Nani atakubali mimi niwe dada yake ??
Natamani mwanaume m,moja wa kumuita kaka yangu.
Naweza kusimama popote na nikasema nina kaka yangu.
Nitamtambulisha kwa wazazi wangu kuwa naye ni mtoto...
Tafiti nyingi za kisayansi zimefanyika na zingine zinaendelea kufanyika.
Kwa sasa kuna uwezekano mkubwa sana wa kujua idadi ya wanaume walioshiriki ngono na mwanamke.
Mwanamke anaposhiriki ngono...
Wazee wenzangu wale tunaozunguka nchi mbalimbali na mikoa mbalimbali kuonja mbususu za aina aina, leo tiririka nami nikupe orodha ya nchi zinazoongoza kwa kuwa na visu vikali Afrika.
Utafiti wa...
Zijue tofauti mbali mbali Kati ya wanaume masikini na wanaume matajiri.
1.ulaji; siku zote kula ya mwanaume wa kitajiri kamwe haifanani na kula ya mwanaume wa kimaskini.Hapa sizungumzii uwezo wa...
Mjini ndiko kwenye huduma bora za afya halafu unataka mkeo akajifungulie kijijini ambako huko huduma za afya ni duni. Miundombinu sio rafiki, maji safi na salama hakuna.
Unampeleka huko ili mtoto...
SHALOM WANA WA MUNGU ALIE HAI
TABIA MBAYA KWA MUMEO NDIO INALETA MWANAMKE MWINGINE KWENYE NYUMBA YAKO
MPENDWA ULIEOLEWA MUMEO AKITOKA NJE SHETANI ATAITUMIA KUPATA MWANAMKE AMBAE HANA HIO TABIA...
Wasalaam nyote,
Tukubbali tukatae Rais Hassan. Anaupiga mwingi, πππππ
Niende kwenye mada moja kwa zote, katika harakati zangu za kuchangamana na watu mbalimbali sehemu nyingi katika mizunguko...
Waganga ni watu walioridhishwa kutibu watu na shida zao mbali mbali .
Ikiwemo kutoa majini,
Kutoa vifungoo
Kutoa uchawi uliowekwa mwilini au katika nyumba za watu .
Kurudisha nyota...
Wakuu mama yangu amenipeleka kwa mganga wa kienyeji baada kutoona Maendeleo licha ya kuwa na kazi nzuri masharti niliyopewa nisifanye Mapenzi mpka naoa nikifanya nitakufa hivi ni kweli
WEWE Mwanaume unayejidanganya na hayo ma Movie ya X unayoangalia huko kisha unakuja kufanyia mazoezi kwa mtoto wa watu...acha huo ujinga..MARA umnyanyue mguu juu, mara umchanishe msamba huko...
Salaam jamiiforum forum.
Kwa wakristo wenzangu , hususan Roman katoliki,Leo ni Alhamisi kuu,
Ni bado saa chache tu mkombozi wetu aanze kupitia maumivu.
Kwani tayari Yuda ana Vipande thelathini...
Katika maisha 85% ya matatizo ambayo unaweza kupitia yanatokana na uhusiano wako na watu wengine waliokuzunguka ndiyo maana kila mtu akianza kusimulia kufeli kwake, kuharibikiwa kwake atakuwa na...
Wakuu,
Sina kabisa mvuto wa kimapenzi,nipo vizuri kiuchumi lakini kila msichana naetokea kumpenda ananitupilia mbali.
Kwa yeyote mwenye connection ya mganga hodari anaetoa nyota ya mvuto wa...
Katika mazingira ya kazi za umma, mara nyingi kuna mifumo iliyowekwa inayosaidia kudhibiti mamlaka ya viongozi na kuhakikisha uwiano wa heshima na uwajibikaji. Ni nadra kukuta kiongozi akitumia...
βNdoa ni utapeli, ndoa ni biashara! Nimekuwa nikikutana na hizi kampeni za kataa ndoa humu jukwaani nikawa nazichukulia kama ni porojo tu, sikuwa nazichukulia kwa uzito hadi leo yamenikuta.
Back...
Mtandaoni kila mtu anadai hawezi date single mama, mwanaume mfupi, asiye na hela, au mchafu. Ila gizani nje ya mtandao single mama wengi wanaolewa kuliko hata wasio na watoto. Wanaume wafupi wenye...