Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Anonymous
Baada ya Serikali kutoa fedha kwa ajiri ya malipo ya posho za kujikimu kwa waajiriwa wapya wa mwaka 2026. Hali imekuwa tofauti katika halmashauri ya wilaya ya Ushetu, mkoani Shinyanga. Ambapo...
1 Reactions
3 Replies
171 Views
Wadau habari za jioni, Mimi ni Muhanga wa ile sheria mbovu ya 33.3%, nilipitia msoto wa kukaa bila kupata ajira kwa miezi 18, baada ya kukamilisha taratibu zote na kuweka alama za vidole, leo...
0 Reactions
1 Replies
104 Views
Cleaning Services Tender – Right to Play Office, Nov 2024 Terms of Reference for – Cleaning Services Location: Right To Play Office, Mikocheni, Dar es Salaam Contract Duration: Four Months...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Anonymous
Wafanyakazi wa Halmashauri tunalazimishwa kuchangia fedha ya mwenge. Hii kisheria haiko sawa, Serikali inapesa ya kujiendesha na kufanya sherehe zake kama hizi bila Kuminya watumishi ambao vipato...
1 Reactions
5 Replies
116 Views
Tunatafuta Fundi Pikipiki mwenye uzoefu wa kufanya service na matengenezo ya pikipiki za aina yoyote. 📍 Mahali: Kunduchi Mtongani, Dar es Salaam Tunatafuta mtu mwenye: ✅ Uzoefu wa kufanya...
0 Reactions
0 Replies
63 Views
Mwenye PDF au Excell inayoonyesha scale za mishahara za serikali na taasisi zake ,Please share Nimeshangaa CAG anasema mshahara wake ni 4 .7M Pia range ya mishahara ya Directors wa taasisi
6 Reactions
25 Replies
777 Views
Habari wadau, Nina elimu ya [weka kiwango cha elimu] kutoka [jina la chuo/shule]. Pia nina ujuzi katika [weka ujuzi wako, mfano: matumizi ya kompyuta, huduma kwa wateja, uhasibu, n.k.]. Kwa...
0 Reactions
4 Replies
123 Views
Ukipata challenge tuwasiliane kwa 0623446608 nikusaidie personally.
1 Reactions
0 Replies
91 Views
Natafuta Dada Wa Kazi Aje Kufanya Kazi Kwa Mama Yangu Huku Moshi Kama Uko Tayari Ruka Hewani Fasta 0658665234 0783088759 0764589906 Ahsanteni
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Anonymous
Kwa zamani ilikua ikijulikana kwa jina la Medical Attendant, hii kada imekosa watetezi kama ilivyo kwa wauguzi wanachama chao kanachojulikana kwa TANA hadi kadhalika kada zingine za afya. Hii...
0 Reactions
1 Replies
70 Views
NAOMBENI KAZI KWA NYAKATI ZA USIKU
2 Reactions
6 Replies
157 Views
Anonymous
TAMISEMI na Uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga, tunaomba mtupe ufafanuzi kuhusu fedha zetu za kujikimu. Kwa mujibu wa barua ya TAMISEMI ya tarehe 04/06/2026, Halmashauri zilitakiwa...
0 Reactions
0 Replies
87 Views
Anonymous
Naandika nikiwa nawakilisha wenzangu watumishi wa Hospitali ya Vijibweni iliyopo Wilaya ya Kigamboni, ujumbe huu ni kwa niaba ya watumishi wengi, hususan wauguzi, kuomba mamlaka husika zisikilize...
0 Reactions
0 Replies
336 Views
Mimi ni Ajira Mpya Mkoa wa IRINGA sisi ajira mpya tumepata changamoto ya kulipwa pesa pungufu ya kujikimu ukilinganisha na halmashauri zingine mfano Afisa Muuguzi Msaidizi, halmashauri zingine...
0 Reactions
0 Replies
89 Views
Anonymous
Halmashauri ya Kibaha DC zitusaidie kuhusu posho za kujikimu kwani waraka unaotumika kulipa posho hizi unatumika kwenye halmashauri zote Tanzania kwa nini kwetu tupewe pesa kidogo kuliko watumishi...
0 Reactions
0 Replies
74 Views
Anonymous
Mimi ni mmoja wa watumishi wa Kituo cha Afya Yombo Vituka, na ninaomba kufikisha kilio chetu kuhusu mazingira ya kazi ambayo kwa muda mrefu yamekuwa magumu kutokana na mwenendo wa katibu wa kituo...
0 Reactions
2 Replies
208 Views
Anonymous
Vibarua wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni wanaomba msaada kutokana na kuchelewa kulipwa stahiki zao. Hadi sasa, wamekaa miezi miwili bila kupokea malipo yao, huku wakidai hawajapewa...
0 Reactions
1 Replies
57 Views
Anonymous
Kuna unyanyasaji mkubwa na wa kutisha unaoendelea katika Wilaya ya Rorya dhidi ya wazee wetu wastaafu, hususan walimu waliolitumikia taifa hili kwa uaminifu. Kuna mtu mmoja anaitwa Adriano...
0 Reactions
0 Replies
85 Views
Back
Top Bottom