Watumishi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), hususan wanaofanya kazi katika mradi wa SGR, wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya kutolipwa madai yao kwa muda mrefu, kuanzia kipindi cha ujenzi hadi...
Tanzania, kwenye sekta nyingi nje ya Serikali na makampuni machache makubwa, ajira mara nyingi hazina uhakika wa muda mrefu. Ukiongeza na tabia ya baadhi ya waajiri kupendelea waombaji wa umri...
Sisi walimu wa ajira mpya wa mwaka wa fedha 2025/2026, tulioajiriwa katika kipindi cha siku 100 za Mheshimiwa Rais, tunaomba mamlaka husika, hususan Ofisi ya Rais - TAMISEMI, isikilize na kutatua...
Tanesco imekuwa na unyanyasaji mkubwa sana kwa vibarua wanaosambaza umeme kwa mteja(service line) na kujenga miradi midogo midogo. Inafikia mpaka miezi nane(8) pesa haijalipwa na hakuna...
JUNIOR HR OFFICER
Location: Dar es Salaam
Gross Salary: TZS 1,600,000 per month
We are seeking a competent and motivated Junior HR Officer to join our team in Dar es Salaam.
Minimum...
Wana-JamiiForums,
Naleta mada hii mbele yenu nikiwa na masikitiko makubwa na dhumuni langu ni kuomba ushauri, lakini pia kufikisha sauti yetu kwa mamlaka husika juu ya ukiukwaji mkubwa wa sheria...
Ukiachana na wachache kama kina Bakhresa, makundi hayo kazi ni msuli tembo lakini hadi hio hela umeipata ni kwa manyanyaso sana.
Boss tajiri lakini ukichunguza mishahara wanayowalipa wafanyakazi...
Ingawa kuna watu nikiweka ujumbe wa kusaidia kwa wenye changamoto kama kusahau password, kusahau email na changamoto zingine za ajira portal wanitafute niwasaidie wanareport kwamba ni kuatarisha...
Tunaomba tulipwe fedha zetu za kujikimu.
Mtumishi anapaswa kulipwa fedha za kujikimu kwa wakati ili aweze kukabiliana na mazingira mapya ya kazi. Hata hivyo, sisi watumishi wa Halmashauri ya...
Kwa sasa, karibu kila huduma muhimu kwa watumishi imehamishiwa kwenye mfumo wa e-UTUMISHI (ESS). Kupitia mfumo huo, mtumishi anaweza kuomba likizo, mikopo, uhamisho, kuongeza wategemezi, kupata...
Wafanyakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya kilwa tulip ajiriwa mwezi kwanza baadhi ya Kada Hatujalipwa pesa za kujikimu Kila tukiuliza tunaambiwa Halmashauri Haina pesa, tusaidie kupaza sauti 🙏🙏
Naomba kuwasilisha suala hili kwa wizara husika kwa ajili ya uchunguzi na, ikibainika kuna makosa, hatua stahiki zichukuliwe.
Kumekuwa na taarifa za vitendo vinavyodaiwa kuwa ni utapeli...
Sisi Watumishi wapya wa Mkuranga DC kwa Mwaka 2026 tulioajiriwa Januari na wengine Aprili Kada ya Afya hatimaye tumepewa fedha za Kujikimu.
Pia soma
~ Watumishi Mkuranga kutolipwa hela ya...
Watumishi wa Halmashauri ya Kyela walioajiriwa mwaka 2022 bado hatujapandishwa madaraja, wakati watumishi wa halmashauri nyingine tayari wamefanyiwa utaratibu huo.
Tunapofuatilia suala hili...
Baada ya Serikali kutoa fedha kwa ajiri ya malipo ya posho za kujikimu kwa waajiriwa wapya wa mwaka 2026.
Hali imekuwa tofauti katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Ambapo watumishi wapya...
Ajira Mpya ya Januari 2026, Halmashauri ya Monduli tulilalamika kupitia hapa JamiiForums.com kuwa hatujalipwa pesa za kujikimu, naomba nitoe mrejesho kwa niaba ya wenzangu kuwa hatimaye Serikali...
Wakuu Kuna app imeanzishwa tz ambayo ipo playstore na app store inaitwa tapchap hapa wanakutana kati ya mtoa huduma na muhitaji huduma,
Mfano mtu anataka mtu wa kumfanyia usafi,fundi n.k...
Kwa unyenyekevu mkubwa tunapenda kutoa kero yetu sisi watumishi wa MSF - Medecins Sans Frontieres tunaofanya kazi chini ya usimamizi wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale, Mkoa wa Lindi
Hadi leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.