Niko kijijini kwa mapumziko ya mwisho wa mwaka lakini pia nikiendelea kutafiti maarifa mapya na utaalam wa nguvu za giza, ushirikina na ulozi kwa matumizi chanya ya kilinge... Nia ikiwa ni...
WRITTEN IN BLOOD
I act this spell upon you
From my whole heart
Wishing you to never rest
No eat no sleep the rest part of your life
I hope your will waste away
And I hope you will never spend...
Mimi sillent killer 2 ni mwana JF pekee ninae tumia simu kitochi kuperuzi jamiiforum.hata wakati jf ilipofungiwa nilikuwa naperuzi bila shida yoyote lakn kuna jamaa angu mmoja mpaka atumie vpn ndo...
Mimi ni kijana umri wangu ni miaka 31, nimeoa na nina watoto wawili.
Kwetu tumezaliwa watoto saba, Mimi ni watatu kuzaliwa.
Dada Iko hivi, Kuna mdogo wetu wa kike kaolewa na jamaa tajiri sana...
Habari za muda wadau, nimekaa nikiwa nafikiria sasa naona niseme tu haya mambo yanayonisibu. Kuna mwanamke ninae as nina date nae ila naona tabia zake kama sio.
Yeye akija kwangu hata kufanya...
Mimi huwa naletaga mada za ukweli zilizogusa maisha yangu ukipata la kujifunza jifunze
Mnakumbuka mara ya mwisho niliwawekeaga uzi humu nlivyofumaniwa kigamboni kisha yule mwanamke nikaachana nae...
Utakutana na scenario mbili
1. Familia yao Wana tabia flani mbaya hasa wakweo mfano tabia za kinyonyaji na kuendelea umasikini.
2.Matatizo ya uzazi. Na vizazi hatakama utabahatika kuyest...
Wasalaam wakuu na waungwana wote, kheri kheri TANGANYIKA nchi yetu....
miaka kadhaa nyuma kuna bro mmoja alikuwa anapga sn hela kwa kutengeneza kitu fulan ksha anawapa vijana kwenda kuuza...
Tupeane matukio na Kuona namna ya kuhakikisha zinadumu daima mpaka kuzikana.
Binafsi Nina miaka zaidi ya 20 kwenye ndoa na Nina 45yrs. Nina watoto kadhaa. Kyra, vivi na shaykee
Kuna muda naona...
Leo ni mekumbuka enzi nzangu ni kipindi ni kiwa kijana.
Nilimpata binti mmoja ambaye ujana wangu sikuwa na mda wa kumpa kama wafanyao wapendanao.
Ilifikia tuka tengana naye mikoa tofauti kabisa...
Fanya research mda kuhondomola na shemela wenu umefika....
Kwa nn wanawake wengi wakiolewa wanaume wanajifsnya ndio wanawaona yaan utashangaa kila kona ukimwacha mkeo dist kidogo unasikia psii...
Happy new year 2026 MMU.
Kuna binti wa ki-islamu nimefikiria nianze kufanya mchakato wa kufikisha taarifa kwa wazazi wake kuhusu nia ya kutaka kumuoa binti yao. Hii ni baada ya penzi la mtu...
Wakuu, moyo unavuja damu, sielewi nifanye nini! Iko hivi - Baba ameshaondoka nyumbani muda mrefu, tunaishi na mama tu nyumbani.
Suala la baba kuondoka nyumbani si tatizo tatizo linakuja pale...
Wasalam wadau. Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.
Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.
NoFap ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani aidha miezi miwili, mitatu mpaka...
Ukweli mchungu ila ndo hivyo tena.
Kama kijana wa kiume unataka kujitafuta na kuepuka mengine.Mwanamke mwenye muonekano wa mbele za wanaume ogopa sana.
Leo jumapili dogo wa maviatu yale yenye...
Vijana wa kiume, sikilizeni kwa makini.
Hamna haki wala uhalali wa kujiingiza katika tendo la ndoa bila kinga na mwanamke ambaye bado hujakutana na wazazi wake, hujazungumza kwa dhati kuhusu...