Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
BEST 50 MOVIES FOR MATURED AUDIENCES 🔞‼️😱 Bookmark & Enjoy…….10/10😱🔞 1. Gone Girl 🇺🇸 2. Fight Club 🇺🇸 3. Se7en 🇺🇸 4. The Prestige 🇺🇸🇬🇧 5. Shutter Island 🇺🇸 6. Inception 🇺🇸🇬🇧 7. The Matrix 🇺🇸 8...
5 Reactions
46 Replies
887 Views
Ukiona videos zake anavyocheza na zile ndege za kivita hewani. Mashine inasimama yenyewe. Yaani huyu mtoto uki mbuzi kagoma. Una pump huku unaimba wimbo wa taifa, unamshukuru sana kwa uzalendo...
4 Reactions
14 Replies
466 Views
Maisha ya kijana ni safari ya kujitafuta. Ni kipindi cha ndoto, nguvu, hamu, makosa, maumivu na maamuzi makubwa. Wengi huingia hatua hii wakiwa na matarajio makubwa—lakini hukutana na uhalisia...
7 Reactions
11 Replies
321 Views
Wakuu mtanisaidiaje? maana mistari inanipiga chenga. Nakitaa kuna dem na mind,ila michongo ndoh sina.
1 Reactions
6 Replies
186 Views
Niaje Wakuu? Natumai mko poa, kwa mwenye changamoto kwakuwa bado una pumua mambo yatakuwa shkopa. Hebu leo tuzungumzie uzoefu wa kimaisha, tunajua maisha hayakosi changamoto, kupanda na kushuka...
28 Reactions
373 Replies
9K Views
Ili uweze kufanikiwa, hizi hapa ni mbinu za kitaalamu /Kimkakati na za kisaikolojia poti. 1. Vunja Ukuta wa "Shikamoo" Hili ni tatizo la kwanza kwa vijana wengi wa hapo Dar!. ... Ukimpa...
7 Reactions
24 Replies
484 Views
Huu ni uraibu unaokua kimya kimya ndani ya mtu, hauonekani usoni, lakini unatafuna nguvu, akili, maamuzi na hata heshima ya mtu taratibu. Watu wengi hulichukulia poa, wakisema “ni kawaida tu”...
6 Reactions
37 Replies
707 Views
Yaani huyu demu nilitaka kumuacha ghafla akaniwahi aisee ananiambia tuachane nifanyeje Yaani Kila nikimuona anajifanya mjanja mwenyewe naona anajisifia kwa rafiki zake eti kaniacha aisee mbinu...
7 Reactions
45 Replies
585 Views
Usidanganywe ukafanya mapenzi bila kondomu.
0 Reactions
5 Replies
249 Views
Hapo vip! Najivunia sana kuzaliwa mweupe kwasababu uweupe ni ishara ya utakatifu,nguvu,utawala,utajiri,mamlaka n.k MFano nuru utawala giza. Kiukweli sisi wanaume weupe hatupendi vitu vichafu...
4 Reactions
86 Replies
1K Views
Leo ni jumatatu na kama ilivyo Ada watu wako busy haswaa....pamoja na uchovu wa week end lakini watu wanajongea maeneo Yao ya kujitafutia rizikii. Bila shaka na nyie wa JF wenzangu mko sawa kabisa...
25 Reactions
232 Replies
11K Views
Bora ningemuongezea mama yangu ghorofa nyingine masaki kuliko huyu Mwanamke asie na utu na shukrani
16 Reactions
112 Replies
4K Views
Hapa ndipo
3 Reactions
40 Replies
679 Views
Hapo vip! Ipo hivi mimi ni mwanaume ambaye mapenzi sana sio kipaumbele kwangu. Na nikikaa muda mrefu bila kufanya mapenzi nakuwa na amani na furaha sana kwenye maisha yangu pia nakuwa mtu...
11 Reactions
182 Replies
2K Views
Ni kawaida wapenzi wanapokuwa mbali, kuwa na hamu kubwa ya kuonana kutokana na umbali, majukumu na uchumi, huwa ni kwazo wao kuonana mara kwa mara. Ila wapo wapenzi wanakutana na changamoto...
9 Reactions
90 Replies
5K Views
1. Usafi, wanawake wanapenda mwanaume msafi anaejitunza kuanzia mavazi, anapoishi na anakofania Kazi. Jitahidi fua nguo, uoge vizuri piga mswaki piga pasi. Safisha nyumba yako vizuri nk...
18 Reactions
77 Replies
7K Views
Mu hali gani wakuu... Nakumbuka kuna demu niliwahi kuwa naye kwenye mahusiano ya kuibaiba miaka kadhaa nyuma ambae muda huohuo alikuwa ni shemeji pia sababu ya urafiki wake na mwanamke wangu wa...
60 Reactions
237 Replies
11K Views
Huyu demu huwa sometimes akija ofisini kwangu kwa kuwa nakuwa alone hasa jioni basi namchapa nao. Sasa msianze kusema oooooh.... Sijui mikosi sijui nini... Sitaki lecture hapa. Kwanza mikosi...
6 Reactions
45 Replies
699 Views
Unakuja jamaa unamfahamu kabisa kuwa hana uwezo, lakini ni nambari moja kwa kutongoza. Hali hii hutokana na nini?
1 Reactions
0 Replies
54 Views
Usemi huu, una ukweli usiopingika, na hii ni kutokana na uhalisia wa kimatokeo yatokanayo na nini kinatokea pindi watu hawa wa jinsi mbili tofauti (yaani; me na ke) wakutanapo. Kwa asili...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…