Ukiona videos zake anavyocheza na zile ndege za kivita hewani. Mashine inasimama yenyewe. Yaani huyu mtoto uki mbuzi kagoma. Una pump huku unaimba wimbo wa taifa, unamshukuru sana kwa uzalendo...
Maisha ya kijana ni safari ya kujitafuta.
Ni kipindi cha ndoto, nguvu, hamu, makosa, maumivu na maamuzi makubwa.
Wengi huingia hatua hii wakiwa na matarajio makubwa—lakini hukutana na uhalisia...
Niaje Wakuu? Natumai mko poa, kwa mwenye changamoto kwakuwa bado una pumua mambo yatakuwa shkopa.
Hebu leo tuzungumzie uzoefu wa kimaisha, tunajua maisha hayakosi changamoto, kupanda na kushuka...
Ili uweze kufanikiwa, hizi hapa ni mbinu za kitaalamu /Kimkakati na za kisaikolojia poti.
1. Vunja Ukuta wa "Shikamoo"
Hili ni tatizo la kwanza kwa vijana wengi wa hapo Dar!. ...
Ukimpa...
Huu ni uraibu unaokua kimya kimya ndani ya mtu, hauonekani usoni, lakini unatafuna nguvu, akili, maamuzi na hata heshima ya mtu taratibu. Watu wengi hulichukulia poa, wakisema “ni kawaida tu”...
Yaani huyu demu nilitaka kumuacha ghafla akaniwahi aisee ananiambia tuachane nifanyeje
Yaani Kila nikimuona anajifanya mjanja mwenyewe naona anajisifia kwa rafiki zake eti kaniacha aisee mbinu...
Hapo vip!
Najivunia sana kuzaliwa mweupe kwasababu uweupe ni ishara ya utakatifu,nguvu,utawala,utajiri,mamlaka n.k MFano nuru utawala giza.
Kiukweli sisi wanaume weupe hatupendi vitu vichafu...
Leo ni jumatatu na kama ilivyo Ada watu wako busy haswaa....pamoja na uchovu wa week end lakini watu wanajongea maeneo Yao ya kujitafutia rizikii.
Bila shaka na nyie wa JF wenzangu mko sawa kabisa...
Hapo vip!
Ipo hivi mimi ni mwanaume ambaye mapenzi sana sio kipaumbele kwangu.
Na nikikaa muda mrefu bila kufanya mapenzi nakuwa na amani na furaha sana kwenye maisha yangu pia nakuwa mtu...
Ni kawaida wapenzi wanapokuwa mbali, kuwa na hamu kubwa ya kuonana kutokana na umbali, majukumu na uchumi, huwa ni kwazo wao kuonana mara kwa mara.
Ila wapo wapenzi wanakutana na changamoto...
Mu hali gani wakuu...
Nakumbuka kuna demu niliwahi kuwa naye kwenye mahusiano ya kuibaiba miaka kadhaa nyuma ambae muda huohuo alikuwa ni shemeji pia sababu ya urafiki wake na mwanamke wangu wa...
Huyu demu huwa sometimes akija ofisini kwangu kwa kuwa nakuwa alone hasa jioni basi namchapa nao.
Sasa msianze kusema oooooh.... Sijui mikosi sijui nini... Sitaki lecture hapa. Kwanza mikosi...
Usemi huu, una ukweli usiopingika, na hii ni kutokana na uhalisia wa kimatokeo yatokanayo na nini kinatokea pindi watu hawa wa jinsi mbili tofauti (yaani; me na ke) wakutanapo.
Kwa asili...