Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Anonymous
Hii changamoto ya wafanyakazi wa NSSF haswa wakaguzi wanaopewa majukumu ya kwenda kukagua katika taasisi mbalimbali kutotimiza majukumu Yao vizuri. Nimekumbwa na changamoto hii baada ya kupeleka...
0 Reactions
1 Replies
122 Views
Anonymous
Hello wanajukwaa, Nichukue nafasi hii kumshukuru Mungu kwa afya na uzima anaotupa kila siku, pia niwashukuru jamiiforums kwa kuwa karibu na wananchi kwa kupeleka kero zetu mahali husika na...
0 Reactions
0 Replies
266 Views
Anonymous
Vijana tulioshiriki katika kampeni ya chanjo ya polio iliyofanyika kuanzia tarehe 7 hadi 10 Mei 2026 katika mikoa ya Kanda ya Ziwa na Kanda ya Kati. Mimi nilifanya kazi katika Wilaya ya Misungwi...
0 Reactions
1 Replies
75 Views
Anonymous
Tunaomba ufafanuzi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI kuhusu uteuzi wa walimu wa shule binafsi kusimamia mitihani ya NECTA. Kabla ya mwaka 2021, walimu wa shule binafsi walikuwa wakiteuliwa...
0 Reactions
0 Replies
77 Views
Anonymous
Watumishi tuliopo Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma hatulipwi pesa zetu za likizo na hawasemi changamoto ni nini, tunadai malipo ya tangu Desemba 3025 hadi Juni 2026. Pia soma ~ Naibu...
0 Reactions
0 Replies
42 Views
Anonymous
Mimi ni mtumishi Halmashauri ya Mbomba mkoa wa Songwe ajira mpya Kada ya Afya tunadai pesa zetu za kujikimu kwa muda mrefu sana sasa, Julai 12, 2026 wamelipa ila wamelipa pungufu wakati walisema...
0 Reactions
2 Replies
75 Views
Anonymous
Mtumishi ajira mpya ya Februari 2025 katika Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli mkoani Tanga, tangu tumejiriwa tumepewa pesa robo tu ya kujikimu kila tukiulizia pesa yetu iliyobakia tunaambiwa kwamba...
0 Reactions
0 Replies
39 Views
Anonymous
Watumishi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu, Mkoa wa Manyara, tunaomba msaada wenu kufichua changamoto na madai yanayoikabili halmashauri yetu. Tumekuwa tukikumbwa na uongozi usioridhisha kuanzia...
0 Reactions
0 Replies
71 Views
Anonymous
Kuna barua inayosambaa kutoka Wizara ya Afya ikionesha uwepo wa ufadhili wa masomo kwa watumishi wenye Diploma kupitia mradi wa Beginning Fund kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Cha kusikitisha ni...
0 Reactions
2 Replies
129 Views
Anonymous
Naomba kuwasilisha kero hii Ni takribani mwaka mmoja sasa tangu kuahidiwa kwa muundo mpya wa kada za afya, hususan kada ya uuguzi, lakini utekelezaji wake bado haujaanza. Tunaomba mamlaka husika...
0 Reactions
1 Replies
76 Views
Hivi email za watu waloitwa kuajiriwa TRA kutoka kwenye kanzi data zishatumwa??
1 Reactions
5 Replies
235 Views
Anahitajika mwalimu wa Literature in English shule ya MUMWANI sec (serikali) Kwa taarifa rasmi Mshahara ni laki2 pia makazi yapo. Kwa anayehitaji au kuna mhusika umamfahamu.tuwasiliane kwa...
2 Reactions
6 Replies
114 Views
Anonymous
Napenda kuwasilisha malalamiko kuhusu yanayoendelea katika Kituo cha Afya Makurumla (zamani Mianzini) kilichopo Mburahati, Dar es Salaam. Kwanza, kuna changamoto kubwa ya malipo ya overtime kwa...
0 Reactions
3 Replies
325 Views
Ni siku na masaa kadhaa sasa hii changamoto bado inaendea sana na nimejaribu kuwatumia email ila bado hakuna majibu kabisa.. Wenye uzoefu ukitaka kuverify cheti cha form four unatokaje hapa kama...
1 Reactions
1 Replies
74 Views
Je ushawahi kuomba kazi iwe kwenye kampuni,selikari, au secta binafsi na mwisho ukajikuta unafeli mbele ya watu ulichukua hatua gani! Ilinitokea mwaka 2019 nimetoka zangu veta nikakata lecen ya...
2 Reactions
4 Replies
108 Views
Anonymous
Naomba kuwasilisha malalamiko kuhusu ucheleweshwaji wa mishahara kwa watumishi wa Hospitali ya St. John Paul II iliyopo Kaliua, Tabora. Kuna madai kwamba watumishi wa hospitali hiyo wamekuwa...
2 Reactions
6 Replies
127 Views
Anonymous
Mimi ni mwalimu wa ajira mpya wa Februari 2026 katika Wilaya ya Mpwapwa, mkoani Dodoma. Tunaomba msaada wa kufikisha kero yetu kwa mamlaka husika ili suala la malipo yetu lipatiwe ufumbuzi. Hadi...
0 Reactions
0 Replies
53 Views
Anonymous
Waajiriwa wapya wa Wilaya ya Ileje, mkoani Songwe, tunaomba Wizara na viongozi husika kutusaidia ili tulipwe fedha zetu za kujikimu na nauli kwa kiwango kinachostahili. Tumelipwa kiasi kidogo...
0 Reactions
0 Replies
77 Views
Back
Top Bottom