Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

TRUSTED INTER-BUSINESS LTD is a legally registered company in Tanzania under the Business registration and Licensing Agency (BRELA) and Tanzania Revenue Authority (TRA). It was established on 8th...
7 Reactions
156 Replies
18K Views
TRUSTED INTER-BUSINESS LTD is a legally registered company in Tanzania under the Business registration and Licensing Agency (BRELA) and Tanzania Revenue Authority (TRA). It was established on 8th...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Hi... My name is Edward Chapa, -I have a marketing research company known as Trusted Research Company! PLEASE LET TRUSTED- RESEARCH & CONSULTING MANAGE YOUR NEXT MARKET RESEARCH FIELD WORK PROJECT...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Anonymous
Kuna kero kubwa inayowakumba vijana wengi waliokuwa wakijitolea kama waongoza watalii (Tour Guides) katika Taasisi ya TAWA kwa muda mrefu sana. Wapo vijana wamejitolea kwa miaka mingi wakifanya...
1 Reactions
2 Replies
182 Views
Anonymous
Nilikuwa napenda kuwasilisha changamoto yangu kubwa ni upande wa chuo ambacho nimesoma "Chuo cha Taifa cha Utalii/ National College of Tourism- NCT), tumekuwa na changamoto kubwa ya upataji wa...
1 Reactions
6 Replies
294 Views
Anonymous
Kuna watu walifanya interview za LGA & MDA kupitia Sekretarieti ya ajira Serikalini 17/12/2025 oral ila hadi leo majibu hayajatoka hata kwa mtu mmoja. Tunachowaza ni kwamba walifeli wote au nini...
2 Reactions
1 Replies
253 Views
Anonymous
Kuna Watumishi ambao wana nafasi katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa hapa Arusha wamekuwa ni kero kubwa kwa baadhi ya Wafanyakazi. Kati yao kuna Mhasibu na Katibu Tawala Msaidizi (Utawala), wamekuwa...
0 Reactions
1 Replies
187 Views
Zimesalia siku mbili usaili wa walimu daraja la IIIC uanze. Hata hivyo, Daraja la IIIC ulishaanza kwa wale ambao masomo yao hayakuwa na usaili wa kuandika ila usaili wa mazungumzo pekee. Kwa wale...
2 Reactions
25 Replies
10K Views
Naomba msaada. Anayejua maswali yanayotoka kwenye usaili (Afisa utamaduni) anisaidie..
2 Reactions
16 Replies
400 Views
Anonymous (c9be)
Ninaomba mamlaka husika ziangalie kero za Wafanyakazi kwenye baadhi ya kampuni za ujenzi wa barabara nchini. Mimi ni mmoja wa wafanyakazi kwenye kampuni ya ujenzi wa barabara na tunakutana na...
2 Reactions
2 Replies
160 Views
Anonymous
Imefika wakati sasa wa kuizungumzia tamaduni inayozidi kushamiri katika baadhi ofisi zetu za umma: Kitendo cha kufanya likizo ya mwaka ionekane kama "kosa la jinai." Kwa watumishi wengi, kitendo...
1 Reactions
0 Replies
232 Views
Habari zenu ndugu zangu, Naomba mwenye connection au anayeweza kunisaidia kupata kazi ya ULINZI, Kampuni ya SGA au G4S anisaidie ndugu zangu. Nina miaka 29 Nina mafunzo ya JKT - Miaka miwili...
9 Reactions
23 Replies
658 Views
Habari wanajukwaa, Naitwa fundi mwenye uzoefu mzuri katika fani ya umeme na vifaa vya kielektroniki, napatikana Dar es Salaam. Nimekuwa nikihudumu kwa ufanisi katika kazi mbalimbali zinazohusiana...
0 Reactions
2 Replies
477 Views
Habari za Jumapili ndugu zangu wanajamii na wenzangu, Ninaomba kufahamu taratibu za kuomba uhamisho (transfer) kutoka Taasisi X kwenda Taasisi Y kupitia mfumo wa Utumishi (e-Utumishi). Je, kuna...
6 Reactions
67 Replies
19K Views
Anonymous
Natokea Mkalama Singida Tanzania. Mhitimu Wa Shahada ya Kwanza ya Maendeleo ya Miji na Usimamizi Wa Mazingira kutoka chuo cha Mipango Dodoma (Bachelor Degree in Urban Development and environmental...
3 Reactions
2 Replies
236 Views
Anonymous
NAFICHUA UOVU KUTOKA HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya, Mimi ni mtumishi katika ngazi Elimu Msingi tuna kero ya kutolipwa kwa fedha yetu ya...
1 Reactions
1 Replies
159 Views
Anonymous (fdc6)
Ni Mwaka Sasa Tangu Tumeajiriwa katika Halmashauri ya Wilaya Ya Ruangwa Ila Mpka Kufikia Hivi Sasa Hatuelewi Ni Kipi Haswa Kinachopelekea Kuchelewesha Kwa Barua Za Kuthibitishwa Kazini. Tunaomba...
1 Reactions
1 Replies
150 Views
Anonymous (fdc6)
Mamlaka iliyoanzisha Kozi hii ya BACHELOR OF SCIENCE IN INDUSTRIAL ENGINEERING MANAGEMENT katika Chuo Kikuu Mzumbe Morogoro. Sioni nafasi zikitangazwa kutoka Serikalini ingali kila mwaka wanachuo...
3 Reactions
3 Replies
272 Views
Anonymous
Kiukweli mimi ni mtumishi Halmashauri ya Chemba - Dodoma tusaidieni kuhusu vibali vya uhamisho. Mpaka sasa tangazo lilitolewa na TAMISEMI kuwa wametoa vibali vipo kwa Wakurugenzi na kama...
2 Reactions
1 Replies
122 Views
Tumeona ziara ya Waziri Mkuu ikitupa picha halisi juu ya uzembe na kutokuwa na uwajibikaji wa uwazi katika Ofisi za Umma. Tunaomba pia Waziri wa UTUMISHI (Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais...
0 Reactions
0 Replies
228 Views
Back
Top Bottom