Habari wakuu, poleni na majukumu. Siku ya leo nimeingia ajira portal na kukuta mabadiliko fulani nikashindwa kuelewa japo Hii ni mara yangu ya 7 kuomba kazi utumishi.
Kwa wale mliokuwa...
Wakuu, hii mamlaka ya serikali inayoendeshwa kwa kodi za wavuja jasho ina unyeti sana kiasi cha watumishi wake kuenjoy pepo duniani?
Cjajua Taasisi zingine kama TRA mishahara yao ikoje ila...
Ndugu wana jamvi,
Kuna hii kampuni inayojiita M-Power academy, tuli-apply kupitia online test na wameita watu kwenye interview trh. 24 Jan, binafsi siijui kiundani lakini wanasema wanashughulika...
Wadau, serikali imepiga marufuku mawakala wa ajira baada ya watu kulalamika! What do you say? Pamoja na mambo mengine, wadau wamelalamikia tabia ya kampuni hizi kutopeleka makato ya mifuko ya...
Wana JF,
Naomba wale wenye kujua nafasi za kujiunga na jeshi la polisi chuo cha CCP- Moshi zinatoka lini na huwa taarifa zinatolewaga kwa njia zipi?Nimejaribu kufungua website ya polisi TZ...
Hi hope mko poa Sana.
Nimeshangaa kuona kijana mmoja eti anataka kutoa 500K kwa kiongozi Fulani ngazi ya wilaya eti atamsaidia kupata kazi Tamisemi.
Yaani huu ujinga wa vijana wa siku hizi ni...
Nimekaa nikafikilia maisha yamenipiga, kazi niliyokuwa nayo haikidhi kabisa mahitaji yangu ya kila siku, nina mke, nina mtoto, ninao ndugu wanao nitegemea, baba, mama na wadogo zangu mbaya zaidi...
UPDATE: INTAKE MPYA 2024 INAENDELEA MWISHO NI TAREHE 10 JANUARY 2024.
Mabadiliko ya Vigezo vya elimu isomeke;
“Elimu ya darasa la saba na kuendelea mpaka chuokikuu. Kwa mwombaji wa darasa la...
TANGAZO KWA UMMA – AJIRA WALIMU WA MASOMO YA SAYANSI NA HISABATI KWA SHULE ZA SEKONDARI.
Serikali inatarajia kuajiri walimu wa masomo ya sayansi na hisabati kwa shule za sekondari.
Ajira hii ni...
BETTER WAY TO ATTEMPT
1. Tell us about yourself.
Since this is often the opening question in an interview, be extra careful that you don't run off at the mouth. Keep your answer to a minute or...
Wakuu habari za muda huu...
Katika harakati zako aa kutafuta kazi ni swali gani uliwahi kuulizwa katika interview/usahili likakutoa jasho au ukawa unajibu huku unajua kabisa kama unajibu upuuzi...
Matokeo ya Usaili wa nafasi za Konstebo wa Uhamiaji yaliyotolewa katika magazeti ya tarehe 23 Julai, 2014 yameonesha kuwa katika Idara hiyo watanzania wengine mbali ya watoto au ndugu wa...
Kwa wale walioomba uhamisho wa January 2016 kupitia tamisemi,ni lini majina hayo yatatolewa?kwa maana January ndo hii,samahan kwa anayejua naomba atujuze:)
VACANCIES ANNOUNCEMENT
On behalf of Tanzania Ports Authority (TPA), Public Service Recruitment Secretariat invites dynamic and suitably qualified Tanzanians to fill 333 vacant posts...
Binafsi nimeshawahi kufanya kazi kwa Muhindi kama Bosi wangu. Kipindi naanza kazi nilikutana na ahadi kibao na mambo mazuri mazuri tuliahidiwa kama kazi ikiwa nzuri marupurupu yataongezeka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.