Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Naweza kusema ni state of mind pale unapoona kiuno cha kike shanga zimeonekana kidoogo! Kile kimuhemuhe na ashiki unayopata na mawazo yako unakoyapeleka. Shanga ni kivutio cha asili kwenye...
50 Reactions
548 Replies
160K Views
Nimetulia zangu kasehemu fulani uchochoroni hapa Bunju Beach, ameingia mwalimu mmoja hapa na bodaboda guest house, dada kapiga decent na Pete juu na bodaboda namfahamu, ila huyu boda hajaoa, kwa...
22 Reactions
99 Replies
7K Views
Kuna binti mmoja, ni mke wa mtu, lakini ananiumiza kichwa sana siku hizi. Mume wake alimfungulia duka kubwa tu awe anakuwa bize, na kwa kuwa hata mimi nina duka katika mitaa hiyo, tulianza...
1 Reactions
19 Replies
392 Views
Sababu kubwa ni kwamba wakinga wengi hupenda kujishughulisha na maduka, kuna biashara nyingi sana lakini mkinga kachagua maduka. Madukani wakinga huwa wanashinda na wake zao, hakuna mke wa kubaki...
10 Reactions
30 Replies
633 Views
Historia na maandiko matakatifu mara nyingi hutufundisha jambo moja muhimu sana: mara nyingi hatuangushwi na maadui wa mbali, bali na watu wa karibu wanaojua siri zetu. Maelfu ya askari wa...
3 Reactions
3 Replies
87 Views
Kwenye video hii kuna mwanamke anayewapatia ushauri watoto wa kike. Baadhi ya wanawake wamemuunga mkono sana huku wanaume wakionesha kuwa ameongea tope. Ukitazama ushauri wake ni sawa na kusema...
3 Reactions
13 Replies
130 Views
Wanabodi, Naomba kuuliza, hivi kwa nini wanawake huwa hampendani?!, Inawezekana kuwa ni kweli, adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe?!. Naomba niwape mfano mdogo tuu toka humu humu jf, Siku...
1 Reactions
76 Replies
10K Views
Kuna faida kubwa sana kwa wanaume kuzaa nje (michepuko), kwa mwanzo unaweza kuona ni changamoto ila baada ya miaka kwenda matunda yake uonekana...
7 Reactions
29 Replies
425 Views
hakunaga kitu kinaua confidence kwa mwanaume kama vile anapoambiwa ukweli (sio kusingiziwa) na mke wake anaempenda (sio girlfriend au mchepuko ) "huniridhishi" "unanichafua tu" "unanipapasa...
3 Reactions
6 Replies
223 Views
Ndugu salaam Sisi wanaume tumekua tukiwapa wanawake pipi kijiti (lolipop) kama njia ya kuridhika na ombi lao la kusamahewa ili hali tunajua kabisa ni starehe ovu na ya kikatili dhidi ya...
2 Reactions
10 Replies
904 Views
Musiki ni therapy, burudani na njia ya kufikisha ujumbe kwenye jamii. Kuna namna nyingi za kufurahia mziki. Miaka ya karibuni imeibuka hii trend ya mabinti na wanawake kutuma video fupi za kucheza...
18 Reactions
87 Replies
1K Views
Kwa nini ubebe mimba ya mtu ambaye hajaitaka!! Kisa kinaanza kuna mwanamke mmoja (mchepuko) nilikuwa na mahusiano nae siku moja niliruka nae ila kabla ya sex alinihakikishia kuwa ana kijiti cha...
7 Reactions
10 Replies
394 Views
Leo dunia inaadhimisha nguvu, busara na mchango mkubwa wa mwanamke katika kujenga jamii na mataifa. Mwanamke si tu mzazi wa kizazi, bali pia ni nguzo ya maadili, dira ya jamii na tumaini la taifa...
3 Reactions
5 Replies
117 Views
Wakuu siwasalimii, mlinidanganya kuwa kuoa bikra ndio uanaume, nami nikauchukua ushauri wenu nikaoa bikra,nimekaa nae yapata 8months sasa ameanza kuchepuka,tafrani nyumbani. Nifanyaje wakuu...
5 Reactions
52 Replies
550 Views
Baada ya maambukizi , inachukua miaka 10 hadi 15 mtu kuanza kuona dalili za hiv, Kumbe wengi wazinzi naweza sema watoto wa 2000s walioanza uzinzi let's say 2018 wakiwa na miaka 18+, Dalili...
2 Reactions
12 Replies
228 Views
Haya mambo ya kale eti ntaishi nawe mpaka kifo hamna,siewez na haya mahusiano ya siku hizi n magumu.mm nnatafuta mwanamke nimpg mimba, akinializia tuh hivi,mtoto akikuwa na mwanamke huyo...
5 Reactions
11 Replies
190 Views
1. Ukimlipia mahari mwanamke,huyo anakuwa mali yako,atakuheshimu na kudumisha ndoa 2. Ukimlipia mahari,watoto mtakao zaa nae wanabelong kwako si kwa upande wa mwanamke. 3...
7 Reactions
71 Replies
1K Views
Chozi ama machozi ni ishara ya kuumia na maumivu yaliyoshindwa kuhimili hisia za kawaida za kibinadamu... Wanawake ni mabingwa kwenye hili. Wanaume huchukuliwa Kama shupavu wasiotoa machozi yao...
18 Reactions
143 Replies
20K Views
Hello Hope mko salama.. Hii kitu inanikata sana unakutana na kijana mzuri tu ila unamuuliza anasali wapi anakwambia nasali kwa Mwamposa au nasali kwa Kuhani Musa.. Anyway sio mbaya kila mtu na...
16 Reactions
145 Replies
1K Views
Alinichamba na kunidharalisha mix matusi na kuniambia nisimzoee nifute namba zake, sikumjibu chochote, zimepita wiki tatu ananicheki kaniambia mbona niko busy sana simtafuti
12 Reactions
68 Replies
895 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…