Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Anonymous
Naomba kuwasilisha malalamiko kuhusu ucheleweshwaji wa mishahara kwa watumishi wa Hospitali ya St. John Paul II iliyopo Kaliua, Tabora. Kuna madai kwamba watumishi wa hospitali hiyo wamekuwa...
2 Reactions
6 Replies
127 Views
Anonymous
Mimi ni mwalimu wa ajira mpya wa Februari 2026 katika Wilaya ya Mpwapwa, mkoani Dodoma. Tunaomba msaada wa kufikisha kero yetu kwa mamlaka husika ili suala la malipo yetu lipatiwe ufumbuzi. Hadi...
0 Reactions
0 Replies
53 Views
Anonymous
Waajiriwa wapya wa Wilaya ya Ileje, mkoani Songwe, tunaomba Wizara na viongozi husika kutusaidia ili tulipwe fedha zetu za kujikimu na nauli kwa kiwango kinachostahili. Tumelipwa kiasi kidogo...
0 Reactions
0 Replies
77 Views
Anonymous
Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba, Ngudu mkoani Mwanza, wafanyakazi wa ajira mpya 2026 bado hatujalipwa posho za kujikimu. Tunaomba mamlaka husika zishughulikie suala hili, na tunawaomba mtusaidie...
0 Reactions
0 Replies
63 Views
TRA tunaomba watusaidie njia mbadala zaidi isiwe email peke yake kwenye kujua matokeo ya kuitwa kazini kwasababu tupo ambao tumepoteza simu na kushindwa kurejesha barua pepe zetu.
0 Reactions
3 Replies
213 Views
Habari zenu! Mimi ni Mwalimu wa Kiingereza (English & Literature Teacher) kutoka Kenya, mwenye usajili wa TSC na Shahada ya Ualimu (Bachelor of Education). Natafuta fursa ya kufundisha nchini...
0 Reactions
0 Replies
48 Views
Mdau nauliza matokeo ya usaili wa oral TRA ni lini watayatangaza
3 Reactions
184 Replies
18K Views
Anahitajika dereva mwenye leseni halali ya udereva na mwenye akaunti ya Bolt, pamoja na uzoefu wa kuendesha Bolt jijini Dar es Salaam. Gari lililipo ni Toyota, IST linatumia mfumo wa mafuta...
1 Reactions
3 Replies
189 Views
Naitwa Ramadhan Hasheem naishi Kinyerezi, Dar es Salaam. Niko apa kuomba mwenye ajira ya dereva bolt iwe Mkataba au hesabu. Leseni yangu iko clean na pia nitakuja na barua ya mwenyekiti na...
1 Reactions
2 Replies
103 Views
Habari za muda huu, JF. Mimi ni mwalimu wa ajira mpya na ninawakilisha walimu wenzangu wa ajira mpya katika Halmashauri ya Bariadi Vijijini. Tunaomba msaada wako katika kufikisha kero yetu kuhusu...
0 Reactions
1 Replies
84 Views
Anonymous (28db)
Walimu zaidi ya 80 tuliopangiwa uhamisho katika Wilaya ya Ngara, Mkoa wa Kagera mwezi Mei 2024, bado hatujalipwa fedha zetu za kujikimu na usafirishaji wa mizigo. Kutokana na hali hiyo...
0 Reactions
0 Replies
54 Views
Serikali imekuwa ikieleza kuwa haiwezi kuajiri vijana wote waliomaliza masomo na kuwahimiza kujiajiri, jambo ambalo tunalikubali. Hata hivyo, changamoto kubwa ipo kwa wahitimu wa Diploma in...
0 Reactions
0 Replies
136 Views
Manager wa Hotel Kinondoni Mahahara 500,000 Uzoefu na CV Supervisor wa Hotel Ubungo Mshahara 400,000 Uzoefu na Cv Waitress wa lounge Masaki Mshahara 190,000 Full accommodation Waiter(kiume)...
1 Reactions
1 Replies
64 Views
Mpishi wa kiume , awe mzoefu na msafi , kupikia wanafunzi, shule ni mpya , awe tayari kuhamia karibu na Eneo la kazi huko location Msata Pwani, call 0749234577 Bado hatujapata mdada anayejua...
3 Reactions
1 Replies
64 Views
Mshahara 300,000 Vigezo 1-wawe na elimu angalau kidato cha 4 na kuendlea 2-Wawe Na CV angalau ya mauzo au customercare Wanahitajika wafike ofisini kesho saa3 asubuhi kigamboni Sido Au watapiga...
2 Reactions
0 Replies
48 Views
Natafuta mdada wa kazi wa kuishi nyumbani mwenye uaminifu, bidii na anayependa watoto, umri 16 hadi 25 Mahali: Kinyerezi, Dar es Salaam Mshahara: TSh 100,000 kwa mwezi Maelezo ya familia...
0 Reactions
0 Replies
48 Views
Anonymous
Kuna tatizo kubwa kutoka kwa baadhi ya benki zinazotuhudumia. Serikali imeweka mfumo wa loan takeover (kuuza mkopo) ili kumsaidia mtumishi kupata nafuu na masharti bora ya mkopo, lakini benki...
6 Reactions
27 Replies
450 Views
KATIBU MUHTASI (SECRETARY) NAFASI 3. Taasisi ya MUSTLEAD Inatangaza nafasi ya kazi ya katibu muhtasi(Secretary) SIFA ZA MUOMBAJI: 1. Awe na elimu walau ya kidato cha nne. 2.Awe na ujuzi wa...
5 Reactions
38 Replies
345 Views
Anonymous
Habari za majukumu, JF. Sisi watumishi wa ajira mpya wa Januari 2026 katika Halmashauri ya Wilaya ya Momba (Momba DC) bado hatujapokea fedha zetu za kujikimu hadi leo, wakati watumishi wa...
0 Reactions
0 Replies
48 Views
Anonymous
Leo nimeona taarifa kwamba baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba wamelipwa fedha zao za kujikimu. Swali langu ni, kwa nini sisi walimu wa ajira mpya bado hatujalipwa fedha zetu...
0 Reactions
0 Replies
70 Views
Back
Top Bottom