Mambo vipi wadau,,,yeyote ambae anaweza kunipa kampani ya mtoko usiku huu namkaribisha....mie nipo Tabata sasa ivi Oh Yeah pub opposite na Italian nimeboreeka na sina ucngz kbs,naweza move popote...
Bila shaka uko poa mwamaume mwenzangu hasa wewe uliyeoa pole na majukum ya familia ndo ukubwa huo.
sasa me nataka nikushirkishe mambo machache tu kuhusu familia coz mume mwema lazima uw strong...
Jamaa mmoja mitaa ya kinondoni, alikimbiwa na mke wake, watu wakamshauri aende kwa sangoma mmoja maarufu hapa jijini ili amasaidie kumrudisha mkewe. Sangoma akampa dawa...
msaada wenu wandugu, huyu kaka tulisoma wote o-level hakuwai kusema chochote, baadae tumepotezana kwa miaka mingi, tulivoonana tena, akawa kama amechanganyikiwa kuniona, haamini. cha kwanza...
Vidume tumekuwa na moyo wa kuwasaidia ma girlfriends, wetu financially hususani wanaosoma au waliokutwa na shida, tukiamini wanacount jitihada hizo, ama ndo tunatengeneza njia ili kuja kujenga...
Wajameni nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana nyuzi mbalimbali ktk jukwaa hili hatimaye nimechukua uamzi mgumu wa kuwa member wa chili jukwaa, ndugu zangu wanajf nipokeeni
Nimepatwa na utata kidogo, sina mahali pengine pa kuuliza bila kujulikana na ninaomba ushauri wa kweli.
Mimi ni mama single, mwanangu ana miaka minne tu. Mimi na baba yake tuliachana kama mwaka...
Msaada wenu wanajamvi,nimekorofishana na mpenzi wengu,nimejaribu kumuomba msamaha ila ametia ngumu mpaka sasa hataki kupokea simu yangu,na yeye ndo chanzo chakufanya nimtukane matusi makubwa na...
Wengi wanadhani kuwa maharage ya mbeya ni kwa wanawake tu! lakini ukweli ni kwamba kuna wanaume ambao hunaswa kirahisi sana na wanawake, mfano wa wanaume hawa ni jamaa wa miaka 26 kumuoa...
Haya haya haya leo ndo leo tunataka tujue status yako katika relationship(love),kwa kufanya hivyo tutajua kama uko aidha single,married,occupied ,hanging,no...
1. UKO/UPO WAPI?
Huna sababu ya kuuliza hili swali. Kwani umepewa taarifa mtu kapotea? Au anataka maelekezo ya uelekeo? Ukishajua sasa unakuwa umesaidikaje? Na mwingine hata ukijaribu kulikwepa...
Wasalaam...Nina rafiki yangu ambaye alikuwa very bright shuleni....alipata daraja zuri sana kidato cha nne kiasi kwamba wengi tuliamini angefika mbali kimasomo..lakini mambo yameharibika baada ya...
Kuna mdada mmoja nilimuuliza juu ya maeneo akiguswa/chezewa upata utamu,akanitajia kama matano,kisha akanigeuzia swali hilo kwangu,nilikuwa na jibu moja, kwamba utamu naupata wakati nakojoa tu...
Siku hizi dada zetu wengi wanamiliki magari. Ujio wa mabenki na utolewaji wa mikopo imewafanya dada zetu wengi kumiliki magari na hivyo kuondokana na usumbufu wa kuparamia daladala.
Lakini kuna...
ni kwanini kumekuwako na massage centre nyingi kama saloon lakini wateja hawaonekani?hata mnapokuwa kijiweni ni nadra kumsikia rafiki akikueleza kuwa alikuwa huko
Hii ina ubishi watoto wa kike huwasaidia wazazi wao tofauti na wa kiume,hata kama ana kipato kidogo au anafanya biashara ya ukahaba yuko radhi kile anachokipata apeleke kwa wazazi.
Watoto wa...
Polen wadau wa MMU,jamani mwenzenu nimechoshwa na mitongozo ya watoto wa kike kwangu kila nikicheka na mtoto wa kike 2 bhas lazima ataniambia nakupenda niomba niwe mpz wako,mpaka sasa nimeamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.