Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Usijali huu uzi nitaufuta we nambie tu ulivyooa maisha yaliendeleaje? Huenda ukaniponya mwanangu, ilikuaje baada ya hapo, nasubiri comment yako!
7 Reactions
70 Replies
1K Views
Niko kijijini kwa mapumziko ya mwisho wa mwaka lakini pia nikiendelea kutafiti maarifa mapya na utaalam wa nguvu za giza, ushirikina na ulozi kwa matumizi chanya ya kilinge... Nia ikiwa ni...
6 Reactions
134 Replies
18K Views
WRITTEN IN BLOOD I act this spell upon you From my whole heart Wishing you to never rest No eat no sleep the rest part of your life I hope your will waste away And I hope you will never spend...
21 Reactions
254 Replies
59K Views
Mimi sillent killer 2 ni mwana JF pekee ninae tumia simu kitochi kuperuzi jamiiforum.hata wakati jf ilipofungiwa nilikuwa naperuzi bila shida yoyote lakn kuna jamaa angu mmoja mpaka atumie vpn ndo...
4 Reactions
36 Replies
351 Views
Mimi ni kijana umri wangu ni miaka 31, nimeoa na nina watoto wawili. Kwetu tumezaliwa watoto saba, Mimi ni watatu kuzaliwa. Dada Iko hivi, Kuna mdogo wetu wa kike kaolewa na jamaa tajiri sana...
7 Reactions
38 Replies
941 Views
Habari za muda wadau, nimekaa nikiwa nafikiria sasa naona niseme tu haya mambo yanayonisibu. Kuna mwanamke ninae as nina date nae ila naona tabia zake kama sio. Yeye akija kwangu hata kufanya...
14 Reactions
62 Replies
2K Views
Mimi huwa naletaga mada za ukweli zilizogusa maisha yangu ukipata la kujifunza jifunze Mnakumbuka mara ya mwisho niliwawekeaga uzi humu nlivyofumaniwa kigamboni kisha yule mwanamke nikaachana nae...
41 Reactions
103 Replies
3K Views
Utakutana na scenario mbili 1. Familia yao Wana tabia flani mbaya hasa wakweo mfano tabia za kinyonyaji na kuendelea umasikini. 2.Matatizo ya uzazi. Na vizazi hatakama utabahatika kuyest...
2 Reactions
10 Replies
250 Views
Wasalaam wakuu na waungwana wote, kheri kheri TANGANYIKA nchi yetu.... miaka kadhaa nyuma kuna bro mmoja alikuwa anapga sn hela kwa kutengeneza kitu fulan ksha anawapa vijana kwenda kuuza...
3 Reactions
5 Replies
191 Views
Tupeane matukio na Kuona namna ya kuhakikisha zinadumu daima mpaka kuzikana. Binafsi Nina miaka zaidi ya 20 kwenye ndoa na Nina 45yrs. Nina watoto kadhaa. Kyra, vivi na shaykee Kuna muda naona...
22 Reactions
63 Replies
2K Views
Leo ni mekumbuka enzi nzangu ni kipindi ni kiwa kijana. Nilimpata binti mmoja ambaye ujana wangu sikuwa na mda wa kumpa kama wafanyao wapendanao. Ilifikia tuka tengana naye mikoa tofauti kabisa...
23 Reactions
118 Replies
2K Views
Fanya research mda kuhondomola na shemela wenu umefika.... Kwa nn wanawake wengi wakiolewa wanaume wanajifsnya ndio wanawaona yaan utashangaa kila kona ukimwacha mkeo dist kidogo unasikia psii...
5 Reactions
24 Replies
426 Views
NB, sihamasishi ununuaji ila nataka kushare kauri ambazo nimeshawahi kuzisikia sehemu fulanifulani hapa bongo. 1. Wewe mkaka handsome 2. Yangu haina maji 3. Yangu tamuu njoo 4. Unavua nguo zote...
18 Reactions
68 Replies
2K Views
Happy new year 2026 MMU. Kuna binti wa ki-islamu nimefikiria nianze kufanya mchakato wa kufikisha taarifa kwa wazazi wake kuhusu nia ya kutaka kumuoa binti yao. Hii ni baada ya penzi la mtu...
3 Reactions
44 Replies
635 Views
Wakuu, moyo unavuja damu, sielewi nifanye nini! Iko hivi - Baba ameshaondoka nyumbani muda mrefu, tunaishi na mama tu nyumbani. Suala la baba kuondoka nyumbani si tatizo tatizo linakuja pale...
3 Reactions
18 Replies
431 Views
Wasalam wadau. Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati. Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap. NoFap ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani aidha miezi miwili, mitatu mpaka...
80 Reactions
2K Replies
171K Views
Ukweli mchungu ila ndo hivyo tena. Kama kijana wa kiume unataka kujitafuta na kuepuka mengine.Mwanamke mwenye muonekano wa mbele za wanaume ogopa sana. Leo jumapili dogo wa maviatu yale yenye...
7 Reactions
26 Replies
450 Views
Vijana wa kiume, sikilizeni kwa makini. Hamna haki wala uhalali wa kujiingiza katika tendo la ndoa bila kinga na mwanamke ambaye bado hujakutana na wazazi wake, hujazungumza kwa dhati kuhusu...
3 Reactions
2 Replies
184 Views
Happy birthday
19 Reactions
97 Replies
847 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…