Nafasi ya kazi fundi pikipiki

Nafasi ya kazi fundi pikipiki

wilson255

New Member
Joined
Dec 29, 2021
Posts
4
Reaction score
0
Tunatafuta Fundi Pikipiki mwenye uzoefu wa kufanya service na matengenezo ya pikipiki za aina yoyote.

📍 Mahali: Kunduchi Mtongani, Dar es Salaam

Tunatafuta mtu mwenye:
✅ Uzoefu wa kufanya service kwa umakini
✅ Nidhamu, uaminifu na kujituma
✅ Ari ya kukua pamoja na biashara

💼 Malipo
Utapata mshahara kama Posho, kisha tutaendelea na makubaliano kulingana na maendeleo ya biashara.

Kama unaamini una uwezo na uko tayari kuanza kazi mara moja, wasiliana nasi kupitia:
0657 736 223


Karibu tuanze safari ya mafanikio pamoja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom