Sisi watumishi wa afya tulioajiriwa mwezi Novemba, 2024 katika Halmashauri ya Wilaya ya Siha, Kilimanjaro tunaomba Ofisi ya Waziri Mkuu isimamie suala la kuthibitishwa kwetu kazini, kwani mpaka...
Jamani na sisi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa tulioajiriwa mwezi wa tisa 2025 tukaanza kazi Novemba hatujalipwa pesa ya kujikimu had leo hii, tunafuatilia sana lakini wapiii.
Yaani...
Kwa niaba ya wenzangu, naomba msaada wenu kuhusu changamoto tunazokutana nazo katika shule za msingi Wilaya ya Mbulu DC.
Wakuu wetu wa shule wamekuwa wakitunyanyasa kwa kutulazimisha kufundisha...
YAH: MALALAMIKO YA KUTOLIPWA STAHIKI NA MAZINGIRA MAGUMU YA KAZI – TEMESA KANDA YA ZIWA
Sisi watumishi wa TEMESA Kanda ya Ziwa chini ya Wizara ya Ujenzi, tunawasilisha malalamiko yetu rasmi...
Sisi Watumishi wa umma wa ajira mpya, katika Halmashauri ya Ngorongoro Mwaka 2026, mpaka hivi leo, hatujalipwa kabisa "fedha ya kujikimu" na hatupewi mrejesho wowote na viongozi wetu. Sasa hata...
Watumishi Halmashauri ya Wilaya Korogwe Vijijini tunagomewa kupewa vibali vya Uhamisho na Mkurugenzi ilihali tumefika vigezo vya zaidi ya miaka mitatu kazini, wengine tuna hadi vyeti vya ndoa...
Watumishi tuliohamishwa toka Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Mwaka 2013 (miaka 13 iliyopita) kwenda kuanzisha Halmashauri mpya ya Kaliua, hatujalipwa stahili yetu ya posho ya usumbufu (disturbance...
Ninaomba kuwasilisha changamoto inayowakumba wafanyakazi wa sekta binafsi, hususan katika kampuni ya Lake Lubes pamoja na baadhi ya kampuni zake tanzu.
Licha ya agizo la Serikali kuhusu kima cha...
Changamoto ninayopenda kuwasilisha inawahusu baadhi ya watumishi wa umma katika Halmashauri moja mkoani Arusha, ambayo sitapenda kuitaja kwa sasa.
Tumekuwa tukikatwa michango ya chama cha...
Sisi ni watumishi wapya wa ajira ya mwaka 2025 kada ya ualimu katika Wilaya ya Iramba, Mkoa wa Singida.
Tunapenda kuwasilisha changamoto mbili kubwa tunazokutana nazo kazini.
Kwanza, tumeingizwa...
Sisi watumishi wa ajira mpya mwaka 2025 katika kada ya ualimu, Wilaya ya Iramba, tunapenda kutoa malalamiko yetu kuhusu changamoto kubwa tunazokumbana nazo kazini.
Kwanza, tunaingizwa katika...
Habari za Masiku ndg zangu,
Leo hii nimekuja na thread maalum kwaajiri ya wasailiwa wote wanaoitwa Utumishi for interview hasa hasa ICT officers becoz ni kada yangu ambayo imenipatia dream job...
Vijana wa kufanya Installation tumezulumiwa malipo yetu, huu unaenda mwaka sasa, na Airtel team imeingilia bila mafanikio zaidi ya ahadi feki.
Out Door Unity (ODU) ndio vifaa vya Airtel...
Habari Wapendwa.
Natafuta House Manager for Mbweni Karibu House.
Kama unamfahamu mtu mwenye uzoefu kwenye sector ya hospitality, awasiliane na karibuhouse.mbweni2026@outlook.com.
Fao la Kukosa Ajira ni faida/msaada wa kifedha unaotolewa kwa mwanachama wa mfuko wa pensheni aliyepoteza ajira kwa sababu zisizo za hiari, kama vile kufukuzwa kazi, kuisha kwa mkataba, au sababu...
Habari wapendwa,
Natafuta House Manager for Karibu House Mbweni.
Kama unamjua mtu mwenye uzoefu kwenye sector ya hospitality, awasiliane na karibu house mbweni2026@outlook.com.
Anajitajika technician wa printers,
Qulification. Awe amesoma IT, au computer engineering au computer sciences. Elimu ya diploma au Degree. Kindly inbox me
Kijana anatafuta kazi ya jikoni yupo na uzoefu wa kutosha.
Umri 23
Eneo aliliopo Kibaha
Mawasiliano : 0664540696
N.b , anaweza pia kufanya kazi tofauti na ya jikoni , waweza kuwasiliana nae kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.