Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.6K
Posts
211K
Threads
7.6K
Posts
211K

JF Prefixes:

Sioni sababu ya kupoteza muda kuulizana ulizana hali, kila mtu apambane na hali yake, moya kwa moya kwenye mada. Toka balehe mshawasha wa kufanya mapenzi huwa mkubwa sana. Tuna fikiria vitu...
63 Reactions
6K Replies
753K Views
Kwema wakuu, Lazima tukumbushane kuwa ukimpenda mtoto wa watu ambae umekutanae ukubwani lazima uwekeze moyo na pesa zako kwa kiasi sio unaweka moyo wote na pesa zote siku mambo yakiwa tofauti...
1 Reactions
8 Replies
145 Views
SIPENDI NENO CHAI, Ujue Katika Hii dunia Kila mtu anamaswaibu Aliyoyapitia au kuyaona kwa macho yake, Ujue katika mihangaiko yetu hapa duniani tunakutana na watu wengi na vitu vingi,Na kila mtu...
4 Reactions
35 Replies
372 Views
Habarini wadau nisi wachoshe ngoja niende moja kwa moja katika mada .Katika jamii mwanaume kumzidi umri mwamamke imekuwa jambo lakawaida sana katika suala zima la mapenzi na mahusiano. Lakini...
6 Reactions
17 Replies
741 Views
I know you got me, you heard me correctly! Ndio ukweli hata kama utakataa, chunguza magonjwa ya kurithisha kama kifafa, ukichaa katika familia ya mrembo, chunguza uwepo wa historia ya uchawi na...
5 Reactions
25 Replies
647 Views
Habari zenu wakuu, Nimekuwa naona nyuzi nyingi sana zikiwasema wanawake waliozaa nje ya ndoa kuwa hawafai na sio wa kuwaoa abadani. Kiukweli hili suala ni nyeti na linahitaji mjadala mkubwa ila...
18 Reactions
147 Replies
6K Views
Samahani kwa kuwachosha wanajamvi, naomba ushauri wa mawazo ambao unaweza kunisaidia mimi na mwenza wangu. Nilikutana na binti ambaye bado ni bikira na nimefanya maamuzi awe wangu wa maisha...
7 Reactions
91 Replies
68K Views
Siamini eti ni mihemuko ya kihisia ndio inatufanya tu babaike na urembo wa mwanamke maana hata mwanamke mrembo anatamaniwa hadi na mwanamke mwenzake. Tangu hii dunia ianze tumeona jinsi mwanamke...
5 Reactions
6 Replies
245 Views
Wakuu kwema? Mimi nina swali dogo sana. Watu hua wanasali sala gani au wanafanya nini mpka wanapata wapenzi wenye mapenzi ya dhati na wametulia?
7 Reactions
24 Replies
565 Views
Mdada akitumia neno dear kuni-ddress mimi mapema (i.e ndani ya siku 3), namchukulia kama kicheche ambaye anajitongozesha. Hivyo, huwa ninapatwa na hasira sana na kuamua kuifuta namba yake faster.
10 Reactions
45 Replies
1K Views
Mwezi Mmoja umepita baada ya kumtumia, lakini yeye pia alichangia ni msichana anae onesha kunipenda sana. katengeneza mazingira Hadi nikaingia mkenge wa kuzini nae marakadhaa. Ndio kwanza...
14 Reactions
109 Replies
2K Views
Habari natafuta marafiki wakubadirishana mawazo especially wanachuo lengo nikubadirishana mawazo
11 Reactions
54 Replies
642 Views
Bila shaka mko poa kabisaa. Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu, uwa naona kinyaa sana pale nakutana na mwana flani unategemea mnapiga stori zenu binafsi au tudiscuss mambo ya maana au...
15 Reactions
81 Replies
2K Views
Straight forward, aisee mwenzenu nimeona isiwetabu tuachane tu, mwanamke wangu alinitilia mashaka kuwa namucheat. Akanambia akigundua namcheat atanikata naniliu zangu usiku wewe nikaona isiwe...
6 Reactions
23 Replies
705 Views
Leo ni jumatatu na kama ilivyo Ada watu wako busy haswaa....pamoja na uchovu wa week end lakini watu wanajongea maeneo Yao ya kujitafutia rizikii. Bila shaka na nyie wa JF wenzangu mko sawa kabisa...
22 Reactions
216 Replies
5K Views
Heshima kwenu wakuu, Baada ya kuona Watu wanawaandikia wapenzi wao meseji za kawaida zisizo romantic, nmeona niwakusanyie meseji japo uwe unacopy na kumpastia umpendae. Hii itasaidia kuamsha...
6 Reactions
62 Replies
610K Views
Kwema wadau. kama mada inavyojieleza, leo nikiwa natoka mishemishe naelekea home nikakutana huyu dada akaniita nikaenda kumsikiliza kuja pale ndo ananiambia kaniota ndotoni nampelekea moto wakati...
4 Reactions
8 Replies
330 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimeishi na mke wangu zaidi ya miaka 30, lakini nilihisi ana bwana wa pembeni, nikaanza kufanya uchunguzi, kweli nikafuma baadhi ya msg , ambaxo kwa tabia...
22 Reactions
235 Replies
8K Views
  • Redirect
Jeuri na kibuli, Mwanamke kiburi na jeuri uchumbani ni sawa na mtu aliebanwa na mkojo kwenye basi atajibana utaona umepata wife material anasubiri ndoa achimbe dawa. Hakuna mwanaume anayeweza...
6 Reactions
Replies
Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…