Nahitaji Wahasibu watano Dar es Salaam

Nahitaji Wahasibu watano Dar es Salaam

Kilimi

Senior Member
Joined
Jan 11, 2023
Posts
162
Reaction score
270
Nahitaji wahasibu 5 wanaokaa Dar Es Salaam

Nahitaji 4 na wewe na uzoefu wa miaka 3

Mshahara ni 3 ni 700k kabla ya makato

Mmoja awe na uzoefu wa miaka pamoja CPA.

Mshahara ni 1.5m kabla ya makato
 
Huu sasa ndio ukorofi .hr yupo race anatafuta mtu wa kumfanyia returns na kila kitu, wewe unambatiza uwinga anasaka man power🤣🤣🤣 watu mnapishana na fursa asubuhi asubuhi aisee,
tatizo wanakariri kila mtu huku ni tapeli jana nimepata watu 20 na wote nawingiza kazini nimeshawatumia kila kitu na leo nataka professional people
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom