Mimi ni mwanamke mwenye miaka 34 sina mtoto na sijawahi kuolewa
Naishi Dodoma, nimeajiriwa
Elimu yangu ni ngazi ya shahada
Dini yangu ni Mkristo
Mwili wangu ni kawaida
Afya yangu ni njema
Mume...
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitazama mahusiano ya watu mbalimbali, hasa watu maarufu, na kuna jambo moja limekuwa likinifanya nihoji.
Inawezekana wanawake wengi, kwa asili yao, huvutiwa zaidi na...
1.Walimu wa shule za msingi
2.Maafisa kilimo
3.Manesi
4.MaHR na masekretary
5.Wanajeshi
6.Maboss wajane
7.Wafanyakazi wa benki
Hawa watu haupati shida kutongoza ni swaga kidogo tu wanajaa...
Kumbe ni ubatili ni kama kujilisha upepo ukizani unashiba
Nilikuwa na hakikisha mama mkwe, wadogo zake, yeye mwenyewe hawakosi mahitaji muhimu, nilikuwa najitoa haswa, na kazi nilikuwa napiga...
Wanaume mlioamua kuoa, timizeni wajibu wenu. Msiwaache wake zenu wakizunguka huku na kule wakijileta kwa wanaume ambao hawana hata mpango wa kuoa. Sisi hatuna mazoea nao, lakini wao ndiyo...
Kumekuwa na mafundisho mengi sana siku hizi kuhusu namna nzuri ya kukabiliana na umaskini , Moja ya jambo linalosemwa ni watumishi kuoana na kufanya ndoa, na tunashauriwa sana kuwe na...
According to the laws of attraction, we are what we think.
Sio hapo tu, we subconsciously become who we believe to be so. Wengi tunaishi maisha tusiyo yataka kwasababu that's what we resist...
Leo nimekaa sehemu karibu na genge la matunda akaja mdada mmoja anataka kununua tango akapewa akasema hapana mi napenda matango manene,baada ya kauli hiyo akaniangalia huku anacheka namimi ikabidi...
Kuna binti kakutana na Surprise ambayo naamini hawezi kusahau kamwe, alikuwa na mpenzi wake ambaye walikuwa na miaka 4 anakwenda mpaka kwa kwao na jamaa akiamini kwa hatua waliyofikia yeye ni mke...
Ustadhi anasema kutokana na Experience yake ndogo kwenye ndoa; amengundua kuwa ndoa nyingi za kikristo hudumu kuliko ndoa za kiislam na hii inatokana na wanaume wengi wanakimbilia kuoa wanawake...
Nina rafiki ambaye alimpa mimba msichana aliyekuwa akiishi naye kwa takribani miaka 3 hadi 4. Baadaye alipata kazi mbali na eneo walilokuwa wanaishi.
Alipofika kwenye eneo lake jipya la kazi...