mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 4,287
- 9,170
Je ushawahi kuomba kazi iwe kwenye kampuni,selikari, au secta binafsi na mwisho ukajikuta unafeli mbele ya watu ulichukua hatua gani!
Ilinitokea mwaka 2019 nimetoka zangu veta nikakata lecen ya kuanzia
Nimekaa kama mwezi nikasikia kuna kampuni imetangaza nafasi za udereva nikasema lazima niwe nikaenda kuomba nafasi, nikapata siku ya test
Naangalia gari zilizopo asee nusu nikimbie, kama unavyojua veta tumezoeshwa gear 6, angalia mtambo gear12 nikasema leo nimepatikana
Gafula tukapangishwa mstari nikajikuta nipo nafasi ya tatu wakitoka jamaa wawili niingie mimi hapo natetemeke sielewi nani nimuulize mifumo
Ikaja zamu yangu nikapanda kwenye gari tekenya chuma ikawaka angalia gear zipo 12 nianzie wapi nikagonga moja chuma ikatoka nikapangua hadi sita
Kuja kupiga tipper nikachemka kila nikijaribu box bord halipandi
Nikaamua kuzima gari na kushuka mwenyewe hapo test feli,
Hapo ikawa kila nikisikia kampuni inatangaza kazi nimo nikafeli, huko huko nikaja bahatika kupata kazi kampuni ya pili
Ilinitokea mwaka 2019 nimetoka zangu veta nikakata lecen ya kuanzia
Nimekaa kama mwezi nikasikia kuna kampuni imetangaza nafasi za udereva nikasema lazima niwe nikaenda kuomba nafasi, nikapata siku ya test
Naangalia gari zilizopo asee nusu nikimbie, kama unavyojua veta tumezoeshwa gear 6, angalia mtambo gear12 nikasema leo nimepatikana
Gafula tukapangishwa mstari nikajikuta nipo nafasi ya tatu wakitoka jamaa wawili niingie mimi hapo natetemeke sielewi nani nimuulize mifumo
Ikaja zamu yangu nikapanda kwenye gari tekenya chuma ikawaka angalia gear zipo 12 nianzie wapi nikagonga moja chuma ikatoka nikapangua hadi sita
Kuja kupiga tipper nikachemka kila nikijaribu box bord halipandi
Nikaamua kuzima gari na kushuka mwenyewe hapo test feli,
Hapo ikawa kila nikisikia kampuni inatangaza kazi nimo nikafeli, huko huko nikaja bahatika kupata kazi kampuni ya pili