Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Nani atakubali mimi niwe dada yake ?? Natamani mwanaume m,moja wa kumuita kaka yangu. Naweza kusimama popote na nikasema nina kaka yangu. Nitamtambulisha kwa wazazi wangu kuwa naye ni mtoto...
30 Reactions
245 Replies
2K Views
Tafiti nyingi za kisayansi zimefanyika na zingine zinaendelea kufanyika. Kwa sasa kuna uwezekano mkubwa sana wa kujua idadi ya wanaume walioshiriki ngono na mwanamke. Mwanamke anaposhiriki ngono...
5 Reactions
32 Replies
5K Views
Wazee wenzangu wale tunaozunguka nchi mbalimbali na mikoa mbalimbali kuonja mbususu za aina aina, leo tiririka nami nikupe orodha ya nchi zinazoongoza kwa kuwa na visu vikali Afrika. Utafiti wa...
8 Reactions
62 Replies
8K Views
Zijue tofauti mbali mbali Kati ya wanaume masikini na wanaume matajiri. 1.ulaji; siku zote kula ya mwanaume wa kitajiri kamwe haifanani na kula ya mwanaume wa kimaskini.Hapa sizungumzii uwezo wa...
5 Reactions
36 Replies
2K Views
Mjini ndiko kwenye huduma bora za afya halafu unataka mkeo akajifungulie kijijini ambako huko huduma za afya ni duni. Miundombinu sio rafiki, maji safi na salama hakuna. Unampeleka huko ili mtoto...
37 Reactions
138 Replies
5K Views
SHALOM WANA WA MUNGU ALIE HAI TABIA MBAYA KWA MUMEO NDIO INALETA MWANAMKE MWINGINE KWENYE NYUMBA YAKO MPENDWA ULIEOLEWA MUMEO AKITOKA NJE SHETANI ATAITUMIA KUPATA MWANAMKE AMBAE HANA HIO TABIA...
7 Reactions
63 Replies
546 Views
Wasalaam nyote, Tukubbali tukatae Rais Hassan. Anaupiga mwingi, πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ Niende kwenye mada moja kwa zote, katika harakati zangu za kuchangamana na watu mbalimbali sehemu nyingi katika mizunguko...
5 Reactions
33 Replies
4K Views
Waganga ni watu walioridhishwa kutibu watu na shida zao mbali mbali . Ikiwemo kutoa majini, Kutoa vifungoo Kutoa uchawi uliowekwa mwilini au katika nyumba za watu . Kurudisha nyota...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu mama yangu amenipeleka kwa mganga wa kienyeji baada kutoona Maendeleo licha ya kuwa na kazi nzuri masharti niliyopewa nisifanye Mapenzi mpka naoa nikifanya nitakufa hivi ni kweli
8 Reactions
63 Replies
2K Views
WEWE Mwanaume unayejidanganya na hayo ma Movie ya X unayoangalia huko kisha unakuja kufanyia mazoezi kwa mtoto wa watu...acha huo ujinga..MARA umnyanyue mguu juu, mara umchanishe msamba huko...
7 Reactions
81 Replies
450K Views
Salaam jamiiforum forum. Kwa wakristo wenzangu , hususan Roman katoliki,Leo ni Alhamisi kuu, Ni bado saa chache tu mkombozi wetu aanze kupitia maumivu. Kwani tayari Yuda ana Vipande thelathini...
3 Reactions
7 Replies
124 Views
Katika maisha 85% ya matatizo ambayo unaweza kupitia yanatokana na uhusiano wako na watu wengine waliokuzunguka ndiyo maana kila mtu akianza kusimulia kufeli kwake, kuharibikiwa kwake atakuwa na...
3 Reactions
3 Replies
334 Views
Wakuu, Sina kabisa mvuto wa kimapenzi,nipo vizuri kiuchumi lakini kila msichana naetokea kumpenda ananitupilia mbali. Kwa yeyote mwenye connection ya mganga hodari anaetoa nyota ya mvuto wa...
10 Reactions
73 Replies
3K Views
Nina shida wanajamii, nipo mbioni kupoteza penzi nililowekeza kwa muda mrefu. Natafuta mganga wa kienyeji (mkweli) aweze kuliponya hili penzi kwani sipo tayari kuliachia, ikibidi nichukue jumla...
0 Reactions
26 Replies
8K Views
Natafuta Mtaalamu wa Kurejesha Mahusiano. Malipo ni baada ya kazi.
12 Reactions
77 Replies
4K Views
UKIONA REDFLAGS HIZI USIOE 🚩 Sio kila anayekupenda anafaa kuwa mke wako, Wengine ni majaribu ya maisha. Kabla hujaoa, fungua macho yako vizuri πŸ‘‡ 1. Hana tabia ya kukubali makosa Kila kitu ni...
13 Reactions
40 Replies
743 Views
Katika mazingira ya kazi za umma, mara nyingi kuna mifumo iliyowekwa inayosaidia kudhibiti mamlaka ya viongozi na kuhakikisha uwiano wa heshima na uwajibikaji. Ni nadra kukuta kiongozi akitumia...
0 Reactions
7 Replies
203 Views
β€ŽNdoa ni utapeli, ndoa ni biashara! Nimekuwa nikikutana na hizi kampeni za kataa ndoa humu jukwaani nikawa nazichukulia kama ni porojo tu, sikuwa nazichukulia kwa uzito hadi leo yamenikuta. Back...
10 Reactions
77 Replies
845 Views
Mtandaoni kila mtu anadai hawezi date single mama, mwanaume mfupi, asiye na hela, au mchafu. Ila gizani nje ya mtandao single mama wengi wanaolewa kuliko hata wasio na watoto. Wanaume wafupi wenye...
7 Reactions
42 Replies
481 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…