Wafanyakazi wa Hospitali ya Ekenywa iliyopo Magomeni Mwembe Chai tunapenda kuwasilisha malalamiko yetu kuhusu changamoto tunazopitia katika sehemu yetu ya kazi.
Kwa muda sasa tumekuwa...
Wadau, naombeni kufahamu kuhusu uhamisho wa watumishi wa UMMA. Nilipata nafasi kazi Chuo kikuu fulani hapa nchini nikaomba kuhamishia ajira yangu chuoni hapo kupitia ESS kutoka idara ya...
Fedha za uhamisho na madai Halmashauri ya Karagwe ni kama mwendo wa kobe hasa Idara ya Afya sijui hizo pesa hazipo kweli au ndiyo kulipwa kwa kujuana.
Madai ya Pesa toka mwaka 2023 ya uhamisho...
Halmashauri ya Wilaya ya Geita imekuwa halipi kabisa likizo kwa watumishi hasa Idara ya Elimu Sekondari na hata wakilipa wanalipa kiasi cha fedha kidogo au wanalipa kwa baadhi ya walimu wachache...
Naomba kuwasilisha malalamiko kuhusu changamoto mbalimbali zinazodaiwa kuwepo katika Hospitali ya Wilaya ya Ubungo, hususan katika usimamizi wa ajira za kujitolea (volunteer), maslahi ya...
Watumishi wanaotumia mfumo wa ESS kuomba mikopo wameeleza kukumbana na changamoto kubwa, hasa katika hatua ya kupata namba ya uthibitisho (OTP) inayohitajika kukamilisha maombi.
Wanasema baada ya...
Msaada, samahani wana JF kama unaandika barua ya kuomba nafasi zilizotangazwa na chuo kikuu, mfano unaomba nafasi ya uhasibu katika XYZ university, barua utakayoandika utatakiwa kumuaddress HR ama...
Nilikuwa muajiriwa wa Halmashauri ya Kishapu kwa miaka miwili na nusu mpaka nikaacha kazi; ni zaidi ya miezi mitatu sasa imepita lakini mafao yangu ya PSSSF Bado hayajatimia yote Hali inayonifanya...
Wale walioajiriwa mwaka 2014 walikaa miaka 7 (miaka saba) Kwa lugha ya who are you (SEVEN YEARS) bila kupata nyongeza wala kupandishwa daraja bila kosa lolote! imagine kuanzia mwaka 2014 wakaja...
Tunatafuta Barista mwenye uzoefu wa kutengeneza kahawa na vinywaji mbalimbali kwa ubora wa hali ya juu, anayejali huduma kwa wateja na mwenye uwezo wa kufanya kazi kwa haraka bila kupunguza ubora...
Naomba kuwasilisha ombi kwa uongozi wa Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru (TICD) kuhusu suala la makazi kwa watumishi, hususan wale walioajiriwa hivi karibuni.
Kumekuwa na changamoto ambapo...
Ndugu zetu ambao mmeshaanza kulamba asali, ebu mtujuze je status zenu za application katika account ya PSRS zilikuwaje na sasahivi zikoje?
Najua huwenda kila mtu aliandikiwa tofauti, basi usisite...
Habari wanabodi.
Mimi ni mmoja wa watu waliofanya saili wa kuhojiwa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Sina hakika kama nilifikisha maksi za kufaulu au la.
Nimekuwa nikitembelea...
Vijana wengi wamekuwa wakipitia msongo mkubwa wa mawazo wanao sababishiwa na hii sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma na haya ni baadhi ya maswali wanayo jiuliza bila majibu
1; Inakuwaje...
Mimi ni mwajiriwa mpya katika Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko, mkoani Kigoma.
Wakati wa kusaini nyaraka za malipo ya fedha za kujikimu, kila mmoja wetu alisaini kiasi cha TSh 80,000 kwa siku kwa...
We are seeking creative, driven and energetic Marketing Officers to become part of our growing marketing team for our Cleaning and Fumigation Company by acquiring new residential/commercial...
1. St Judy schools
2. vision fund
3. Halmashauri za wilaya
4. Akiba commercial bank
5. Tanzania commercial bank
6. Dcb bank
7. Dtb bank
8. IPP media
9. Toyota Tanzania
10 . Car & General Trading...
Watumishi TAMISEMI, Manispaa ya Kigamboni, Idara ya Afya, Kituo cha Afya cha Chekeni Mwasonga hatujalipwa stahiki zetu za On call allowance, Extra duty, Overtime, Uniform allowance na hata pesa za...
Hii changamoto ya wafanyakazi wa NSSF haswa wakaguzi wanaopewa majukumu ya kwenda kukagua katika taasisi mbalimbali kutotimiza majukumu Yao vizuri.
Nimekumbwa na changamoto hii baada ya kupeleka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.