Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Anonymous
Watumishi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), hususan wanaofanya kazi katika mradi wa SGR, wamekuwa wakikabiliwa na changamoto ya kutolipwa madai yao kwa muda mrefu, kuanzia kipindi cha ujenzi hadi...
1 Reactions
5 Replies
160 Views
Tanzania, kwenye sekta nyingi nje ya Serikali na makampuni machache makubwa, ajira mara nyingi hazina uhakika wa muda mrefu. Ukiongeza na tabia ya baadhi ya waajiri kupendelea waombaji wa umri...
6 Reactions
13 Replies
263 Views
Anonymous
Sisi walimu wa ajira mpya wa mwaka wa fedha 2025/2026, tulioajiriwa katika kipindi cha siku 100 za Mheshimiwa Rais, tunaomba mamlaka husika, hususan Ofisi ya Rais - TAMISEMI, isikilize na kutatua...
0 Reactions
0 Replies
89 Views
Anonymous
Tanesco imekuwa na unyanyasaji mkubwa sana kwa vibarua wanaosambaza umeme kwa mteja(service line) na kujenga miradi midogo midogo. Inafikia mpaka miezi nane(8) pesa haijalipwa na hakuna...
3 Reactions
8 Replies
496 Views
JUNIOR HR OFFICER Location: Dar es Salaam Gross Salary: TZS 1,600,000 per month We are seeking a competent and motivated Junior HR Officer to join our team in Dar es Salaam. Minimum...
3 Reactions
22 Replies
346 Views
Anonymous (c702)
Wana-JamiiForums, Naleta mada hii mbele yenu nikiwa na masikitiko makubwa na dhumuni langu ni kuomba ushauri, lakini pia kufikisha sauti yetu kwa mamlaka husika juu ya ukiukwaji mkubwa wa sheria...
2 Reactions
3 Replies
223 Views
Ukiachana na wachache kama kina Bakhresa, makundi hayo kazi ni msuli tembo lakini hadi hio hela umeipata ni kwa manyanyaso sana. Boss tajiri lakini ukichunguza mishahara wanayowalipa wafanyakazi...
0 Reactions
0 Replies
69 Views
Ingawa kuna watu nikiweka ujumbe wa kusaidia kwa wenye changamoto kama kusahau password, kusahau email na changamoto zingine za ajira portal wanitafute niwasaidie wanareport kwamba ni kuatarisha...
1 Reactions
1 Replies
88 Views
When will newly employed teachers in Arusha District receive their settling-in allowance??
0 Reactions
0 Replies
37 Views
Anonymous
Tunaomba tulipwe fedha zetu za kujikimu. Mtumishi anapaswa kulipwa fedha za kujikimu kwa wakati ili aweze kukabiliana na mazingira mapya ya kazi. Hata hivyo, sisi watumishi wa Halmashauri ya...
0 Reactions
1 Replies
51 Views
Anonymous (6687)
Kwa sasa, karibu kila huduma muhimu kwa watumishi imehamishiwa kwenye mfumo wa e-UTUMISHI (ESS). Kupitia mfumo huo, mtumishi anaweza kuomba likizo, mikopo, uhamisho, kuongeza wategemezi, kupata...
0 Reactions
1 Replies
178 Views
Anonymous
Wafanyakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya kilwa tulip ajiriwa mwezi kwanza baadhi ya Kada Hatujalipwa pesa za kujikimu Kila tukiuliza tunaambiwa Halmashauri Haina pesa, tusaidie kupaza sauti 🙏🙏
0 Reactions
0 Replies
54 Views
Anonymous (fa6c)
Naomba kuwasilisha suala hili kwa wizara husika kwa ajili ya uchunguzi na, ikibainika kuna makosa, hatua stahiki zichukuliwe. Kumekuwa na taarifa za vitendo vinavyodaiwa kuwa ni utapeli...
1 Reactions
2 Replies
72 Views
Anonymous
Sisi Watumishi wapya wa Mkuranga DC kwa Mwaka 2026 tulioajiriwa Januari na wengine Aprili Kada ya Afya hatimaye tumepewa fedha za Kujikimu. Pia soma ~ Watumishi Mkuranga kutolipwa hela ya...
0 Reactions
0 Replies
80 Views
Watumishi wa Halmashauri ya Kyela walioajiriwa mwaka 2022 bado hatujapandishwa madaraja, wakati watumishi wa halmashauri nyingine tayari wamefanyiwa utaratibu huo. Tunapofuatilia suala hili...
0 Reactions
0 Replies
74 Views
Baada ya Serikali kutoa fedha kwa ajiri ya malipo ya posho za kujikimu kwa waajiriwa wapya wa mwaka 2026. Hali imekuwa tofauti katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga. Ambapo watumishi wapya...
0 Reactions
0 Replies
53 Views
Anonymous
Ajira Mpya ya Januari 2026, Halmashauri ya Monduli tulilalamika kupitia hapa JamiiForums.com kuwa hatujalipwa pesa za kujikimu, naomba nitoe mrejesho kwa niaba ya wenzangu kuwa hatimaye Serikali...
1 Reactions
3 Replies
162 Views
Wakuu Kuna app imeanzishwa tz ambayo ipo playstore na app store inaitwa tapchap hapa wanakutana kati ya mtoa huduma na muhitaji huduma, Mfano mtu anataka mtu wa kumfanyia usafi,fundi n.k...
1 Reactions
9 Replies
159 Views
  • Redirect
Anonymous
Kwa unyenyekevu mkubwa tunapenda kutoa kero yetu sisi watumishi wa MSF - Medecins Sans Frontieres tunaofanya kazi chini ya usimamizi wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale, Mkoa wa Lindi Hadi leo...
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom