Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Inakuaje unamwambia msichana,nna gf wangu..lakini hakuelewi??..siongelei hapa jf,imetokea huyu mdada ananisumbua sana,sina amani.mpaka nikiwa na gf wangu naweka cmu silent.aggggggggggyyyyyyyyyyyy
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Mimi ni mdada mwenye umri wa miaka 35,proffesional nimeajiariwa. Natafuta partner aliyenizidi umri, mrefu , prefably 170 cms and above, mature,financial stable.
0 Reactions
81 Replies
9K Views
Kama mjuavyo ndoa za nyakati hizi zimekta tofauti kabisa na kipindi cha wazazi wetu na bibi na babu zetu.Ndoa za enzi hizi zimekua ni kama mbwembwe tu ila watu wengi hawadumu kwenye ndoa zao ,nini...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Sielewi kwa nini wazo hili limenijia kichwani ghafla sasa hivi, ila ngoja niwashirikishe! Nafikiria kama ningekuwa na uwezo wa kufanya mabadiliko ya system ya utendaji kazi wa akili, utu, upendo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kauli kama hii hutoka vinywani mwa wanaume wengi. Lakini, je, unajua ni kwa kiasi gani kauli hii huwa haina ukweli hata chembe? Huenda hujui kabisa, au inawezekana pia nawe ni mmoja kati ya wale...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Umri wangu ni miaka ishirini na mmoja. Wazazi wangu hawakuwahi kuoana wala kuishi pamoja kwani nilipokuwa conceived (wazazi) wangu walikuwa bado kwenye late teens, wakati huo wanafunzi. Katika...
1 Reactions
38 Replies
4K Views
Ndugu Wana JF, Jana baada ya kutoka safari, jirani yangu alinipigia simu akinieleza kuwa amekorofishana na mke wake na kuamua kuondoka nyumbani mpaka yule mke wake atakapoondoka nyumbani...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Natubu kwa MWENYEZI MUNGU NA KWA MKE WANGU, NAMWOMBA SANA ANISAMEHE. nilimwoa mke wangu nikiwa sina chochote na kwa msaada wake wa mawazo na msaada wa Mungu tulifanikiwa kujijenga...
0 Reactions
61 Replies
8K Views
Wapendwa uvaaji wa suruali huku shati umechomekea kwenye chupi ni sahihi? Kuna brazameni mmoja nilimwona kaulamba safi ila shati kachomekea kwenye chupi sasa bahati mbaya au nzuri ile chupi...
5 Reactions
24 Replies
5K Views
Kwenye mahusiano/ndoa watu hua wanapiga picha pamoja . . . kwaajili ya ukumbusho. Kwa wale mlioko facebook mnajua siku hizi hizo picha haziishi kwenye album makabatini tu na ukutani ila mpaka...
4 Reactions
106 Replies
9K Views
Nina Gf ambae nimeiishi naye miaka 4 bila kufunga ndoa na bahati mbaya kwa muda huo wote hakuweza shika mimba wala kuwa na mtoto before I meet her. Niliweka agano la ndoa na yeye, lakini kwa kuwa...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Wife is like a TV, Girlfriend is like a mobile, At home you watch TV , but when you go out u take your mobile. Sometimes you enjoy TV, but most of the time you play with your mobile, TV is free...
0 Reactions
4 Replies
996 Views
wakuu ma greater thinker...nawakilisha,kuna habari mmoja imenisikitisha sanaa,nanukuu ''mwanaume mmoja amefikishwa polisi na mkewe,kwa kufumaniwa/kukutwa na picha za mama mkwee[mama wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani natafuta mdada mzuri anayejiheshim na mchamungu, MY NO 0784 967080, i am living in dar!
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Jaman kuna sto r,nimeisikia radio one,imenichosha kwa kweli,yani kweli mkeo au mumeo,au wachumba mnasaviana majina ya ajabu ajabu kwenye simu,unadiriki kumuita au kumsave mkeo au mmeo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
haya tena wapendwa wa jf......habari za masiku teele!! bwana nakaa nawaza sipati jibu.........la haraka!!maana ni miezi kadhaa kijana nimebahatika kupata kibarua cha mkoani...juu kabisa kaskazini...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Unakuta umempakiza demu kwenye gari akishuka anasahau either kibanio cha nywele, hereni au kakitu kokote ili ili mradi azue tafrani.
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Assalam aleukum ndugu zangu,nina jambo moja nataka kuliweka hapa japo tusaidiane katika hili!nimekutana na dada mmoja bahati nzuri nakaa nae mtaa mmoja nikatokea kumpenda sana ila cha ajabu huyu...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Sixty-eight percent of the senior executives interviewed said they had neglected their family lives to pursue professional goals..
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za jumamosi waungwana wenzangu,nafikiri wote mko safi mnaendelea na shughuli za kila siku,jana nilikwenda bar kufurahisha macho kidogo na kupiga stori na wabongo wenzangu,basi kuingia...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…