Huku Mbeya tuna family friend ambaye ni kama ndugu, huyu mzee namfahamu kama bamkubwa toka 2008, huyu mzee watoto wake wote wamepiga shule za nje ya nchi na waliosoma hapa bas ni shule nzuri ni...
Ikiwa wale wanaokusudia kuoana hawataki kuwa na mashaka mengi wala kuwa na mambo kadha wa kadha ya kuwanyima furaha baada ya kufunga ndoa, imewalazimu kufikiria vyema na kwa moyo wote juu ya...
Kundi la wafanyabiashara hii kongwe zaidi nchini na duniani ni kubwa mno. Watu hawa wako kila Kijiji/mtaa, kata , wilaya na mkoa. Kama tukiwasajili na wakalipa kodi, kitakuwa chanzo kikubwa sana...
Kusema tu ukweli utu uzima (adulthood) sio rahisi kwa kila mtu. Watu wako busy trying to make something out of their lives.
Wengine wanadeal na heartbreaks huenda zilizosababishwa na mgogoro wa...
Wanaume tunatakiwa kuelewa hata mwanamke mwenye nia njema atataka hela yako. Wanawake pia wanatakiwa kuelewa hata mwanaume mwenye nia njema atataka sex. Ni matrix ambayo hauwezi kuiepuka.
Sio...
Mwanaume ambaye ameacha kazi zake kwa ajili ya kujali mahusiano/mwenza wako huwa anakwenda kupoteza vitu viwili kwa pamoja kwanza anakwenda kumpoteza huyo Mwanamke wake ,kisha anapoteza kazi/ndoto...
Naombeni kujibiwa hili swali tafadhali
Hivi kwanini wanaume mnakuaga na hela zile wiki za mwanzo tu tunapokutana na nyie? Alafu baada ya hapo huwa hatuzionagi tena?
Hivi unafanyaje ukigundua mpenzi wako amelogwa? Kuna namna kumuondoa huko?
Unakuta amekuwa kama chizi hajielewi ila alikuwa smart tu. Aliefanya hayo unamjua na ulipewa taarifa na uthibitisho.
Juzi nimemfuma mpenzi wangu na lijamaa linamla nyumbani kwake ni bint ambaye nina mihadi nae kumuoa ni kabint flan hivi karembo ukipita nako mtaani aah kwakweli sijaona wa kufananisha nae...
Habari JamiiForums
Siku zinakimbia, miaka inageuka, na umri unasogea.
Nakumbuka ni kama juzi tu Mh. Lowasa alivyotikisa Tanzania kwenye kampeni za Urais 2015.
Ni kama juzi tu tangu hayati...
Kwema wakuu
Nisiwachoshe nasumbuliwa na upweke kupita kiasi kila demu nnayemtongoza ananikataa tofauti na kipindi nna miaka 22 hadi 24 ambapo walikuwa hawachomoi na mimi ni kijana msafi...
Si mbaya kwakweli kuwa na nyumba ndogo kama ukiona shemeji hakutoshelezi mahitaji, japo kuna wengine wameingia huko kutokana na stress za ndoa na migogoro lakini wengine ni tamaa tu na kutoridhika...
Wakuu,
Umewahi kuomba tendo la ndoa kwa mke au mume wako? Je unaombaje? Kwa upande wangu huwa naomba hivi
"Mke wangu naomba tamuu" nae mke wangu anasema "Mume wangu leo tunapumzika maana wewe ni...
Habari za wakati huu ndugu zangu..
Nimeamua kujiengua rasmi kutoka kwa binti wa kimeru niliye mzimikia kwa akili zangu timamu hata kufikiakuhitaji kumuoa,
kipindi cha nyuma niliamua kumuanzishia...
🔥💪FANYA HIVI KUCHELEWA KUFIKA KILELENI ⬇️
Leo tena tunagusa kitu cha msingi sana tumia dakika 3-5 tu—kuunganisha pumzi zako na mawazo yako. Kila unapovuta pumzi, unaruhusu utulivu kuingia ndani...