Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Anonymous (9fef)
Mimi ni muhitimu wa kozi fupi ya Forklift Operator katika Chuo cha Veta Chango’mbe Dar es Salam Mwaka 2025, pale kuna changamoto nyingi zinazosababisha watu wanahitimu wakiwa hawapo fiti, ni kama...
1 Reactions
2 Replies
264 Views
Anonymous
Sisi Walimu Ajira Mpya mwezi wa pili na watatu 2025 katika Wilaya ya Rorya mpaka sasa hatujadhibitishwa kazini, tukiuliza majibu hatupewi mazuri hatujui tatizo ni nini tunaomba ujumbe wetu ufike...
0 Reactions
1 Replies
130 Views
Anonymous
Afisa Utumishi katika Halmashauri ya Mji wa Mbinga, mkoani Ruvuma anatumia Madaraka yake vibaya: Uhamishaji Watumishi Kinyume na Taratibu: Afisa huyo anahamisha watumishi wa umma bila kufuata...
0 Reactions
0 Replies
130 Views
Anonymous
Mimi ni mwanafunzi wa uchumi, ninachokiona ni kuwa ajira za uchumi zinatoka chache sana kwa serikalini, tunaomba serikali kupitia mamlaka zake husika hasahasa Sekretarieti ya Ajira kuweka ajira...
0 Reactions
0 Replies
94 Views
Anonymous
Mtumishi wa chuo cha SUA kampasi ya Solomon Mahalangu Patricia Benedicto office assistant idara ya sayansi ya viumbe hai amekuwa kero kwa watumishi wake kwa kuficha vocha za madeni. Anawatishia...
1 Reactions
0 Replies
155 Views
Anonymous
Bodi ya Mikopo (HESLB) wametoa nafasi za ajira za mkataba lakini wameweka kigezo cha umri, yaani ambao wanaruhusiwa kuomba ni graduates kuanzia Mwaka 2020-2026. Kero yangu ni kwamba tatizo la...
0 Reactions
0 Replies
130 Views
Anonymous
Miezi mitatu imepita watumishi hawajalipwa posho zao na hakuna taarifa yeyote juu yao, zaidi kuna matumizi mabaya ya makusanyo ya fedha mbalimbali zinazosababisha watumishi wasilipwe posho zao...
1 Reactions
0 Replies
121 Views
Mimi ni Civil Engineer ninahitaji kuhama kutoka halmashauri kwenda kwenye taasisi zenye miradi ya kiuhandisi, huku nilipo hakuna kazi za kiuhandisi nakaa ofisi tu naona taaluma yangu haitumiki...
1 Reactions
4 Replies
207 Views
Mimi ni mmoja wa wafanyakazi katika taasisis moja wapo inaratibiwa na HJFMRI hawa wamechelewesha mshahara , Mshahara wetu WA mwezi wa nne mpaka Leo hatujapata na tukijaribu kuuliza halmashauri...
0 Reactions
0 Replies
118 Views
Location Zanzibar, Pemba
2 Reactions
5 Replies
231 Views
Habari wakuu, Jina langu ni Jofrey, nina uzoefu katika masuala ya ukopeshaji na huduma kwa wateja. Natafuta nafasi ya Credit Officer au Loan Officer hapa Tabora. Niko tayari kuanza kazi mara...
0 Reactions
0 Replies
110 Views
Anonymous
JE ILIKUWA NI AHADI HEWA YA KUPITISHWA NA KUANZA UTEKELEZAJI WA MUUNDO WA UTUMISHI KWA SEKTA YA AFYA (KADA YA UUGUZI NA UKUNGA) KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 ILIYOTOLEWA NA OFISI YA RAIS –...
2 Reactions
15 Replies
650 Views
Anonymous
Sekretarieti ya Ajira wao huwa wapo strict sana kukusema inapitokea umeitwa katika usaili kisha ukachelewa hata kama ni dakika chache, wanakuona haupo serious kwenye kutafuta kwako, hivyo na wao...
1 Reactions
2 Replies
225 Views
Yaan kuna Taasisi umeipenda sana na mzuka wa kufanya kazi upo huko, unaomba uhamisho halafu unakutana na hii kitu. Nini mwarobaini wa hii kitu...? Hapa nilikuwa naomba Vacancy Transfer kuhama...
2 Reactions
8 Replies
323 Views
Kuna mdogo wangu alikuwa anafanya kazi Tamisemi sasa kapata kazi ofisi ya rais msaada WA namna ya kuhama kwa anayejua.
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Job Opportunity at Easy Travel and Tours Ltd Easy Travel and Tours Ltd, a leading safari operator in Tanzania, is seeking an experienced Italian-speaking driver guide to join our team. This role...
1 Reactions
2 Replies
470 Views
HALA Consultants is offering Internship Opportunities for ambitious graduates and final year students who want real exposure in: ·Audit & Assurance · Tax Compliance & Advisory · Business Advisory...
4 Reactions
1 Replies
335 Views
JOB OPPORTUNITIES AT TAIFOCUS CO. LTD TAIFOCUS Co. LTD is rapidly expanding. As we transition our operations to a higher stage of industrial and agricultural machinery production. We are...
1 Reactions
1 Replies
243 Views
Position: Credit Officer Intern Are you passionate about finance and ready to kickstart your career? Tatamwise Microfinance is offering internship opportunities at our Pugu branch for energetic...
1 Reactions
1 Replies
519 Views
Nahitaji wahasibu 5 wanaokaa Dar Es Salaam Nahitaji 4 na wewe na uzoefu wa miaka 3 Mshahara ni 3 ni 700k kabla ya makato Mmoja awe na uzoefu wa miaka pamoja CPA. Mshahara ni 1.5m kabla...
8 Reactions
56 Replies
935 Views
Back
Top Bottom