Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Kuna interview nimeitwa hapo kiwandani, mwenye idea na hicho kiwanda kuhusu hali ya maisha (huduma muhimu) huko, nimeambiwa kipo kibaha, vipi kuhusu utamaduni wa kampuni husika kama...
1 Reactions
20 Replies
374 Views
Anonymous
Halmashauri ya Jiji la Arusha, Ajira mpya elimu tumelipwa hela ya kujikimu nusu ila tukiuliza kuhusu pesa iliyobaki hatupewi majibu yanayojitosheleza, wanasema turidhike na hiyo hiyo maana kuna...
0 Reactions
2 Replies
76 Views
Soma: Maswali ya Kujiandaa na Oral Interview TAKUKURU Vijana wengi wameitwa katika usaili wa mchujo TAKUKURU au PCCB. Usaili huu ni wa kuandika na unafanyika kwa njia ya kompyuta. Wengi walioitwa...
0 Reactions
6 Replies
626 Views
Anonymous
Kwanza, napenda kuwashukuru kwa kazi kubwa mnayoifanya ya kuwapa wananchi nafasi ya kutoa maoni, changamoto na kero zao kupitia jukwaa hili. Ninaomba kupaza sauti kuhusu suala la malipo ya hela...
0 Reactions
3 Replies
123 Views
Anonymous
Mimi ni mtumishi Idara ya Kilimo Wilaya ya Bariadi kero yangu ni kuhusu Fedha ya Kujikimu, tangu mwaka 2025, Julai tulipo ajiriwa tumepunguzwa laki Moja tu kati ya laki 6, baadhi ya tulioingia nao...
0 Reactions
1 Replies
49 Views
Anonymous
Naomba utusaidie kutoa malalamiko yetu Ajira Mpya 2025/2026 katika Halmashauri ya Bunda DC Kada ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi mpaka sasa ni mwaka hatujalipwa hela ya kujikimu.
0 Reactions
2 Replies
69 Views
Anonymous
Ajira Mpya Urambo Tabora, tangu January 2026 Idara ya Afya na Walimu hatujalipwa fedha za kujikimu, tukiuliza tunaambiwa fedha zetu hazijafika, zilizofika ni awamu hii ya mwishoni Ajira ya May...
0 Reactions
4 Replies
81 Views
Halmashauri ya Lushoto inachelewa kuwapa Watumishi Posho zao za kujikimu walioajiriwa Mwaka 2026, hivyo kufanya vijana kuishi kwa ugumu huku Ugenini. Wakati Halmashauri nyingine ndani ya Mkoa na...
0 Reactions
1 Replies
104 Views
Anonymous
Halmashauri ya Wilaya ya Mtama inakabiliwa na upungufu mkubwa wa magari ya wagonjwa. Kwa sasa kuna magari mawili pekee yanayofanya kazi, lakini ni moja tu linalotumika mara kwa mara kutokana na...
1 Reactions
4 Replies
95 Views
Anaitwa mohammed Anaishi mbagala mbande Anatafuta kazi ya aina yoyote ile yupo tiyali Kwa jinsi alivyonielezea shida zake nkaona vyema kumleta hapa jamvini Namba ya 0693 166 490
0 Reactions
9 Replies
152 Views
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), kimeitoa Tanzania kimasomaso baada ya kuibuka kidedea kwa kushika nafasi ya kwanza Tanzania na Afrika Mashariki na cha nne Afrika, kwenye soko la ajira...
1 Reactions
10 Replies
266 Views
Natafuta fundi wa nguo za kiume mwenye ujuzi wa msingi. Nitakufunza na kukuongezea ujuzi zaidi wa ushonaji wa kisasa. Ofisi ipo Dar es salaam, kinondoni. Kama upo tayari kujifunza na kufanya kazi...
1 Reactions
0 Replies
45 Views
Survival Skills vs High Income Skills Watu wengi siku hizi wanakimbilia kujifunza high income skills kama AI, digital marketing, coding, copywriting au video editing. Hilo ni jambo zuri. Lakini...
0 Reactions
0 Replies
74 Views
Sisi ni watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Nkinga, iliyopo Wilaya ya Igunga, Mkoa wa Tabora. Tunaiomba Serikali na mamlaka husika kutusaidia kufuatilia changamoto mbalimbali ambazo kwa muda mrefu...
5 Reactions
13 Replies
279 Views
Anahitajika Laboratory technician mwenye diploma au certificate na awe na leseni hai na metical attendant Kituo cha kazi Dar es salaam Namba ya simu kwa mawasiliano ni 0713214258
0 Reactions
0 Replies
48 Views
Compressed Natural Gas (CNG) Operations Engineer / Station Manager Job Vacancy at Lindi Graphite Technology Ltd Location: Lindi Region, Tanzania Employment Type: Full-Time Hands-on experience...
0 Reactions
0 Replies
75 Views
  • Redirect
Habar za mda huu wadau, Naomba ushauri wenu nimekuwa nikifatilia suala la uhamisho kwa nguvu saana mara ya mwisho TAMISEMI wananiambia barua yako ipo halmashaur subili utaarifiwa, Ikawa kimya...
0 Reactions
Replies
Views
Anonymous (6a41)
Mimi ni mmoja wa wafanyakazi wa Taasisi ya KIUMA katika Idara ya Elimu. Kwa sasa, taasisi imekumbwa na mgogoro wa kiuongozi unaodaiwa kuhusisha wanasiasa na mfadhili wa KIUMA. Kutokana na hali...
0 Reactions
0 Replies
60 Views
Anonymous (4247)
Watumishi wa Halmashauri ya Kyerwa tunapenda kutoa shukrani kwa uongozi kwa kuhakikisha kuwa posho zetu za kujikimu zimelipwa. Hatua hii imetupa faraja kubwa na kutusaidia kukabiliana na...
0 Reactions
0 Replies
68 Views
Anonymous
Sisi walimu wa ajira mpya tulioajiriwa mwezi Januari 2026 tunaomba ufafanuzi kutoka Ofisi ya Rais – TAMISEMI kuhusu hatima ya malipo ya fedha za kujikimu. Hadi sasa zimepita takribani miezi sita...
0 Reactions
1 Replies
117 Views
Back
Top Bottom