Mtu asiye sahihi huvuta hofu, woga na mashaka katika eneo zima la kupenda na kupendwa katika maisha yako

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Oct 26, 2018
21,713
35,518
1. Mtu asiye sahihi huleta mahangaiko na mateso.
2. Mtu asiye sahihi huleta majuto katika maisha.
3. Mtu asiye sahihi huleta umasikini, taabu na maumivu.
4. Mtu asiye sahihi huleta magonjwa ya moyo.
5. Mtu asiye sahihi huleta roho ya kujichukia.
6. Mtu asiye sahihi huvuta roho ya mauti ndani ya mtu.
7. Mtu asiye sahihi huleta kilio kisichoisha ndani ya moyo wa mtu.
8. Mtu asiye sahihi huleta kudharauliwa na matukano katika maisha yako.
9. Mtu asiye sahihi huharibu heshima yako katika jamii.
10. Mtu saiye sahihi huleta ogomvi usioisha katika familia.
11. Mtu asiye sahihi hana toba ya kweli katika maisha yake.
12. Mtu asiye sahihi anauwezo wa kukufanya uchukie kupenda na kupendwa katika maisha yako.
13. Mtu asiye sahihi huleta ugumu wa maisha.
14. Mtu asiye sahihi hupoteza maana yako ya kuishi na kusudi lako.
15. Mtu asiye sahihi huondoa furaha na amani katika maisha yako.
16. Mtu asiye sahihi anaharibu mtazamo wako wa kesho (future).
17. Mtu asiye sahihi anakukosesha na watu walio sahihi maana ana roho za uongo, fitina, unafiki,wachoyo na rafiki wa maadui zako – mwangalie Delila akiwa na urafiki na wafilisti ambao walikuwa maadui za Samsoni Yuda Iskarioti anakuwa na urafiki na watu wenye uadui na Bwana Yesu.
18. Mtu asiye sahihi anakutenga na Mungu wako.
19. Mtu asiye sahihi anaweza kukufanya kupoteza uaminifu wako katika jamii na kufanya mambo yasiyostahili kama kutoka nje ya ndoa, kutoa talaka na kuwachukia watu jinsia Fulani kama wanaume au wanawake.
20. Mtu asiye sahihi analeta maangaiko na mateso katika jamii
21. Mtu asiye sahihi huleta sifa mbaya katika mazingira ya sifa njema.
22. Mtu asiye sahihi huleta mipasuko na migongano katika familia.
23. Mtu asiye sahihi hukwamisha ndoto za watu kutimia.
24. Mtu asiye sahihi huharibu utaratibu wa maisha yako.
25. Mtu asiye sahihi huvuta hofu, woga na mashaka katika eneo zima la kupenda na kupendwa katika maisha yako.
share na marafiki
 
Watakukosoa sana ila ukweli umeongea.
1. Mtu asiye sahihi huleta mahangaiko na mateso.
2. Mtu asiye sahihi huleta majuto katika maisha.
3. Mtu asiye sahihi huleta umasikini, taabu na maumivu.
4. Mtu asiye sahihi huleta magonjwa ya moyo.
5. Mtu asiye sahihi huleta roho ya kujichukia.
6. Mtu asiye sahihi huvuta roho ya mauti ndani ya mtu.
7. Mtu asiye sahihi huleta kilio kisichoisha ndani ya moyo wa mtu.
8. Mtu asiye sahihi huleta kudharauliwa na matukano katika maisha yako.
9. Mtu asiye sahihi huharibu heshima yako katika jamii.
10. Mtu saiye sahihi huleta ogomvi usioisha katika familia.
11. Mtu asiye sahihi hana toba ya kweli katika maisha yake.
12. Mtu asiye sahihi anauwezo wa kukufanya uchukie kupenda na kupendwa katika maisha yako.
13. Mtu asiye sahihi huleta ugumu wa maisha.
14. Mtu asiye sahihi hupoteza maana yako ya kuishi na kusudi lako.
15. Mtu asiye sahihi huondoa furaha na amani katika maisha yako.
16. Mtu asiye sahihi anaharibu mtazamo wako wa kesho (future).
17. Mtu asiye sahihi anakukosesha na watu walio sahihi maana ana roho za uongo, fitina, unafiki,wachoyo na rafiki wa maadui zako – mwangalie Delila akiwa na urafiki na wafilisti ambao walikuwa maadui za Samsoni Yuda Iskarioti anakuwa na urafiki na watu wenye uadui na Bwana Yesu.
18. Mtu asiye sahihi anakutenga na Mungu wako.
19. Mtu asiye sahihi anaweza kukufanya kupoteza uaminifu wako katika jamii na kufanya mambo yasiyostahili kama kutoka nje ya ndoa, kutoa talaka na kuwachukia watu jinsia Fulani kama wanaume au wanawake.
20. Mtu asiye sahihi analeta maangaiko na mateso katika jamii
21. Mtu asiye sahihi huleta sifa mbaya katika mazingira ya sifa njema.
22. Mtu asiye sahihi huleta mipasuko na migongano katika familia.
23. Mtu asiye sahihi hukwamisha ndoto za watu kutimia.
24. Mtu asiye sahihi huharibu utaratibu wa maisha yako.
25. Mtu asiye sahihi huvuta hofu, woga na mashaka katika eneo zima la kupenda na kupendwa katika maisha yako.
share na marafiki
 
Moyo wa mtu kichaka ndugu,you can never be certain what one has in his/her mind...kama anakupa furaha mengine usiwaze sana..utakufa na pressure bureee..
 
Back
Top Bottom