaka 20. Na awe ni mkazi wa mikoa ya Arusha ama Kilimanjaro. Kama una ndugu yako au mdogo wako ama...
0 Reactions
0 Replies
977 Views
Job Description A European based food processing company with a branch in Tanzania is looking for very well experienced machine operators with good problem-solving skills. The place of work will...
0 Reactions
0 Replies
776 Views
Aisee wakuu vip kuna m baby mmoja amekuwa akitafuta sana kazi. Ila kwa kweli elimu yake std 7 sasa aliponifuta leo mi nikamuambia hapo labda niangalie utaratibu wa kampuni za usafi hizi huku...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kwa wakazi wa Mwanza,Mimi ni binti wa miaka 24.....Naomba kwa yeyote anaejua wapi naweza pata kibarua japo kwa siku iwe kiwandani au sehemu yoyote ile anijulishe,sibagui Kazi!Natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
626 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…