Baada ya Serikali kutoa fedha kwa ajiri ya malipo ya posho za kujikimu kwa waajiriwa wapya wa mwaka 2026.
Hali imekuwa tofauti katika halmashauri ya wilaya ya Ushetu, mkoani Shinyanga.
Ambapo...
Wadau habari za jioni,
Mimi ni Muhanga wa ile sheria mbovu ya 33.3%, nilipitia msoto wa kukaa bila kupata ajira kwa miezi 18, baada ya kukamilisha taratibu zote na kuweka alama za vidole, leo...
Cleaning Services Tender – Right to Play Office, Nov 2024
Terms of Reference for – Cleaning Services
Location: Right To Play Office, Mikocheni, Dar es Salaam
Contract Duration: Four Months...
Wafanyakazi wa Halmashauri tunalazimishwa kuchangia fedha ya mwenge.
Hii kisheria haiko sawa, Serikali inapesa ya kujiendesha na kufanya sherehe zake kama hizi bila Kuminya watumishi ambao vipato...
Tunatafuta Fundi Pikipiki mwenye uzoefu wa kufanya service na matengenezo ya pikipiki za aina yoyote.
📍 Mahali: Kunduchi Mtongani, Dar es Salaam
Tunatafuta mtu mwenye:
✅ Uzoefu wa kufanya...
Mwenye PDF au Excell inayoonyesha scale za mishahara za serikali na taasisi zake ,Please share
Nimeshangaa CAG anasema mshahara wake ni 4 .7M
Pia range ya mishahara ya Directors wa taasisi
Habari wadau,
Nina elimu ya [weka kiwango cha elimu] kutoka [jina la chuo/shule].
Pia nina ujuzi katika [weka ujuzi wako, mfano: matumizi ya kompyuta, huduma kwa wateja, uhasibu, n.k.].
Kwa...
Kwa zamani ilikua ikijulikana kwa jina la Medical Attendant, hii kada imekosa watetezi kama ilivyo kwa wauguzi wanachama chao kanachojulikana kwa TANA hadi kadhalika kada zingine za afya.
Hii...
TAMISEMI na Uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga, tunaomba mtupe ufafanuzi kuhusu fedha zetu za kujikimu. Kwa mujibu wa barua ya TAMISEMI ya tarehe 04/06/2026, Halmashauri zilitakiwa...
Naandika nikiwa nawakilisha wenzangu watumishi wa Hospitali ya Vijibweni iliyopo Wilaya ya Kigamboni, ujumbe huu ni kwa niaba ya watumishi wengi, hususan wauguzi, kuomba mamlaka husika zisikilize...
Mimi ni Ajira Mpya Mkoa wa IRINGA sisi ajira mpya tumepata changamoto ya kulipwa pesa pungufu ya kujikimu ukilinganisha na halmashauri zingine mfano Afisa Muuguzi Msaidizi, halmashauri zingine...
Halmashauri ya Kibaha DC zitusaidie kuhusu posho za kujikimu kwani waraka unaotumika kulipa posho hizi unatumika kwenye halmashauri zote Tanzania kwa nini kwetu tupewe pesa kidogo kuliko watumishi...
Mimi ni mmoja wa watumishi wa Kituo cha Afya Yombo Vituka, na ninaomba kufikisha kilio chetu kuhusu mazingira ya kazi ambayo kwa muda mrefu yamekuwa magumu kutokana na mwenendo wa katibu wa kituo...
Vibarua wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni wanaomba msaada kutokana na kuchelewa kulipwa stahiki zao.
Hadi sasa, wamekaa miezi miwili bila kupokea malipo yao, huku wakidai hawajapewa...
Kuna unyanyasaji mkubwa na wa kutisha unaoendelea katika Wilaya ya Rorya dhidi ya wazee wetu wastaafu, hususan walimu waliolitumikia taifa hili kwa uaminifu. Kuna mtu mmoja anaitwa Adriano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.