Wanawake wengi kinachowafanya mlalamike wanaume hatuna mapenzi bali tuna wachezea ni maswali na vitabia vyenu visivyo na kichwa wala mguu.(baadhi ya wanawake).
1. Unakuta una demu wako mzuri tu na...
Sina mawasiliano mazuri na my x na nibaada ya kuwa na ujauzito.
Hapo nyuma tulikua na mawasiliano mpaka ujauzito ulipofika miez 7 ndo akanitamkia hanipendi tena.. kisa nimemuuliza kwa nini...
Habarini wana JF wenzangu.
Mwenzenu yamenikuta leo, ile narudi home toka job nimepokewa na kilio kutoka kwa mke wangu kuuliza kulikoni mama ananijibu amechoka na maisha ya kukaa nyumbani, labda...
Wadau mimi ni mkristo tena Roman catholic, but linapokuja swala la ndoa huwa sikubaliani na hii kitu ya kufunga pingu za maisha yaani utakae muoa au kuolewa nae ndie awe daima na milele.
Ngumu...
Hivi demu wako hataki ujiunge na FB ukakubali kutokujiunga nayo mwisho wa siku uko na msela wako ambaye yupo Facebook na unajua ameoa anakuambia kuna demu ambaye anatafuta mwanaume, unamwambia...
Hii mada itakuwa msaada mkubwa sana kwa wale wanaojiandaa kuingia katika ndoa, itasaidia kuwaanda kisaikolojia kupambana na maudhi ya mke maana kwa kweli ni mengi sana na usipoangalia yanaweza...
u demu wa mshikaji, toka mwanzo nilijua
nikavulia nguo maji, mshikaji haja pata jua
ukatimiza yangu mahitaji, nikakupa rozi ua
kwa nini wanijaji, wakati u si juha?
Siku ile nipokusogelea...
Waliovunjiwa makazi Dar sasa wahofia kuvunjika kwa ndoa zao
Furaha Kijingo na Rehema Rajabu
WAKAZI wa Tabata Dampo waliobomolewa nyumba zao na Manispaa ya Ilala, wamesema ndoa zao zipo hatarini...
Ni kitambo toka niibuke hapa jamvini, mara chache nimekuwa naingia kama guest hata id yangu imepotea nimelazimika kutengeneza mpya. Nimekuja vile nina jambo nataka kuitangazia dunia, "ninatembea...
Habari wana jamvi wa MMU.
Ni takribani miaka 4 kamili iliyopita nilipovunja uhusiano na aliyekuwa girlfriend wangu na kukatisha mawasiliano nae. Sababu ya mimi kubrake up nae ni alikuwa si...
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 23 nina uhusiano na kijana mmoja hivi ambae ni mwanajeshi. Tangu tuanzishe uhusiano wetu hatujawahi kugombana ugomvi wa kutufanya tusiongee lakini mara ya...
Kwa ufupi wimbo huo unaelezea kisa cha mke kulala na doctor ili amtibu mume wake bure, maana mume wake alipata ajali na mkewe akawa hana pesa ikabidi afanye mapenzi na doctor ili amsaidie na yule...
Wakuu, heshima kwenu, kuna jambo huwa najaribu kufikiria, ni kweli huyu binti ni mwaminifu au anajishebedua tu kwangu, yaani mwanaume yoyote yule akimtongoza na kumuomba namba, siku hiyo atakuja...
Baba mmoja amtoroka mkewe na kwenda kuishi pasipojulikana zaidi ya miaka kumi kwa kile kinachosemekana ugumu wa maisha,mkewe akadhani kuwa mumewe amekwisha kufa kwa sababu kipindi anaondoka...
Hapachini nitaeleza baadhi ya vijimambo vyawanawake vinavyodhibitisha udhaifu wao wakutokuwa wakweli:
(1) Tangu kukua kwangu nimewahi kutembeana mwanaume mmoja tu maishani mwangu tena alinibaka...
Nimeona kwenye duka la vifaa kuna vimashine mashine na ni kwa ajili ya wanawake tu, vina maumbo ya kijitu kizima kimaumbo ya kiume, hivi ni kweli vifaa hivi humuakilisha mwanamme na humfikisha...
Bro Alert: Too Much Booze May Harm Your Sperm
The more alcohol young men drink, the lower their sperm count and quality may be, new research suggests.
"Many studies have shown that excessive...
Nimeombwa ushauri, na mimi naleta kwenu wanaukumbi, kijana ameoa mke wa kutafutiwa na wazee kabla ya kuoa aliongea na binti wakakubaliana, wakaoana.
Miezi miwili tu mdada akatembea na mpenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.