Nazidi kumpenda, haijalishi nimemfuma

Nazidi kumpenda, haijalishi nimemfuma

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
4,287
Reaction score
9,162
Juzi nimemfuma mpenzi wangu na lijamaa linamla nyumbani kwake ni bint ambaye nina mihadi nae kumuoa ni kabint flan hivi karembo ukipita nako mtaani aah kwakweli sijaona wa kufananisha nae kwenye nchi ile ya Kenya, inaumiza sana kugongewa ila nishapenda nitafanyaje sasa??
 
Juzi nimemfuma mpenzi wangu na lijamaa linamla nyumbani kwake ni bint ambaye nina mihadi nae kumuoa ni kabint flan hivi karembo ukipita nako mtaani aah kwakweli sijaona wa kufananisha nae kwenye nchi ile ya Kenya, inaumiza sana kugongewa ila nishapenda nitafanyaje sasa??
Kalaga baho
 
Juzi nimemfuma mpenzi wangu na lijamaa linamla nyumbani kwake ni bint ambaye nina mihadi nae kumuoa ni kabint flan hivi karembo ukipita nako mtaani aah kwakweli sijaona wa kufananisha nae kwenye nchi ile ya Kenya, inaumiza sana kugongewa ila nishapenda nitafanyaje sasa??
shule si zimefunguliwa?
 
Juzi nimemfuma mpenzi wangu na lijamaa linamla nyumbani kwake ni bint ambaye nina mihadi nae kumuoa ni kabint flan hivi karembo ukipita nako mtaani aah kwakweli sijaona wa kufananisha nae kwenye nchi ile ya Kenya, inaumiza sana kugongewa ila nishapenda nitafanyaje sasa??
Endelea kukaza hvy hvy mkuu, hata min -me demu wake alikuwa anagongwa mbele yake lakini hakutaka kusikiliza maneno ya wambea, na sasa wanaishi kwa furaha na watoto wao wote wazungu japokuwa jamaa yeye n Mmasai, what's a miracle 🙌
 
Endelea kukaza hvy hvy mkuu, hata min -me demu wake alikuwa anagongwa mbele yake lakini hakutaka kusikiliza maneno ya wambea, na sasa wanaishi kwa furaha na watoto wao wote wazungu japokuwa jamaa yeye n Mmasai, what's a miracle 🙌
Silence doesn't always mean you have nothing to say.
It may mean you realize that no matter what you say it won't change anything.😊
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom