Naomba kuwasilisha malalamiko kuhusu ucheleweshwaji wa mishahara kwa watumishi wa Hospitali ya St. John Paul II iliyopo Kaliua, Tabora.
Kuna madai kwamba watumishi wa hospitali hiyo wamekuwa...
Mimi ni mwalimu wa ajira mpya wa Februari 2026 katika Wilaya ya Mpwapwa, mkoani Dodoma.
Tunaomba msaada wa kufikisha kero yetu kwa mamlaka husika ili suala la malipo yetu lipatiwe ufumbuzi. Hadi...
Waajiriwa wapya wa Wilaya ya Ileje, mkoani Songwe, tunaomba Wizara na viongozi husika kutusaidia ili tulipwe fedha zetu za kujikimu na nauli kwa kiwango kinachostahili.
Tumelipwa kiasi kidogo...
Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba, Ngudu mkoani Mwanza, wafanyakazi wa ajira mpya 2026 bado hatujalipwa posho za kujikimu. Tunaomba mamlaka husika zishughulikie suala hili, na tunawaomba mtusaidie...
TRA tunaomba watusaidie njia mbadala zaidi isiwe email peke yake kwenye kujua matokeo ya kuitwa kazini kwasababu tupo ambao tumepoteza simu na kushindwa kurejesha barua pepe zetu.
Habari zenu! Mimi ni Mwalimu wa Kiingereza (English & Literature Teacher) kutoka Kenya, mwenye usajili wa TSC na Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education).
Natafuta fursa ya kufundisha nchini...
Anahitajika dereva mwenye leseni halali ya udereva na mwenye akaunti ya Bolt, pamoja na uzoefu wa kuendesha Bolt jijini Dar es Salaam.
Gari lililipo ni Toyota, IST linatumia mfumo wa mafuta...
Naitwa Ramadhan Hasheem naishi Kinyerezi, Dar es Salaam. Niko apa kuomba mwenye ajira ya dereva bolt iwe Mkataba au hesabu.
Leseni yangu iko clean na pia nitakuja na barua ya mwenyekiti na...
Habari za muda huu, JF.
Mimi ni mwalimu wa ajira mpya na ninawakilisha walimu wenzangu wa ajira mpya katika Halmashauri ya Bariadi Vijijini. Tunaomba msaada wako katika kufikisha kero yetu kuhusu...
Walimu zaidi ya 80 tuliopangiwa uhamisho katika Wilaya ya Ngara, Mkoa wa Kagera mwezi Mei 2024, bado hatujalipwa fedha zetu za kujikimu na usafirishaji wa mizigo.
Kutokana na hali hiyo...
Serikali imekuwa ikieleza kuwa haiwezi kuajiri vijana wote waliomaliza masomo na kuwahimiza kujiajiri, jambo ambalo tunalikubali. Hata hivyo, changamoto kubwa ipo kwa wahitimu wa Diploma in...
Manager wa Hotel Kinondoni
Mahahara 500,000
Uzoefu na CV
Supervisor wa Hotel Ubungo
Mshahara 400,000
Uzoefu na Cv
Waitress wa lounge Masaki
Mshahara 190,000
Full accommodation
Waiter(kiume)...
Mpishi wa kiume , awe mzoefu na msafi , kupikia wanafunzi, shule ni mpya , awe tayari kuhamia karibu na Eneo la kazi huko location Msata Pwani, call 0749234577
Bado hatujapata mdada anayejua...
Mshahara 300,000
Vigezo
1-wawe na elimu angalau kidato cha 4 na kuendlea
2-Wawe Na CV angalau ya mauzo au customercare
Wanahitajika wafike ofisini kesho saa3 asubuhi kigamboni Sido
Au watapiga...
Natafuta mdada wa kazi wa kuishi nyumbani mwenye uaminifu, bidii na anayependa watoto, umri 16 hadi 25
Mahali: Kinyerezi, Dar es Salaam
Mshahara: TSh 100,000 kwa mwezi
Maelezo ya familia...
Kuna tatizo kubwa kutoka kwa baadhi ya benki zinazotuhudumia. Serikali imeweka mfumo wa loan takeover (kuuza mkopo) ili kumsaidia mtumishi kupata nafuu na masharti bora ya mkopo, lakini benki...
KATIBU MUHTASI (SECRETARY) NAFASI 3.
Taasisi ya MUSTLEAD Inatangaza nafasi ya kazi ya katibu muhtasi(Secretary)
SIFA ZA MUOMBAJI:
1. Awe na elimu walau ya kidato cha nne.
2.Awe na ujuzi wa...
Habari za majukumu, JF.
Sisi watumishi wa ajira mpya wa Januari 2026 katika Halmashauri ya Wilaya ya Momba (Momba DC) bado hatujapokea fedha zetu za kujikimu hadi leo, wakati watumishi wa...
Leo nimeona taarifa kwamba baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba wamelipwa fedha zao za kujikimu.
Swali langu ni, kwa nini sisi walimu wa ajira mpya bado hatujalipwa fedha zetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.